Teknolojia
139 subscribers
3.87K photos
5.56K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli 👋
Download Telegram
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

SAMAKI HUYU ANATEMBEA NCHI KAVU
Je wajua kuwa Samaki huyu wa maajabu ana uwezo wa kutembea nchi kavu?
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Simukitaa (TikTok)

Namna ya kuset Low power Mode Bila kushika simu yako na hii itakusaidia kutunza chaji ya simu yako #sanuka #kitaanikwetu #simukitaa #faham #bongo
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

fahamu Wizi wa Mtandaoni kwa kutumia kadi || hacking with carding ni hatari
carding hacking ni Card Ya Mkopo Ambayo Muhalifu Au Tapeli Uitumia Kwenye Kufanya Malipo Yaliyo Na U Fake Ndani Yake Kwa Kununua Vitu Mtandaoni.

hii ni njia hatari ambayo ukienda kwenye deep web au dark web utaikuta

endelea kufuatiliq chaneli yetu utajifunza zaidi 👇

subscribe for more videos
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Tutumie Mawasiliano Kujiletea Maendeleo.
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Wanafunzi kutoka shule za Sekondari za St. Joseph, Mandera, Twiga, na Kiraeni katika ziara ya masomo kwenye Makumbusho ya Mawasiliano yaliyopo ofisi za TCRA Makao Makuu Dar es Salaam. Ziara hiyo ya mafunzo imefanyika Jumatano 22 Desemba 2021. Makumbusho ya Mawasiliano inatunza kumbukumbu za mawasiliano kabla, wakati na baada ya Uhuru wa nchi yetu.