6. Hakiki na thibitisha
• Facebook au Instagram watakagua tangazo (huchukua dakika hadi masaa machache)
• Likikubaliwa – litaanza kuonekana kwa watu wa miji au rika ulilolenga
• Facebook au Instagram watakagua tangazo (huchukua dakika hadi masaa machache)
• Likikubaliwa – litaanza kuonekana kwa watu wa miji au rika ulilolenga
3. Chagua lengo la tangazo
Facebook au Instagram itakuuliza unataka watu wafanye nini:
✅ Kutuma ujumbe
✅ Kutembelea tovuti
✅ Kuongeza likes/comments
✅ Kupiga simu
⚠️ Chagua Send Message kama unauza bidhaa unazojibu DM moja kwa moja.
Facebook au Instagram itakuuliza unataka watu wafanye nini:
✅ Kutuma ujumbe
✅ Kutembelea tovuti
✅ Kuongeza likes/comments
✅ Kupiga simu
⚠️ Chagua Send Message kama unauza bidhaa unazojibu DM moja kwa moja.
5. Weka Bajeti
💰 Budget ni kiasi cha pesa unataka kutumia:
• Tsh 3,000 kwa siku (kawaida)
• Tsh 10,000 kwa siku (kwa matokeo zaidi)
Unaweza kuboost kwa siku 3 au 5. Facebook itaonyesha makadirio ya watu watakaoona.
📌 Hakikisha umeunganisha mpesa au kadi ya malipo
💰 Budget ni kiasi cha pesa unataka kutumia:
• Tsh 3,000 kwa siku (kawaida)
• Tsh 10,000 kwa siku (kwa matokeo zaidi)
Unaweza kuboost kwa siku 3 au 5. Facebook itaonyesha makadirio ya watu watakaoona.
📌 Hakikisha umeunganisha mpesa au kadi ya malipo
8. Baada ya Boost
✅ Jibu DM zote haraka
✅ Tumia “Quick Replies”
✅ Tambua aina ya watu wanaouliza
✅ Boresha tangazo linalofuata kwa kuzingatia maswali yao
✅ Jibu DM zote haraka
✅ Tumia “Quick Replies”
✅ Tambua aina ya watu wanaouliza
✅ Boresha tangazo linalofuata kwa kuzingatia maswali yao
4. Chagua walengwa (Audience)
Hii sehemu ni muhimu sana:
🛑 Usichague “Automatic”. Tengeneza audience mpya:
📍 Location: Tanzania au mji maalum
🎯 Age: 18–40 (kulingana na wateja wako)
📚 Interests: Android, Fashion, iPhone, Delivery, Women Clothing, etc.
Hii sehemu ni muhimu sana:
🛑 Usichague “Automatic”. Tengeneza audience mpya:
📍 Location: Tanzania au mji maalum
🎯 Age: 18–40 (kulingana na wateja wako)
📚 Interests: Android, Fashion, iPhone, Delivery, Women Clothing, etc.
📌 Mambo ya Kukumbuka
✅ Usitumie picha mbaya au zenye maandishi mengi
✅ Usipost bidhaa haramu (Facebook wata-kataa boost)
✅ Jaribu picha tofauti – fanya A/B Testing
✅ Usitumie picha mbaya au zenye maandishi mengi
✅ Usipost bidhaa haramu (Facebook wata-kataa boost)
✅ Jaribu picha tofauti – fanya A/B Testing
💡 Mfano:
Unauza simu? Chagua watu wenye interest:
👉 Android phones
👉 Smartphones
👉 Jumia
👉 Dar es Salaam
👉 Tanzania
Unauza simu? Chagua watu wenye interest:
👉 Android phones
👉 Smartphones
👉 Jumia
👉 Dar es Salaam
👉 Tanzania
9. Bonus: Boost ya Instagram Bila Akaunti ya Biashara
👉 Badilisha akaunti yako kuwa Professional Account
👉 Fungua sehemu ya “Insights”
👉 Tumia Boost tools pale pale kwenye post zako
👉 Badilisha akaunti yako kuwa Professional Account
👉 Fungua sehemu ya “Insights”
👉 Tumia Boost tools pale pale kwenye post zako
7. Jinsi ya Kulipia Boost kwa M-PESA
👉 Tumia apps kama:
• Chipper Cash
• Payday
• Grey
• Barter
• Eversend
🔁 Zote zinawezesha kupata VISA card ya kulipia Facebook Ads kwa M-PESA moja kwa moja!
👉 Tumia apps kama:
• Chipper Cash
• Payday
• Grey
• Barter
• Eversend
🔁 Zote zinawezesha kupata VISA card ya kulipia Facebook Ads kwa M-PESA moja kwa moja!
📍 Kama una duka au biashara ya mtandaoni – Boost ni njia rahisi ya kuwafikia maelfu ya watu bila gharama kubwa.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma
Namna ya kucheza game za kwneye sim kwa kutumia ps5 controller pad Hii imekaa poa saba kwa sisi Gamers🔥🔥
Namna ya kucheza game za kwneye sim kwa kutumia ps5 controller pad Hii imekaa poa saba kwa sisi Gamers🔥🔥