HAJIMURON255๐ (Instagram)
Unapenda kujifunza jinsi ya kutengeneza vitabu kupitia simu yako
Labda umeshawahi kujiuliza ni vipi watu wanatengeneza vitabu sio ? Pia ukajiuliza wanatumia nini kufanya hivyo ๐คข? nitakujuza jinsi wanavyotengeneza ila kwa mfumo wa softcopy na sio hard copy... !!
Unajua kadri siku zinavyozidi kwenda tunahitaji mtu aliye professional kuweza kutengeneza vitabu vya mfumo wa Ebook kwanini usiwe wewe lakini kuna tovuti nyingi Sana zitakusadia kutengeneza vitabu kupitia simu yako | kompyuta yako na kuwa muhonekano mzuri na WA kuvutia
Mcheki mtu kama @joelnanauka_
Huwa anauzaga vitabu Sasa kwanini usiwe mtengenezaji wake ila
We fanya kutu follow ili usipitwe na maujanja zaidi kuhusu teknolojia kwa lugha ya Kiswahili @bongotech255
Tumia tovuti hizi || Apps hizi kutengeneza vitabu
1๏ธโฃ FlipHTML5 (Strongly Recommend)
Hii Moja ya...
View original post
Unapenda kujifunza jinsi ya kutengeneza vitabu kupitia simu yako
Labda umeshawahi kujiuliza ni vipi watu wanatengeneza vitabu sio ? Pia ukajiuliza wanatumia nini kufanya hivyo ๐คข? nitakujuza jinsi wanavyotengeneza ila kwa mfumo wa softcopy na sio hard copy... !!
Unajua kadri siku zinavyozidi kwenda tunahitaji mtu aliye professional kuweza kutengeneza vitabu vya mfumo wa Ebook kwanini usiwe wewe lakini kuna tovuti nyingi Sana zitakusadia kutengeneza vitabu kupitia simu yako | kompyuta yako na kuwa muhonekano mzuri na WA kuvutia
Mcheki mtu kama @joelnanauka_
Huwa anauzaga vitabu Sasa kwanini usiwe mtengenezaji wake ila
We fanya kutu follow ili usipitwe na maujanja zaidi kuhusu teknolojia kwa lugha ya Kiswahili @bongotech255
Tumia tovuti hizi || Apps hizi kutengeneza vitabu
1๏ธโฃ FlipHTML5 (Strongly Recommend)
Hii Moja ya...
View original post
HAJIMURON255๐ (Instagram)
Jinsi ya kutengeneza apps kupitia simu yako
Labda umeshawahi kujiuliza swali ni vipi unaweza kutengeneza app yako kama vile za Facebooks, insta, Whatsapp mwenyewe japokuwa hujui chochote kuhusu programming ? Pia kutengeneza bgames ? Usijali umekuja sehemu sahihi.
Miaka ya nyuma ilikua ni lazima huwe programmer hili utengeneze apps, ambayo ilikua inachukia wiki , mwenzi mpaka mwaka kukamilika. Lakini miaka ya hivi karibuni mambo yamebadilika ๐ฑ.
Kuna app na tavuti Ambazo zimetengenezwa na unakuta Kila kitu ndani yake ambayo itakusaidia kuweza kutengeneza app yako mwenyewe kupitia simu au kompyuta we unafanya kazi ya ku drag & drop tu.
1๏ธโฃ andromo
Hii ni Moja ya tovuti maarufu Sana ulimwengu kwenye masuala ya kutengeneza apps kwa njia rahisi, unaweza kutengeneza app Bure kabisaa na kuweza kuipakua kwa njia ya emails.
Hi...
View original post
Jinsi ya kutengeneza apps kupitia simu yako
Labda umeshawahi kujiuliza swali ni vipi unaweza kutengeneza app yako kama vile za Facebooks, insta, Whatsapp mwenyewe japokuwa hujui chochote kuhusu programming ? Pia kutengeneza bgames ? Usijali umekuja sehemu sahihi.
Miaka ya nyuma ilikua ni lazima huwe programmer hili utengeneze apps, ambayo ilikua inachukia wiki , mwenzi mpaka mwaka kukamilika. Lakini miaka ya hivi karibuni mambo yamebadilika ๐ฑ.
Kuna app na tavuti Ambazo zimetengenezwa na unakuta Kila kitu ndani yake ambayo itakusaidia kuweza kutengeneza app yako mwenyewe kupitia simu au kompyuta we unafanya kazi ya ku drag & drop tu.
1๏ธโฃ andromo
Hii ni Moja ya tovuti maarufu Sana ulimwengu kwenye masuala ya kutengeneza apps kwa njia rahisi, unaweza kutengeneza app Bure kabisaa na kuweza kuipakua kwa njia ya emails.
Hi...
View original post
MAMBO 10 USIYOFAHAMU KUHUSU TECNO (ITEL NA INFINIX) โ Newzfid
https://youtu.be/0Hcjc76Tmp4 8:30
https://youtu.be/0Hcjc76Tmp4 8:30
YouTube
MAMBO 10 USIYOFAHAMU KUHUSU TECNO (ITEL NA INFINIX)
Kuna chapa nyingi sana za simu ulimwenguni. Lakini kuna kampuni moja tu ambayo imefanikiwa zaidi kuliko nyingine yoyote barani Afrika. Na sio nyingine isipokuwa kampuni ya Wachina iitwayo Transsion Holdings, kampuni inayotengeneza simu chapa ya TECNO, itelโฆ