Teknolojia
140 subscribers
3.87K photos
5.62K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli ๐Ÿ‘‹
Download Telegram
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

fahamu njia rahisi ya kuweza kuzuia matangazo ambayo sumbufu kwenye simu yako Sasa.

Matangazo yote yanayokera basi utaweza kuzuia kuanzia promosheni , betting , soko beti , soka letu na nk

tizama sasa

usisahau kutu follow @bongotech255

Ebu tuambie ni tatizo gani kwenye simu linakusumbua sana unahitaji msaada ?
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

๐—๐—ถ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ถ๐—น๐—ถ๐˜†๐—ผ๐—ฝ๐—ผ๐˜๐—ฒ๐—ฎ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐˜„๐—ฎ

Moja kati ya simu ambayo inatumiwa sana na watu wengi ni iphone , ila asilimia kubwa ya watumiaji wengi wa iphone Huwa hawapendi mambo mengi , hii kutokana mfumo wake ulivyo pia hiko tofauti na android.

Lakini watumiaji wa iphone kwenye suala la ulinzi wako imara ๐Ÿ™Œ sana kuliko watumiaji wa Android. Kiwaulisia Android na iphone simu Bora kwa Sasa ni iphone.

Je unaweza kuipata simu ya iphone ambayo imepotea au kuibiwa hata kama imezimwa au imefutwa kila kitu (frp).

Yes inawezekana iphone wametuletea teknolojia mpya ya kuweza kupata simu zetu hata ikiwa umeibiwa na imefutwa basi ๐Ÿ˜‚ utaipata tu labda wakuue.

Unachotakiwa kufanya ingia setting kwenye simu yako ya iphone hakikisha simu yako upande wa find my device umewashwa ni muhimu sana.

Ingia set...

View original post