Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)
Vijana na TEHAMA kwa Maendeleo ya Taifa letu.
#tutumiemawasilianokujileteamaendeleo
Vijana na TEHAMA kwa Maendeleo ya Taifa letu.
#tutumiemawasilianokujileteamaendeleo
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)
Umetumia Simu ipi kati ya hizo hapo👆?
#tbt #throwbackthursday #tutumiemawasilianokujileteamaendeleo
Umetumia Simu ipi kati ya hizo hapo👆?
#tbt #throwbackthursday #tutumiemawasilianokujileteamaendeleo
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)
Katika zama za Mawasiliano ya Jadi, pembe lilikuwa likipulizwa kwa lengo la kuita watu ili kufanya jambo au kutoa taarifa fulani.
Karibu utembelee Makumbusho ya Mawasiliano iliyopo Makao Makuu ya TCRA Buree kabisa kwa Siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa Tatu asubuhi hadi saa Tisa Mchana. “Vya Kale ni Dhahabu” #tutumiemawasilianokujileteamaendeleo
Katika zama za Mawasiliano ya Jadi, pembe lilikuwa likipulizwa kwa lengo la kuita watu ili kufanya jambo au kutoa taarifa fulani.
Karibu utembelee Makumbusho ya Mawasiliano iliyopo Makao Makuu ya TCRA Buree kabisa kwa Siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa Tatu asubuhi hadi saa Tisa Mchana. “Vya Kale ni Dhahabu” #tutumiemawasilianokujileteamaendeleo
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)
Karibu utembelee Makumbusho ya Mawasiliano iliyopo Makao Makuu ya TCRA Buree kabisa kwa Siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa Tatu asubuhi hadi saa Tisa Mchana.
“Vya Kale ni Dhahabu” #tutumiemawasilianokujileteamaendeleo
Karibu utembelee Makumbusho ya Mawasiliano iliyopo Makao Makuu ya TCRA Buree kabisa kwa Siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa Tatu asubuhi hadi saa Tisa Mchana.
“Vya Kale ni Dhahabu” #tutumiemawasilianokujileteamaendeleo