Teknolojia
132 subscribers
3.75K photos
4.43K videos
93 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ PS6 😁
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
γ€½οΈŽ Teknolojia

Infinix wanahatari mnoo aisee, kupitia toleo lao jipya la NOTE 50 Pro+ 5.5G wamekuja na Features nyingi kali za AI na zote zinarahisisha matumizi ya kila siku ya mtumiaji wa simu hii.
πŸŒ™ 5. Night Mode, HDR, AI – hizi zinabadili mchezo
β€’ HDR huongeza contrast
β€’ AI hubalance mwanga na rangi
β€’ Night Mode huruhusu picha ang’avu bila flash
πŸ“· 4. Pixel Binning: 200MP inakuwa 12MP kwa makusudi!

Simu nyingi hutumia teknolojia ya Pixel Binning – kuchanganya pixels ili kupata mwanga bora.
βœ… 7. Jinsi ya kuchagua simu yenye kamera bora (kwa kweli):

Angalia sensor size (Sony IMX, Samsung GN2...)

Chipset ya simu (Snapdragon 8 Gen 2, n.k.)

Mfano wa matokeo ya kamera (YouTube/Reviews)
🧠 3. Processing chip ina mchango mkubwa
Kamera haina akili β€” chip ya simu ndiyo inafanya kazi ya kusafisha picha.
⚠️ 6. Uchafu wa lenzi, mtikisiko, na autofocus duni = picha mbaya
β€’ Hakikisha lenzi yako safi
β€’ Acha simu ikafocus vizuri kabla ya kupiga
β€’ Tumia mode sahihi (portrait, pro, n.k.)
Kuwa na 200MP siyo vibaya, lakini si kila 200MP ni picha bora. Ubora wa picha unategemea mambo mengi β€” sio namba pekee
πŸ”Ž Hivyo picha bora ni software + sensor + chip β€” si megapixel pekee.
πŸ“± iPhone 12 12MP inaweza kuwapiga bao baadhi ya 108MP phones kwa sababu ya processor nzuri (A14 Bionic, n.k.)
πŸ§ͺ Mfano: 16 pixels zinachanganywa kuwa moja β†’ picha za 12MP zenye ubora zaidi kuliko 200MP raw.
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ JBL SPEAKER (OriginalπŸ’―)

β–ͺ️JBL Go 3 - 145K
β–ͺ️JBL Go 4 - 190K
β–ͺ️JBL Flip6 - 300K
β–ͺ️JBL Flip7 - 380K
β–ͺ️JBL Charger5 - 450K
β–ͺ️JBL Charger6 - 550K
β–ͺ️JBL XTRME3 - 700K
β–ͺ️JBL XTRME4 - 840K
β–ͺ️JBL Boombox X3 Wi-Fi - 1.3M

πŸ“Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo Floor ya 1 utaingia ndani duka limeandikwa Njiwa
@Njiwa_Store
πŸ“ž 0745100757
wa.me/+255745100757
@Huduma

πŸ’¨ OFFER SAMSUNG A SERIES

β–ͺ️A05 (4+64) - 250K
β–ͺ️A06 (4+64) - 300K
β–ͺ️A06 (4+128) - 330K
β–ͺ️A05s (4+128) - 350K
β–ͺ️A16 (4+128) -450K
β–ͺ️A16 (8+256) - 580K
β–ͺ️A26 5G (6+128) - 680K
β–ͺ️A26 5G (8+256) - 780K
β–ͺ️A36 5G (6+128) - 900K
β–ͺ️A36 5G (8+256) - 1M
β–ͺ️A56 5G (8+128) - 1M
β–ͺ️A56 5G (8+256) - 1.15M

πŸ“Dar: KKKT Kariakoo
πŸ“Mwanza: Roundabout ya Samaki
@Njiwa_Store
πŸ“ž 0745100757
wa.me/+255745100757
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
γ€½οΈŽ Teknolojia

Miyeyusho ya Mr Joel πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™Œ... Shuhudia kilichomkuta Mr Joel kitaani , hii ndo tunaita mgonjwa hataki soda anataka mia 6 yake..
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ SAMSUNG A55 5G

β–ͺ️50MP Camera
β–ͺ️Exynos 1480
β–ͺ️8GB RAM, 256GB ROM
β–ͺ️5000mAh | 25W

β–ͺ️TSH. 1,000,000

πŸ“Dar: KKKT Kariakoo
πŸ“ž 0745100757
wa.me/+255745100757
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ Nani anayeweza kunielewesha vizuri kwanini picha zinakatazwa kupigwa kwenye madaraja na Vivukoni?