Teknolojia
133 subscribers
3.82K photos
4.55K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
Iliundwa ili kusaidia simu zinazodondoka kutoka kwenye mfuko wa suruali hadi ardhini.

Inatumika sana kwenye midrange za kisasa kama baadhi ya Redmi, Realme, Samsung A series.

🧠 Ni balance nzuri ya cost vs protection.
3. Gorilla Glass Victus (2020)
πŸ”₯ Hii ni level ya juu!

βœ… Drop resistance hadi 2 meters.

βœ… Scratch resistance imeboreshwa kwa 4x zaidi ya Gorilla Glass 5.
⚠️ Kwa Nini Hii Tofauti Ni Muhimu?
Ukiangusha simu yenye GG3: high chance itavunjika.

GG5: inaweza kuhimili kidogo, lakini still ina risk.

Victus: chance ya survival ni kubwa sana.

Kwa hiyo, ukiambiwa "Simu ina Gorilla Glass Victus" – hiyo ni point kubwa ya kuuza.
2. Gorilla Glass 5 (2016)

βœ… Kipaumbele: Drop protection (inaweza kuhimili kudondoka kutoka ~1.6m).

βœ… Bado ina scratch resistance ya kawaida.
@Huduma

πŸ’¨ INFINIX BRAND NEW

β–ͺ️Infinix Smart 8 (4+64) - 230K
β–ͺ️Infinix Smart 9 (6+64) - 250K
β–ͺ️Infinix Hot 50i (8+128) - 310K
β–ͺ️Infinix Hot 50 Pro+ (16+128) - 520K
β–ͺ️Infinix Note 50 (16+256) - 650K
β–ͺ️Infinix Note 50 Pro+ (12+512) - 1.2M

πŸ“Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo Floor ya 1 utaingia ndani duka limeandikwa Njiwa
@Njiwa_Store
πŸ“ž 0745100757
wa.me/+255745100757
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ Mimi awe anafanania hivi 100% naisha
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ PS6 😁
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
γ€½οΈŽ Teknolojia

Infinix wanahatari mnoo aisee, kupitia toleo lao jipya la NOTE 50 Pro+ 5.5G wamekuja na Features nyingi kali za AI na zote zinarahisisha matumizi ya kila siku ya mtumiaji wa simu hii.
πŸŒ™ 5. Night Mode, HDR, AI – hizi zinabadili mchezo
β€’ HDR huongeza contrast
β€’ AI hubalance mwanga na rangi
β€’ Night Mode huruhusu picha ang’avu bila flash
πŸ“· 4. Pixel Binning: 200MP inakuwa 12MP kwa makusudi!

Simu nyingi hutumia teknolojia ya Pixel Binning – kuchanganya pixels ili kupata mwanga bora.
βœ… 7. Jinsi ya kuchagua simu yenye kamera bora (kwa kweli):

Angalia sensor size (Sony IMX, Samsung GN2...)

Chipset ya simu (Snapdragon 8 Gen 2, n.k.)

Mfano wa matokeo ya kamera (YouTube/Reviews)
🧠 3. Processing chip ina mchango mkubwa
Kamera haina akili β€” chip ya simu ndiyo inafanya kazi ya kusafisha picha.
⚠️ 6. Uchafu wa lenzi, mtikisiko, na autofocus duni = picha mbaya
β€’ Hakikisha lenzi yako safi
β€’ Acha simu ikafocus vizuri kabla ya kupiga
β€’ Tumia mode sahihi (portrait, pro, n.k.)
Kuwa na 200MP siyo vibaya, lakini si kila 200MP ni picha bora. Ubora wa picha unategemea mambo mengi β€” sio namba pekee
πŸ”Ž Hivyo picha bora ni software + sensor + chip β€” si megapixel pekee.
πŸ“± iPhone 12 12MP inaweza kuwapiga bao baadhi ya 108MP phones kwa sababu ya processor nzuri (A14 Bionic, n.k.)