Teknolojia
129 subscribers
3.71K photos
4.36K videos
90 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

How to change your Facebook account to professional mode.
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ Nothing Phone kumbe sio wa kwanza!

Hii ni Xiaomi 8 Pro ya 2018 iko na back transparent cover.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Wanasayansi wametuhakikishia uwepo wa Battery Kubwa Yenye uwezo wa Kukaa na Chaji kwa miaka zaidi ya 1000 γ‚š
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Tα»§ Δ‘α»±ng quαΊ§n Γ‘o trαΊ» em giαΊ₯u tiền bΓ­ mαΊ­t
13. 🧹 Simu inakuwa nzito sana (slow)?

βœ” Futa apps usizotumia
βœ” Zima animations: Developer Options > Window/Transition scale
βœ” Epuka live wallpapers
βœ” Restart simu mara kwa mara
βœ” Backup data zako na fanya factory reset kila miezi kadhaa
β€Œ

17. πŸ“± Unataka kujua simu yako ni ya soko gani (Global, China, India)?

βœ” Ingia kwenye imei.info
βœ” Andika IMEI yako (*#)
βœ” Utaona taarifa zote: region, brand, network bands
14. 🎧 Headphones zinaonesha zimeunganishwa wakati hakuna kitu?

βœ” Ingiza earphone halafu uitoe taratibu
βœ” Restart simu
βœ” Clear cache
βœ” Jaribu app kama Disable Headphones
15. πŸ”™ Namba zako za mawasiliano zimefutika?

βœ” Fungua app ya Contacts

> Chagua β€œOrganize” au β€œRecycle Bin”
Rejesha namba zilizofutwa
βœ” Google Contacts > Trash
βœ” Sync Contacts na Gmail yako
11. πŸ” Ulipoteza picha au documents zako?

βœ” Angalia kwenye Trash (Gallery > Albums > Trash)
βœ” Google Photos: Trash
βœ” File Manager > Recent Deleted
βœ” WhatsApp: angalia kwenye β€œMedia” folder
βœ” Download apps za recovery mapema – usisubiri zipotee
10. πŸ’Ύ Simu haisomi memory card?

βœ” Safisha memory card na slot
βœ” Jaribu kwenye simu nyingine
βœ” Kama inasoma – backup data na i-format (FAT32 format)
βœ” Hakikisha ni original card – fake huleta matatizo sana
12. πŸ” Simu inajizima yenyewe kila mara

βœ” Safisha storage
βœ” Angalia kama kuna app mbovu imeingizwa (cracked apps)
βœ” Fanya Factory Reset kama haijasaidia
βœ” Kama bado – betri inaweza kuwa imechoka
@Huduma

πŸ’¨ Apple wamewaiga wachina namna wanavyovujisha simu zao mpya ambazo hazijatoka.

Wanaiingiza mtaani makusudi kwa kuifanyia majaribio na kuificha ficha kimkakati.
16. πŸ” WhatsApp yako hai-display jina la mtumaji kwenye notification?

βœ” Nenda WhatsApp Settings > Notifications
βœ” Hakikisha Show Preview imewashwa
βœ” Pia settings za simu (notification settings) ziwe sawa
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ Google Pixel 10 itazinduliwa tarehe 20 mwezi ujao.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Unadhani mistari myeupe nyuma ya ndege ni mafuta au kemikali? ✈️😨 Ukweli wake ni rahisi kuliko unavyofikiri β€” ni kama pumzi yako kwenye baridi kali!❄️ Hebu tuchambue kinachoendelea angani... "