Teknolojia
132 subscribers
3.74K photos
4.4K videos
90 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
︎ Teknolojia

Pixel 7a Pixel 7 Pixel 7 Pro
︎ Teknolojia

💨 Nchi yetu ni ya special sana

▪️System ni ya Mtanzania
▪️Ashakutana hadi na Waziri akapongezwa
▪️Huko nchi za wengine inapewa sifa kemkem
▪️Office zipo Kenya
▪️Tanzania haifanyi kazi
Inatumika kwenye baadhi ya midrange na budget phones.

Imeshakuwa outdated kwa viwango vya leo.

Ikianguka vibaya – kuna uwezekano mkubwa kuvunjika.
1. Gorilla Glass 3 (2013)

Kipaumbele: Kupinga mikwaruzo (scratch resistance).

⚠️ Udhaifu: Haitoi ulinzi mzuri sana dhidi ya kupasuka ikidondoka.
︎ Teknolojia

💨HII NDIO TOFAUTI YA KIOO CHA GORILLA 3 VS 5 VS VICTUS KWENYE SIMU.

Simu yako inaweza kuonekana nzuri juu juu... lakini je, kioo chake kinaweza kustahimili kudondoka au kukwaruzwa?

Twende kazi 🧵🧵👇
🧠 Kuna pia Victus+ na Victus 2 kwa simu za 2023/2024 – zimeboreshwa zaidi.
Inapatikana kwenye flagship phones (Samsung Galaxy S22, S23, Pixel 8, etc).

Hii sio kioo tu, ni ngao 💪

Kwa mtu anayejali uimara wa simu, Victus ni top-tier.
Usiangalie tu “ina Gorilla Glass”, angalia ni toleo gani (3, 5, Victus, n.k.).
Flagship specs zina maana hata kwenye screen protection.
Iliundwa ili kusaidia simu zinazodondoka kutoka kwenye mfuko wa suruali hadi ardhini.

Inatumika sana kwenye midrange za kisasa kama baadhi ya Redmi, Realme, Samsung A series.

🧠 Ni balance nzuri ya cost vs protection.
3. Gorilla Glass Victus (2020)
🔥 Hii ni level ya juu!

Drop resistance hadi 2 meters.

Scratch resistance imeboreshwa kwa 4x zaidi ya Gorilla Glass 5.
⚠️ Kwa Nini Hii Tofauti Ni Muhimu?
Ukiangusha simu yenye GG3: high chance itavunjika.

GG5: inaweza kuhimili kidogo, lakini still ina risk.

Victus: chance ya survival ni kubwa sana.

Kwa hiyo, ukiambiwa "Simu ina Gorilla Glass Victus" – hiyo ni point kubwa ya kuuza.
2. Gorilla Glass 5 (2016)

Kipaumbele: Drop protection (inaweza kuhimili kudondoka kutoka ~1.6m).

Bado ina scratch resistance ya kawaida.
@Huduma

💨 INFINIX BRAND NEW

▪️Infinix Smart 8 (4+64) - 230K
▪️Infinix Smart 9 (6+64) - 250K
▪️Infinix Hot 50i (8+128) - 310K
▪️Infinix Hot 50 Pro+ (16+128) - 520K
▪️Infinix Note 50 (16+256) - 650K
▪️Infinix Note 50 Pro+ (12+512) - 1.2M

📍Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo Floor ya 1 utaingia ndani duka limeandikwa Njiwa
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 Mimi awe anafanania hivi 100% naisha
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

Infinix wanahatari mnoo aisee, kupitia toleo lao jipya la NOTE 50 Pro+ 5.5G wamekuja na Features nyingi kali za AI na zote zinarahisisha matumizi ya kila siku ya mtumiaji wa simu hii.