Teknolojia
132 subscribers
3.76K photos
4.44K videos
93 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
@Huduma

πŸ’¨ Hawa wadogo zangu sijui wamesikia nini πŸ˜‚πŸ˜‚ hii wiki wamenicheki

Huyu wakike ndio anamaliza Clinical Medicine mwaka huu na huyu wa kiume ndio yuko mwaka wa kwanza chuoni.
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Unajua Google hutumika zaidi ya bilioni 8 kwa siku? Lakini… huwa unajiuliza inavyofanya kazi? πŸ‘‡πŸ½ Hebu tukufungulie pazia! Google haitumii uchawi – inatumia hatua 3 tu rahisi: 1️⃣ Crawling – kutembelea kurasa zote mtandaoni πŸ•·οΈ 2️⃣ Indexing – kuhifadhi taarifa bora kama maktaba πŸ“š 3️⃣ Ranking – kupanga majibu bora kukufaa wewe 🎯 Mfano rahisi: Ukiandika β€œchai ya tangawizi,” Google hutafuta kurasa zenye maelezo sahihi, ya kuaminika, na bora zaidi. πŸ“² Video hii itakufungua macho – share kwa anayependa kujua jinsi internet inavyofanya kazi!
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ Infinix GT 30GT 5G+ πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Hizi ni motoπŸ”₯
@Huduma

πŸ’¨ Chuma kama hii πŸ”₯
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Unatumia Wi-Fi ya bure? Kaa chonjo! VPN ni kama barabara ya siri inayokulinda unapotuma taarifa zako mtandaoni. Hebu tujue VPN ni nini, inafanyaje kazi, na kwa nini unaihitaji hasa ukiwa kwenye Wi-Fi ya umma!
5. βš™οΈ Check APN settings zako:
Wakati mwingine slow speed ni sababu ya Access Point Name (APN) isiyo sahihi.

πŸ‘‰ Nenda Settings > Mobile Network > Access Point Names
β†’ Hakikisha umetumia APN ya kampuni yako (Vodacom, Airtel, Tigo, Halotel n.k.)
2. πŸ“Ά Signal strength vs bandwidth:

Unaweza kuwa na full bars za 4G lakini still ukose kasi.

Hii ni kwa sababu signal ni intact lakini bandwidth (upana wa njia ya data) ni finyu.