Teknolojia
139 subscribers
3.87K photos
5.59K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli ๐Ÿ‘‹
Download Telegram
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

๐—๐—ถ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ถ๐—น๐—ถ๐˜†๐—ผ๐—ฝ๐—ผ๐˜๐—ฒ๐—ฎ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐˜„๐—ฎ

Moja kati ya simu ambayo inatumiwa sana na watu wengi ni iphone , ila asilimia kubwa ya watumiaji wengi wa iphone Huwa hawapendi mambo mengi , hii kutokana mfumo wake ulivyo pia hiko tofauti na android.

Lakini watumiaji wa iphone kwenye suala la ulinzi wako imara ๐Ÿ™Œ sana kuliko watumiaji wa Android. Kiwaulisia Android na iphone simu Bora kwa Sasa ni iphone.

Je unaweza kuipata simu ya iphone ambayo imepotea au kuibiwa hata kama imezimwa au imefutwa kila kitu (frp).

Yes inawezekana iphone wametuletea teknolojia mpya ya kuweza kupata simu zetu hata ikiwa umeibiwa na imefutwa basi ๐Ÿ˜‚ utaipata tu labda wakuue.

Unachotakiwa kufanya ingia setting kwenye simu yako ya iphone hakikisha simu yako upande wa find my device umewashwa ni muhimu sana.

Ingia set...

View original post
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Usikose kufuatilia kipindi maalum cha Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) mubashara kupitia chaneli yetu ya YouTube, Instagram na Twitter leo kuanzia saa moja kamili usiku (1:00)
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

Unajua umuhimu wa kuzima simu yako

Unafikiri kwanini Kuna umuhimu wa kuzima na kuwasha simu yako ?

Akuna anayebisha Sasa ni wazi simu zetu za smartphone zimekuwa sehemu Moja wapo muhimu sana kwenye maisha yetu kiasi kwamba ikiwa mtu akiwa Mbali na simu yake anakuwa na wasiwasi sana haswa ikiwa imezimwa.

Lakini asikuambie mtu akuna kitu kisicho choka duniani kama binadamu anachoka kwanini simu isichoke ๐Ÿ˜ณ ?

Umuhimu wa kuzima simu yako ๐Ÿ‘‡

1๏ธโƒฃ Huipa nguvu simu yako

kuweza kufanya kazi Kwa haraka
Kama unaona simu yako imepungua uwezo wake wa kufanya kazi aliyakuwa Ina nafasi na uwezo basi jitahidi sana kiuipumzisha simu yako angalau huweze kuizima hata masaa kadhaa kwani utasaidia sana kuweza kuipa nguvu ya kufanya kazi Kwa haraka.

Unajua kama ww umekua mmoja wa watu ambao wanatumia sanaa programu nyingi kwenye simu yak...

View original post
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa mafunzo kwa Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Wasioona Tanzania (TAB) kuhusu matumizi sahihi na salama ya Huduma na Bidhaa za Mawasiliano. Katika Mafunzo hayo, TCRA imetoa vitabu vya Mwongozo kwa Watumiaji wa Huduma na Bidhaa za Mawasiliano vilivyoandikwa kwa maandishi maalum ya nukta nundu kwaajili ya watu wasioona. Mafunzo hayo yalifanyika jana Tarehe 01/10/2021 katika Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Create a Telegram Bot and Deploy it to Heroku for Free
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

๐— ๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐˜€๐˜‚ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ

Tunaelewa simu mpya zikija Kuna vitu mnaambiwa kuhusu hiyo simu sijui camera , ram au uwezo wake wa kuhifadhi lakini haitoshi kusema unaijua simu kiundani zaidi.

Kuna mambo mambo mengi ya Siri watu wengi hawajui kuhusu hivi vifaa vya Android ambapo ukifanikiwa kuvijua basi utaweza kufurahia zaidi simu yako usijali Leo nitakuambia mambo muhimu kuhusu simu yako.

1๏ธโƒฃ Okoa chaji na ongeza kasi simu yako

Unajua kuwa unaweza kuongeza kasi ya kwenye simu yako ikiwa unaona simu yako imepungua ufanisi wa kufanya kazi basi tumia njia hii kuongeza ufanisi na kuipa uimara wa kukaa na chaji Muda mrefu.

Ingia setting kwenye simu yako Kisha about phone au device alafu kwenye build number gusa mara sitq mpaka saba baada ya hapo utaona neno your now developer rudi Baki....

View original post
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

๐—จ๐˜๐—ฎ๐—ท๐˜‚๐—ฎ๐—ท๐—ฒ ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐—ป๐—ถ ๐—ณ๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ผ๐—ฟ๐—ถ๐—ด๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—น

sio rahisi mtu kujua kama simu uliyonunua ni fake kwa mara ya kwanza ukiona maana inaonekana kama original.

Ila Leo wanangu nitawajuza Kwa watumiaji wa android pia iphone japo nilishawaambia mwanzo. ๐Ÿ˜€

refurbished ni simu ambazo zimefanyiwa matengenzo na kupigwa polished baada ya kuhalibika na simu nyingi huwa wanazifanya mfumo huu haswa Samsung , tecno , oppo na nk

โ–ถ๏ธ IPHONE๐Ÿ‘‡

โ–ซ๏ธ Angalia specification zake kwenye box kama umenunua IPhone ikiwa na box lake litakunyesha model number,serial number na Imei. kila unachokiona kwenye box lazima kiendane na ndani ya simu ingia setting >> kisha general >> about kama utaona ziko tofaut na box ujue simu yako ni feki.

โ–ซ๏ธKwa kutumia Online
kama umenunua simu kwa mtu basi tumia njia hii kuwe...

View original post