Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma
Unadhani data zako zinaweza kurejeshwa kirahisi hata ukizifuta? 🤔 Ukweli ni kwamba si kila simu inaruhusu data recovery — hasa zile zenye encryption ya kisasa! 💣 Usalama wa simu za leo ni ngumu kuvunja! Angalia kwanini factory reset pekee haitoshi…”
Unadhani data zako zinaweza kurejeshwa kirahisi hata ukizifuta? 🤔 Ukweli ni kwamba si kila simu inaruhusu data recovery — hasa zile zenye encryption ya kisasa! 💣 Usalama wa simu za leo ni ngumu kuvunja! Angalia kwanini factory reset pekee haitoshi…”
〽︎ Teknolojia
💨 Nothing Phone kumbe sio wa kwanza!
Hii ni Xiaomi 8 Pro ya 2018 iko na back transparent cover.
💨 Nothing Phone kumbe sio wa kwanza!
Hii ni Xiaomi 8 Pro ya 2018 iko na back transparent cover.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma
Wanasayansi wametuhakikishia uwepo wa Battery Kubwa Yenye uwezo wa Kukaa na Chaji kwa miaka zaidi ya 1000 ゚
Wanasayansi wametuhakikishia uwepo wa Battery Kubwa Yenye uwezo wa Kukaa na Chaji kwa miaka zaidi ya 1000 ゚
13. 🧹 Simu inakuwa nzito sana (slow)?
✔ Futa apps usizotumia
✔ Zima animations: Developer Options > Window/Transition scale
✔ Epuka live wallpapers
✔ Restart simu mara kwa mara
✔ Backup data zako na fanya factory reset kila miezi kadhaa
✔ Futa apps usizotumia
✔ Zima animations: Developer Options > Window/Transition scale
✔ Epuka live wallpapers
✔ Restart simu mara kwa mara
✔ Backup data zako na fanya factory reset kila miezi kadhaa
17. 📱 Unataka kujua simu yako ni ya soko gani (Global, China, India)?
✔ Ingia kwenye imei.info
✔ Andika IMEI yako (*#)
✔ Utaona taarifa zote: region, brand, network bands
17. 📱 Unataka kujua simu yako ni ya soko gani (Global, China, India)?
✔ Ingia kwenye imei.info
✔ Andika IMEI yako (*#)
✔ Utaona taarifa zote: region, brand, network bands
www.imei.info
IMEI Check - Free online service - IMEI.info
Check IMEI Number and find out hidden info. Check hardware specification, warranty or BLACKLIST status and more for FREE. Over 110 mln checked IMEI's in our database.
14. 🎧 Headphones zinaonesha zimeunganishwa wakati hakuna kitu?
✔ Ingiza earphone halafu uitoe taratibu
✔ Restart simu
✔ Clear cache
✔ Jaribu app kama Disable Headphones
✔ Ingiza earphone halafu uitoe taratibu
✔ Restart simu
✔ Clear cache
✔ Jaribu app kama Disable Headphones
15. 🔙 Namba zako za mawasiliano zimefutika?
✔ Fungua app ya Contacts
> Chagua “Organize” au “Recycle Bin”
Rejesha namba zilizofutwa
✔ Google Contacts > Trash
✔ Sync Contacts na Gmail yako
✔ Fungua app ya Contacts
> Chagua “Organize” au “Recycle Bin”
Rejesha namba zilizofutwa
✔ Google Contacts > Trash
✔ Sync Contacts na Gmail yako
11. 🔍 Ulipoteza picha au documents zako?
✔ Angalia kwenye Trash (Gallery > Albums > Trash)
✔ Google Photos: Trash
✔ File Manager > Recent Deleted
✔ WhatsApp: angalia kwenye “Media” folder
✔ Download apps za recovery mapema – usisubiri zipotee
✔ Angalia kwenye Trash (Gallery > Albums > Trash)
✔ Google Photos: Trash
✔ File Manager > Recent Deleted
✔ WhatsApp: angalia kwenye “Media” folder
✔ Download apps za recovery mapema – usisubiri zipotee
10. 💾 Simu haisomi memory card?
✔ Safisha memory card na slot
✔ Jaribu kwenye simu nyingine
✔ Kama inasoma – backup data na i-format (FAT32 format)
✔ Hakikisha ni original card – fake huleta matatizo sana
✔ Safisha memory card na slot
✔ Jaribu kwenye simu nyingine
✔ Kama inasoma – backup data na i-format (FAT32 format)
✔ Hakikisha ni original card – fake huleta matatizo sana
12. 🔁 Simu inajizima yenyewe kila mara
✔ Safisha storage
✔ Angalia kama kuna app mbovu imeingizwa (cracked apps)
✔ Fanya Factory Reset kama haijasaidia
✔ Kama bado – betri inaweza kuwa imechoka
✔ Safisha storage
✔ Angalia kama kuna app mbovu imeingizwa (cracked apps)
✔ Fanya Factory Reset kama haijasaidia
✔ Kama bado – betri inaweza kuwa imechoka
@Huduma
💨 Apple wamewaiga wachina namna wanavyovujisha simu zao mpya ambazo hazijatoka.
Wanaiingiza mtaani makusudi kwa kuifanyia majaribio na kuificha ficha kimkakati.
💨 Apple wamewaiga wachina namna wanavyovujisha simu zao mpya ambazo hazijatoka.
Wanaiingiza mtaani makusudi kwa kuifanyia majaribio na kuificha ficha kimkakati.
16. 🔐 WhatsApp yako hai-display jina la mtumaji kwenye notification?
✔ Nenda WhatsApp Settings > Notifications
✔ Hakikisha Show Preview imewashwa
✔ Pia settings za simu (notification settings) ziwe sawa
✔ Nenda WhatsApp Settings > Notifications
✔ Hakikisha Show Preview imewashwa
✔ Pia settings za simu (notification settings) ziwe sawa