10. 💾 Simu haisomi memory card?
✔ Safisha memory card na slot
✔ Jaribu kwenye simu nyingine
✔ Kama inasoma – backup data na i-format (FAT32 format)
✔ Hakikisha ni original card – fake huleta matatizo sana
✔ Safisha memory card na slot
✔ Jaribu kwenye simu nyingine
✔ Kama inasoma – backup data na i-format (FAT32 format)
✔ Hakikisha ni original card – fake huleta matatizo sana
12. 🔁 Simu inajizima yenyewe kila mara
✔ Safisha storage
✔ Angalia kama kuna app mbovu imeingizwa (cracked apps)
✔ Fanya Factory Reset kama haijasaidia
✔ Kama bado – betri inaweza kuwa imechoka
✔ Safisha storage
✔ Angalia kama kuna app mbovu imeingizwa (cracked apps)
✔ Fanya Factory Reset kama haijasaidia
✔ Kama bado – betri inaweza kuwa imechoka
@Huduma
💨 Apple wamewaiga wachina namna wanavyovujisha simu zao mpya ambazo hazijatoka.
Wanaiingiza mtaani makusudi kwa kuifanyia majaribio na kuificha ficha kimkakati.
💨 Apple wamewaiga wachina namna wanavyovujisha simu zao mpya ambazo hazijatoka.
Wanaiingiza mtaani makusudi kwa kuifanyia majaribio na kuificha ficha kimkakati.
16. 🔐 WhatsApp yako hai-display jina la mtumaji kwenye notification?
✔ Nenda WhatsApp Settings > Notifications
✔ Hakikisha Show Preview imewashwa
✔ Pia settings za simu (notification settings) ziwe sawa
✔ Nenda WhatsApp Settings > Notifications
✔ Hakikisha Show Preview imewashwa
✔ Pia settings za simu (notification settings) ziwe sawa
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma
Unadhani mistari myeupe nyuma ya ndege ni mafuta au kemikali? ✈️😨 Ukweli wake ni rahisi kuliko unavyofikiri — ni kama pumzi yako kwenye baridi kali!❄️ Hebu tuchambue kinachoendelea angani... "
Unadhani mistari myeupe nyuma ya ndege ni mafuta au kemikali? ✈️😨 Ukweli wake ni rahisi kuliko unavyofikiri — ni kama pumzi yako kwenye baridi kali!❄️ Hebu tuchambue kinachoendelea angani... "