Apple’s iPhone 17 Pro Inaweza Kwaruzika Kirahisi – Mashabiki Waanza Kulalamika.:
https://telegra.ph/Apples-iPhone-17-Pro-Inaweza-Kwaruzika-Kirahisi--Mashabiki-Waanza-Kulalamika-09-24-8
https://telegra.ph/Apples-iPhone-17-Pro-Inaweza-Kwaruzika-Kirahisi--Mashabiki-Waanza-Kulalamika-09-24-8
Telegraph
Apple’s iPhone 17 Pro Inaweza Kwaruzika Kirahisi – Mashabiki Waanza Kulalamika.
Kila mwaka Apple hutuonyesha simu mpya ya “Pro” inayovutia macho, lakini safari hii inaonekana walipiga msasa upande mmoja na wakasahau mwingine. iPhone 17 Pro na Pro Max zimeingia sokoni wiki hii, na tayari mitandaoni kumejaa malalamiko: simu inakwaruzika…
Jinsi ya Kuweka TIN Number Kwenye Akaunti ya Adsense Tanzania:
https://telegra.ph/Jinsi-ya-Kuweka-TIN-Number-Kwenye-Akaunti-ya-Adsense-Tanzania-09-24
https://telegra.ph/Jinsi-ya-Kuweka-TIN-Number-Kwenye-Akaunti-ya-Adsense-Tanzania-09-24
Telegraph
Jinsi ya Kuweka TIN Number Kwenye Akaunti ya Adsense Tanzania
Kama wewe ni mmoja wa watu ambao wanatumia mtandao wa Adsense kwa ajili ya kutengeneza pesa mtandaoni basi ni wazi una taarifa muhimu ya uhitaji wa kuweka TIN Number au namba ya utambulisho wa mlipa kodi kwenye akaunti yako ya Google Adsense kwa hapa Tanzania.…
🆕 Unaweza kufuatilia event nzima ya Snapdragon Summit 2025 CEO Keynote kuona mwelekeo wa Qualcomm katika kutengeneza chip za simu za Android
youtu.be/Fr2-P5rgkOQ
🆕 Unaweza kufuatilia event nzima ya Snapdragon Summit 2025 CEO Keynote kuona mwelekeo wa Qualcomm katika kutengeneza chip za simu za Android
youtu.be/Fr2-P5rgkOQ
YouTube
Snapdragon Summit 2025 CEO Keynote: The Ecosystem of You
Step into the future of AI as Qualcomm President & CEO Cristiano Amon takes the stage to share his vision for intelligent computing. This keynote is followed by an insightful conversation with Google’s Senior Vice President for Platforms and Devices Rick…
Kwa Nini Wanawake Wengi Zaidi Wanazidi Kujitumbukiza Kwenye Mahusiano Na Ai:
https://telegra.ph/Kwa-Nini-Wanawake-Wengi-Zaidi-Wanazidi-Kujitumbukiza-Kwenye-Mahusiano-Na-Ai-09-25
https://telegra.ph/Kwa-Nini-Wanawake-Wengi-Zaidi-Wanazidi-Kujitumbukiza-Kwenye-Mahusiano-Na-Ai-09-25
Telegraph
Kwa Nini Wanawake Wengi Zaidi Wanazidi Kujitumbukiza Kwenye Mahusiano Na Ai
Si kwenye hadithi ya Kutunga ya Sayansi Pekee: mahusiano ya kihisia na AI yanazidi kuchipuka kote ulimwenguni, na wanawake wanaonekana kuwa kundi moja lenye mvuto wa pekee kwa aina hizi za mahusiano. Kwa kuwa suala hili linagusa hisia, utu na teknolojia kwa…
❤1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma
Nani kasema hiii ni rangi ya kike??😬😬 me Mniue tu ila orange naipa 100/100 wewe je kwako ni Yes or NO?? Tukutane kwenye comment
Nani kasema hiii ni rangi ya kike??😬😬 me Mniue tu ila orange naipa 100/100 wewe je kwako ni Yes or NO?? Tukutane kwenye comment