Teknolojia
133 subscribers
3.82K photos
4.55K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
Audio
@Huduma

It’s official kitu gani upo excited nacho zaidii kwenye iPhone series na ni kitu gan kitakua cha kwanza kununua kati ya vyote vitavyotambulishwa kwenye apple event iyo tarehe 09πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯. Cc @blax_store175_ @blax_store175_
Audio
@Huduma

Kampuni ya teknolojia kutoka nchini Nigeria, Uniccon Group imetambulisha Omeife, roboti wa kwanza mwafrika mwenye mwonekano wa kibinadamu. Roboti huyo mwenye urefu wa futi sita ametengenezwa mahsusi kusaidia sekta muhimu ikiwemo afya, kilimo na elimu. Omeife ni roboti mwenye uwezo kuzungumza lugha nyingi zikiwemo Kiingereza, Kifaransa, Kiarabu, Kiswahili, Pidgin, Wazobia, Kiafrikaans na Kigbo, huku akielewa pia tamaduni na desturi za Kiafrika ili kufanya mazungumzo yawe ya kiasili zaidi. Mbali na lugha, roboti huyo amebuniwa akiwa na teknolojia ya kutambua mazingira (terrain intelligence) na vihisi vya umakini kwenye mikono (precision grip sensors), vinavyomwezesha kutembea kwa urahisi maeneo mbalimbali na kushika vitu kwa uangalifu.
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

iPhone 16 Pro vs 15 Pro vs 14 Pro vs 13 Pro vs 12 Pro vs 11 Pro - iOS 18.6.2 Battery Test
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Jeh! pesa ya Tanzania inatengenezwa wapi?? πŸ‡ΉπŸ‡Ώ γ‚š πŸ‡°πŸ‡ͺ πŸ‡ΊπŸ‡¬
5️⃣ Vidokezo vya kinga kabla haijakutokea

πŸ”Ή Hakikisha Find My iPhone imewashwa kila mara.

πŸ”Ή Weka strong passcode (siyo 1234 au tarehe ya kuzaliwa).

πŸ”Ή Washa Two-Factor Authentication (2FA) kwenye Apple ID yako.
πŸ”Ή Usihifadhi passwords kwenye Notes bila encryption.

πŸ”Ή Jifunze kutofautisha SMS za kweli kutoka Apple na phishing.