Teknolojia
140 subscribers
3.87K photos
5.52K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli 👋
Download Telegram
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Simukitaa

Namna ambayo utaset Mesage ziwe zinafutika kwa muda fulani baada ya kusomwa #Simukitaa #sanukakitaani
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Simukitaa

Vitu vya kuzingatia kabla haujanunua Simu, Inaendelea kwenye Yutube channel ya Simukitaa #simukitaa #sanukakitaani
Kampuni ya Xiaomi yaja na matoleo mapya ya simu!!
Kampuni ya Xiaomi wiki iliyopita ilitangaza simu zao mpya, aina ya Xiaomi 12S, Walitangaza matoleo matatu ya simu hizo, zikiwa ni Xiaomi 12S, Xiaomi 12S Pro pamoja na Xiaomi 12S Ultra. Malengo hasa katika matoleo hayo ni kuboresha kamera za simu zao, wakitumia msemo wa Capture The Moment, huku wakiweka wazi azimio lao la kutengeneza...The post Kampuni ya Xiaomi yaja na matoleo mapya ya simu!! appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
Magemu Yaliyoongoza Kwa Mauzo Katika Mwezi Juni! #2022
Orodha ya magemu ambayo yamefanya vizuri sana katika vifaa vya simu kwa mwezi juni ya mwaka 2022 imetoka na leo tutagusia katika yale yaliyofanya vizuri Zaidi. Hapa kuna magemu kama vile Pokemon Go, Candy Crush, Genshin Impact na mengine mengi ambayo ndani yake yana huduma za kulipia. Huduma hizo ni kama vile ununuzi wa maisha,...The post Magemu Yaliyoongoza Kwa Mauzo Katika Mwezi Juni! #2022 appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.