Teknolojia
132 subscribers
3.82K photos
4.56K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
3️⃣ Dalili kuu za sensor tatizo

Simu inazima screen haraka hata kabla hujaiweka sikioni
Screen haijawaki hata baada ya kuiweka mbali
Hautaweza kutumia speaker, keypad au hata kuhang up unless uitumie kwa earphones
🔚 Kwa kifupi:

Sensor ya proximity ni muhimu – lakini ikileta usumbufu, tatua kwa:

✔️ Kusafisha kioo
✔️ Kuondoa screen protector nzito
✔️ Kufanya sensor test
✔️ Kumwona fundi kama njia zote zimeshindikana
︎ Teknolojia

💨 Oppo Find X8 Ultra ndiyo simu yenye Camera kali kwasasa duniani

Kwa mujibu wa DXO Mark hawa ni wataalamu wa kupima ubora wa vifaa vya Electronics duniani

Vivo X200 Ultra nafasi ya pili imemkaribia Oppo zaidi. Xiaomi huu mwaka kwao umekuwa mzito kila sehemu.
@Huduma

💨 OPPO K13 Turbo Pro
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Wi-Fi si Internet! Usichanganye! Wi-Fi ni njia ya kuunganisha vifaa, si huduma ya internet yenyewe. Jifunze tofauti kati ya Wi-Fi na internet hapa! 🌐📶
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Naomba neno moja kwa hawa vijana wangu kwenye Dancing!! ゚
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

LINI WATANZANIA TUTAANZA KUJITOA KWA MOYO KWA TIMU YETU YA TAIFA. 🇹🇿
6. Hakiki na thibitisha

• Facebook au Instagram watakagua tangazo (huchukua dakika hadi masaa machache)

• Likikubaliwa – litaanza kuonekana kwa watu wa miji au rika ulilolenga
3. Chagua lengo la tangazo

Facebook au Instagram itakuuliza unataka watu wafanye nini:

Kutuma ujumbe
Kutembelea tovuti
Kuongeza likes/comments
Kupiga simu

⚠️ Chagua Send Message kama unauza bidhaa unazojibu DM moja kwa moja.
5. Weka Bajeti

💰 Budget ni kiasi cha pesa unataka kutumia:

• Tsh 3,000 kwa siku (kawaida)
• Tsh 10,000 kwa siku (kwa matokeo zaidi)

Unaweza kuboost kwa siku 3 au 5. Facebook itaonyesha makadirio ya watu watakaoona.

📌 Hakikisha umeunganisha mpesa au kadi ya malipo
8. Baada ya Boost

Jibu DM zote haraka
Tumia “Quick Replies”
Tambua aina ya watu wanaouliza
Boresha tangazo linalofuata kwa kuzingatia maswali yao
4. Chagua walengwa (Audience)

Hii sehemu ni muhimu sana:

🛑 Usichague “Automatic”. Tengeneza audience mpya:

📍 Location: Tanzania au mji maalum
🎯 Age: 18–40 (kulingana na wateja wako)
📚 Interests: Android, Fashion, iPhone, Delivery, Women Clothing, etc.