〽︎ Teknolojia
. SmartTag – (Samsung)
SmartTag inafanya kazi sawa lakini kwa kupitia SmartThings Find.
📱 Simu yoyote ya Samsung Galaxy iliyo karibu na tag yako itaiscan kupitia background na location hutumwa kwenye account yako ya Samsung.
. SmartTag – (Samsung)
SmartTag inafanya kazi sawa lakini kwa kupitia SmartThings Find.
📱 Simu yoyote ya Samsung Galaxy iliyo karibu na tag yako itaiscan kupitia background na location hutumwa kwenye account yako ya Samsung.
〽︎ Teknolojia
. Tile – (Android & iPhone)
Tile inategemea app yake: Tile Network.
Simu yoyote yenye Tile app ikipita karibu na Tile yako → location inaenda kwenye Tile servers → na inakufikia wewe.
. Tile – (Android & iPhone)
Tile inategemea app yake: Tile Network.
Simu yoyote yenye Tile app ikipita karibu na Tile yako → location inaenda kwenye Tile servers → na inakufikia wewe.
9. Kwa nini uweke tracker kwenye simu au begi lako?
✔️ Simu ikiibwa na kuzimwa – tracker bado inaweza kutuma location kupitia crowd
✔️ Unaweza kurudisha begi au laptop yako kirahisi
✔️ Ni "insurance" dhidi ya hasara ya kupoteza vifaa muhimu
✔️ Simu ikiibwa na kuzimwa – tracker bado inaweza kutuma location kupitia crowd
✔️ Unaweza kurudisha begi au laptop yako kirahisi
✔️ Ni "insurance" dhidi ya hasara ya kupoteza vifaa muhimu
Je, ungetaka kutumia ipi kati ya hizi: AirTag, SmartTag au Tile?
👇 Tuambie kwenye comments!
👇 Tuambie kwenye comments!
@Huduma
💨 XIAOMI REDMI (Brand new) 💥
▪️Redmi A5 (3+64) - 250K
▪️Redmi A5 (4+128) - 280K
▪️Redmi 14C (4+128) - 300K
▪️Redmi 14C (8+256) - 350K
▪️Note 13 (6+128) - 450K
▪️Note 13 (8+256) - 530K
▪️Note 13 Pro 4G (8+256) - 680K
▪️Note 13 Pro+ 5G (8+256) - Tsh. 880K
▪️Note 13 Pro+ 5G (12+512) - Tsh. 1.05M
▪️Redmi Note 14 (6+128) - 480K
▪️Redmi Note 14 (8+256) - 580K
▪️Redmi Note 14 5G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 4G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 5G (8+256) - 800K
▪️Redmi Note 14 Pro+ 5G (8+256)
💨 XIAOMI REDMI (Brand new) 💥
▪️Redmi A5 (3+64) - 250K
▪️Redmi A5 (4+128) - 280K
▪️Redmi 14C (4+128) - 300K
▪️Redmi 14C (8+256) - 350K
▪️Note 13 (6+128) - 450K
▪️Note 13 (8+256) - 530K
▪️Note 13 Pro 4G (8+256) - 680K
▪️Note 13 Pro+ 5G (8+256) - Tsh. 880K
▪️Note 13 Pro+ 5G (12+512) - Tsh. 1.05M
▪️Redmi Note 14 (6+128) - 480K
▪️Redmi Note 14 (8+256) - 580K
▪️Redmi Note 14 5G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 4G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 5G (8+256) - 800K
▪️Redmi Note 14 Pro+ 5G (8+256)
@Huduma
💨 Hizi Sony Xperia 10 iv unapata used za dubai clean kabisa kwa bei nzuri na specifications za ushindi
(6GB RAM, 128GB ROM) - 270,000
📍Dar: KKKT Kariakoo
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
💨 Hizi Sony Xperia 10 iv unapata used za dubai clean kabisa kwa bei nzuri na specifications za ushindi
(6GB RAM, 128GB ROM) - 270,000
📍Dar: KKKT Kariakoo
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
🛰️ Starlink imeanza kufanya kazi Congo (DRC) 🇨🇩 https://twitter.com/Starlink/status/1929936568355360848#m
〽︎ Teknolojia
💨 Huu mtandao una wajasiriamali wengi tena vijana wadogo waliomaliza vyuo na kukosa ajira ya yale waliyofundishwa chuoni na kuamua kujiongeza humu mtandaoni walau wajipatie kipato cha kupunguza umaskini.
Sasa mmefunga huu mtandao sababu ni "maudhui ya ngono" ni vyema mkapima kwa ujumla ni kina nani wanaopata madhara zaidi.
Na bado mchokozi kakushikia panga shingoni anakulazimisha umuite yeye mchokozi na ukimuita anakuchinja.
💨 Huu mtandao una wajasiriamali wengi tena vijana wadogo waliomaliza vyuo na kukosa ajira ya yale waliyofundishwa chuoni na kuamua kujiongeza humu mtandaoni walau wajipatie kipato cha kupunguza umaskini.
Sasa mmefunga huu mtandao sababu ni "maudhui ya ngono" ni vyema mkapima kwa ujumla ni kina nani wanaopata madhara zaidi.
Na bado mchokozi kakushikia panga shingoni anakulazimisha umuite yeye mchokozi na ukimuita anakuchinja.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
💨Mmeona hii Google Flow feature inavyofanya kazi
Naona hata zile animation video huko mbele zitapata upinzani mkali sana
Cheki video jamaa akifufuka
💨Mmeona hii Google Flow feature inavyofanya kazi
Naona hata zile animation video huko mbele zitapata upinzani mkali sana
Cheki video jamaa akifufuka
〽︎ Teknolojia
💨 OFFER SAMSUNG A SERIES
▪️A05 (4+64) - 250K
▪️A06 (4+64) - 300K
▪️A06 (4+128) - 330K
▪️A05s (4+128) - 350K
▪️A16 (4+128) -450K
▪️A16 (8+256) - 580K
▪️A26 5G (6+128) - 680K
▪️A26 5G (8+256) - 780K
▪️A36 5G (6+128) - 900K
▪️A36 5G (8+256) - 1M
▪️A56 5G (8+128) - 1M
▪️A56 5G (8+256) - 1.15M
📍Dar: KKKT Kariakoo
📍Mwanza: Roundabout ya Samaki
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
💨 OFFER SAMSUNG A SERIES
▪️A05 (4+64) - 250K
▪️A06 (4+64) - 300K
▪️A06 (4+128) - 330K
▪️A05s (4+128) - 350K
▪️A16 (4+128) -450K
▪️A16 (8+256) - 580K
▪️A26 5G (6+128) - 680K
▪️A26 5G (8+256) - 780K
▪️A36 5G (6+128) - 900K
▪️A36 5G (8+256) - 1M
▪️A56 5G (8+128) - 1M
▪️A56 5G (8+256) - 1.15M
📍Dar: KKKT Kariakoo
📍Mwanza: Roundabout ya Samaki
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
〽︎ Teknolojia
💨Baada ya simu za iOS kuweza kupokea adobe Photoshop beta mwanzoni kabisa mwa mwaka sasa wale wa android mmefikiwa.
Kwa sasa pia simu za android nazo zinauwezo wa kupokea Adobe Photoshop beta ambayo inafanya kazi kama kwenye computer.
Vigezo simu inapaswa kuwa na android 11 na 6GB RAM.
▪️Source: GSMArena
💨Baada ya simu za iOS kuweza kupokea adobe Photoshop beta mwanzoni kabisa mwa mwaka sasa wale wa android mmefikiwa.
Kwa sasa pia simu za android nazo zinauwezo wa kupokea Adobe Photoshop beta ambayo inafanya kazi kama kwenye computer.
Vigezo simu inapaswa kuwa na android 11 na 6GB RAM.
▪️Source: GSMArena
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
🆕 Samsung imeanza kuonyesha trailer ya simu yake mpya ya Galaxy Fold7 Ultra.
Itakuwa ni nyembamba zaidi na kamera yake itakuwa ni kubwa.
Simu hii itatoka pamoja na simu ya Galaxy Z Fold 7 na Z Flip 7 mwanzo wa mwezi July.
Itakuwa ni nyembamba zaidi na kamera yake itakuwa ni kubwa.
Simu hii itatoka pamoja na simu ya Galaxy Z Fold 7 na Z Flip 7 mwanzo wa mwezi July.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma
Umeme unatoka kwa maji... lakini ukimwaga maji kwenye socket inaripuka!? 😳🔥 Hii ni sayansi au uchawi? Angalia hadi mwisho ujue ukweli wa hii mystery! 🤯
Umeme unatoka kwa maji... lakini ukimwaga maji kwenye socket inaripuka!? 😳🔥 Hii ni sayansi au uchawi? Angalia hadi mwisho ujue ukweli wa hii mystery! 🤯