Teknolojia
132 subscribers
3.76K photos
4.44K videos
93 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
1. ⚙️ Network Lock (SIM lock):
Simu yako inaweza kuwa imefungwa kwa mtandao fulani (e.g. Vodacom, Tigo), na unatumia line tofauti.

Hili hujitokeza sana kwenye simu zilizotoka nje ya nchi.
6. 🛠️ Wrong APN or Network Mode:
Wakati mwingine, kuwa kwenye wrong network mode kama 2G only au 4G only (no voice) kunakata simu.

Rekebisha kwa kuchagua “Auto/Preferred Network”.
︎ Teknolojia

💨 Official hii ndiyo series ya Google pixel 10 inayotarajiwa kuzinduliwa mwezi huu wa 8.
︎ Teknolojia

💨 NOTHING NEW UPDATE 💥

▪️CMF Phone1 (6+128) - 600K
▪️Phone2a (12+256) - 850K
▪️Phone 2 (12+256) - 980K

(NON ACTIVE)
▪️CMF Phone1 (8+256) - 850K
▪️Phone2a (8+256) - 1.15m
▪️Phone2a Plus (12+256) - 1.3m
▪️Phone 2 (12+256) - 1.58m
▪️Phone 3a (12+256) - 1.25M
▪️Phone 3a Pro (12+256) - 1.45M

📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 OFFER SAMSUNG A SERIES

▪️A05 (4+64) - 250K
▪️A06 (4+64) - 300K
▪️A06 (4+128) - 330K
▪️A05s (4+128) - 350K
▪️A16 (4+128) -420K
▪️A16 (6+128) - 450K
▪️A16 (8+256) - 550K
▪️A26 5G (6+128) - 650K
▪️A26 5G (8+256) - 750K
▪️A36 5G (6+128) - 850K
▪️A36 5G (8+256) - 950K
▪️A55 5G (8+256) - 950K
▪️A56 5G (8+128) - 1M
▪️A56 5G (8+256) - 1.1M

📍Dar: KKKT Kariakoo
📍Mwanza: Roundabout ya Samaki
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 XIAOMI REDMI (Brand new) 💥

▪️Redmi A5 (3+64) - 250K
▪️Redmi A5 (4+128) - 280K
▪️Redmi 14C (4+128) - 300K
▪️Redmi 14C (8+256) - 350K
▪️Note 13 (6+128) - 450K
▪️Note 13 (8+256) - 530K
▪️Note 13 Pro 4G (8+256) - 680K
▪️Note 13 Pro+ 5G (8+256) - Tsh. 880K
▪️Note 13 Pro+ 5G (12+512) - Tsh. 1.05M
▪️Redmi Note 14 (6+128) - 480K
▪️Redmi Note 14 (8+256) - 580K
▪️Redmi Note 14 5G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 4G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 5G (8+256) - 800K
▪️Redmi Note 14 Pro+ 5G (8+256)
︎ Teknolojia

💨Hawa redmi wanataka simu zao zisambae kila kona ya dunia kwa sasa.

Kila mwezi wanakuja na simu mpya hii hapa Redmi Note 14 SE itakayozinduliwa 28 mwezi huu katika soko huko India
Itakuwa na features zifuatazo
- 120Hz AMOLED panel with 2100nits brightness
- Dimensity 7025 Ultra
- 50MP Sony LYT-600 OIS
- 5110mAh battery
- Dual speakers
- In-display fingerprint scanner
︎ Teknolojia

💨 Home Studio loading ....
︎ Teknolojia

💨 Camera Protector za iPhone 17 Pro
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

💨Hizi simu ni noma ina picha kali ila kamera uje nayo wewe😂😂
Jinsi ya ku-sync:

> Settings > Accounts > Google > [email yako] > turn on "Contacts"

Zitarudi moja kwa moja kwenye simu yako.
➡️ Hapo utaona contacts zote ulizofuta ndani ya siku 30
➡️ Chagua unazotaka > Gusa Restore

🔁 Zitarudi moja kwa moja kwenye list yako ya contacts.
➡️ Nenda kwenye Settings > Undo changes
➡️ Chagua muda: 10 mins, 1 hour, Yesterday, etc.
➡️ Contacts zako zitarudishwa kama zilivyokuwa wakati huo


2. Tumia ‘Undo Changes’ ya Google Contacts

Ikiwa umefuta contacts ndani ya siku 30 zilizopita:

➡️ Ingia contacts.google.com
NB: Hizi zinahitaji PC/Laptop na mara nyingine root/permissions maalum.
5. Rejesha Kutoka Backup App

Kama uliwahi kutumia apps kama:

Truecaller – inabackup contacts pia

Samsung Cloud – kwa simu za Samsung

Mi Cloud – kwa Xiaomi

Phone Clone (Huawei, Tecno, etc.)

Ingia kwenye app husika > Login > Rejesha backups zako.
Hakikisha unawasha auto-backup ya Google Contacts

Usihifadhi contacts kwenye SIM – ni rahisi kufutika

Tumia apps kama MCBackup au Super Backup kwa backup ya haraka


6. Angalia kwenye Trash ya Google Contacts
(Njia bora kabisa)

Google Contacts huweka namba zote ulizofuta kwa makusudi kwenye Trash (takataka) kwa siku 30 kabla hazijafutwa kabisa.

➡️ Fungua contacts.google.com kwenye browser
➡️ Gusa "Organize" upande wa kushoto