Teknolojia
132 subscribers
3.73K photos
4.39K videos
90 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

TAJIRI NAMBA 1 WA DUNIA NI 'MWEHU' AU GENIUS? 😀😀
#ElonMusk #Tajiri
Bilionea wa sasa anayeongoza kwa utajiri duniani ni raia wa marekani mzaliwa wa Afrika ya Kusini,Elon musk. Musk anasalia kuwa mmoja wa watu mashuhuri na matajiri wenye utata, na wasioeleweka. Hiyo ni kwa sababu, licha ya kuwa mtu tajiri zaidi duniani na genius nyuma ya Tesla, SpaceX na kampuni zingine kubwa, anakataa kufuata mkumbo

Episode za Newzfid,
Script, narration and editing by Jimmy James