Teknolojia ya eSIM Ikoje? Kwa Nini Si Maarufu na Je Baada ya iPhone 17 Kutoka Itaongeza Umarufu Wake?:
https://telegra.ph/Teknolojia-ya-eSIM-Ikoje-Kwa-Nini-Si-Maarufu-na-Je-Baada-ya-iPhone-17-Kutoka-Itaongeza-Umarufu-Wake-09-14
  
  https://telegra.ph/Teknolojia-ya-eSIM-Ikoje-Kwa-Nini-Si-Maarufu-na-Je-Baada-ya-iPhone-17-Kutoka-Itaongeza-Umarufu-Wake-09-14
Telegraph
  
  Teknolojia ya eSIM Ikoje? Kwa Nini Si Maarufu na Je Baada ya iPhone 17 Kutoka Itaongeza Umarufu Wake?
  Leo, kila mtu anazungumzia kuhusu urahisi wa kutumia simu, lakini je umesikia kuhusu eSIM? Hii ni teknolojia inayokuwezesha kuunganisha simu yako na mtandao bila kutumia kadi za plastiki. Kila kitu kimehifadhiwa kielektroniki ndani ya kifaa chako. Kwa maneno…
    〽︎ Teknolojia 
Mastodon imeweka kipengele kipya cha kudhibiti 'quotes' kwenye posts!
Sasa unaweza kudhibiti nani anayeweza kunukuu posts zako, kuona quote posts, na hata kuondoa post yako kama mtu aki-quote post yako na hautaki atumie post yako.
Mastodon imeweka kipengele kipya cha kudhibiti 'quotes' kwenye posts!
Sasa unaweza kudhibiti nani anayeweza kunukuu posts zako, kuona quote posts, na hata kuondoa post yako kama mtu aki-quote post yako na hautaki atumie post yako.
This media is not supported in your browser
    VIEW IN TELEGRAM
  @Huduma
Hivi unajua kwamba unaweza kubadili muonekano wa simu yako na kuwa vyovyote unavyotaka wewe??
  Hivi unajua kwamba unaweza kubadili muonekano wa simu yako na kuwa vyovyote unavyotaka wewe??
This media is not supported in your browser
    VIEW IN TELEGRAM
  @Huduma
kama unazani umeona basi ujue bado njoo Tanzania Mkoa wa Rukwa kuna maporomoko ya ajabu sana yanaitwa KALAMBO FALLS. hutatamani kurudi. 🇹🇿
  kama unazani umeona basi ujue bado njoo Tanzania Mkoa wa Rukwa kuna maporomoko ya ajabu sana yanaitwa KALAMBO FALLS. hutatamani kurudi. 🇹🇿
Simu za Mkunjo (Foldable Smartphones): Je, Tunazihitaji Kweli?:
https://telegra.ph/Simu-za-Mkunjo-Foldable-Smartphones-Je-Tunazihitaji-Kweli-09-16
  
  https://telegra.ph/Simu-za-Mkunjo-Foldable-Smartphones-Je-Tunazihitaji-Kweli-09-16
Telegraph
  
  Simu za Mkunjo (Foldable Smartphones): Je, Tunazihitaji Kweli?
  Kwa Nini Simu za Mkunjo Zinavutia?
    〽︎ Teknolojia 
Meta itafanya event yake ya Meta Connect - Kesho saa 3 Asubuhi kwa muda wa Afrika Mashariki
Agenda kuu: Itaonyesha miwani zake za AI na mwelekeo wa kampuni hiyo katika maswala ya Akili Bandia na Metaverse
  Meta itafanya event yake ya Meta Connect - Kesho saa 3 Asubuhi kwa muda wa Afrika Mashariki
Agenda kuu: Itaonyesha miwani zake za AI na mwelekeo wa kampuni hiyo katika maswala ya Akili Bandia na Metaverse