Teknolojia
132 subscribers
3.76K photos
4.44K videos
93 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
🚨_MASTERCLASS_ALERT_🚨_“Refusing_to_Use_AI_Is_Like_Refusing_to_Use
2.4 MB
@Huduma

🚨 MASTERCLASS ALERT 🚨 “Refusing to Use AI Is Like Refusing to Use Electricity”. The future is already here — are you ready? Join the AI FOR EVERYONE Masterclass and learn how to use AI the smart way. AI is not the future, it’s the present. And it’s changing how we work, create, learn, and earn. This powerful in-person masterclass is designed to help YOU tap into the power of AI — no matter who you are: 💼 Professionals – Learn how to boost your productivity, save time, and stay ahead in your industry 🎨 Creatives – Discover how to turn AI into your creative partner for design, music, content, and more. 💰 Youth & Entrepreneurs – See real ways to use AI to start smart side hustles, freelance faster, and make money in the AI age. 📚 Students & Educators – Explore how to use AI for research, writing, idea generation, and academic success What you will learn?: What AI really is (and what is not) How to write effective prompts that give real results Where AI is being used across businesses
Inawezekana_ni_wakati_wa_ajabu_kuishi_duniani_wa_sasa,_dunia_ilianza.m4a
837.8 KB
@Huduma

Inawezekana ni wakati wa ajabu kuishi duniani wa sasa, dunia ilianza kushuhudia roboti zikifanya kazi mbalimbali, migahawani, kuwa dada wa kazi na hata kuolewa, lakini sasa mambo yameenda mbali zaidi kwani wanasayansi kutoka China wapo mbioni kuleta roboti zitakazokuwa na uwezo wa kubeba mimba. Tovuti ya New York Post, ilinukuu taarifa zilizochapishwa na tovuti ya Chosun Biz, China inafanya kazi ya kubuni roboti yenye tumbo la uzazi bandia litakalopokea virutubisho kupitia bomba na litakuwa na uwezo wa kubeba kijusi kwa takribani miezi 10 kabla ya kujifungua. Inaelezwa wazo la kuunda roboti mwenye uwezo wa kubeba ujauzito lilibuniwa na Dk Zhang Qifeng, mwanzilishi wa kampuni ya Kaiwa Technology, yenye makao yake Guangzhou, China. Taarifa pia zimefichua kwamba ikiwa kila kitu kitaenda kama ilivyopangwa, muundo wa kwanza wa roboti hiyo utazinduliwa mwaka ujao. Kwa wale wanaopata changamoto ya kushika mimba, wataweza kumkodisha roboti huo ili kuwabebea mimba zao kwa gharama ya takriban Yuan 100,000 (saw
︎ Teknolojia

💨 Ichi kidogo cha Arsenal kimezaliwa 2009 😁😁
@Huduma

💨 Usa River?
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

How to replace battery in your iphone 13 |
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Namna Ya Kufanya Usipatikane Hewani Bila Kuzima simu
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Hawadzabe hawaamini kwenye dini, Hawana simu Na Nyama wanayopenda zaidi ni Nyama ya nyani..
︎ Teknolojia

💨 Camera ya 0.5x Ultra wide huwa ni komesha kwenye hizi angle za ndani ya gari 🔥