Teknolojia
132 subscribers
3.76K photos
4.44K videos
93 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

๐Ÿ’จOne plus 13s๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ
ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

๐Ÿ’จ Haya mambo yanashangaza sana

Vitu tunavyoona vinaweza kusimamiwa na watu wa hapa hapa ndani kumbe kuna wengine wana upeo wa tofauti.
ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

๐Ÿ’จ XIAOMI REDMI (Brand new) ๐Ÿ’ฅ

โ–ช๏ธRedmi A5 (3+64) - 250K
โ–ช๏ธRedmi A5 (4+128) - 280K
โ–ช๏ธRedmi 14C (4+128) - 300K
โ–ช๏ธRedmi 14C (8+256) - 350K
โ–ช๏ธNote 13 (6+128) - 450K
โ–ช๏ธNote 13 (8+256) - 530K
โ–ช๏ธNote 13 Pro 4G (8+256) - 680K
โ–ช๏ธNote 13 Pro+ 5G (8+256) - Tsh. 880K
โ–ช๏ธNote 13 Pro+ 5G (12+512) - Tsh. 1.05M
โ–ช๏ธRedmi Note 14 (6+128) - 480K
โ–ช๏ธRedmi Note 14 (8+256) - 580K
โ–ช๏ธRedmi Note 14 5G (8+256) - 700K
โ–ช๏ธRedmi Note 14 Pro 4G (8+256) - 700K
โ–ช๏ธRedmi Note 14 Pro 5G (8+256) - 800K
โ–ช๏ธRedmi Note 14 Pro+ 5G (8+256)
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Sumsang S21 Ultra Kwa Tsh 895,000/= Tu .. Who is Ready? Na kama utahitaji huduma za kufikishiwa mpaka ulipo pia hilo siyo tatizo.. Bado tunaendelea kuwakumbusha kwamba hapa ndiyo chimbo pekee la kujipatia simu genuine kwa bei nafuu kabisa... Unasubiri nini mwanakitaa?!!! Call/Whatsapp 0712858344 Tunapatikana Sinza Mori
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Unajua betri inafanyaje hadi iweze kuchajiwa tena? โšก Ni zaidi ya kubonyeza tu chaja! Kuna sayansi kali ya ioni, elektroni na kemia ya ndani! ๐Ÿงช Fuatilia hadi mwisho ujue inavyotokea โ€“ utakushangaza! ๐Ÿ˜ฑ
4. Kwa iPhone: Namna ya kuwezesha Activation Lock
Apple hutumia iCloud Activation Lock ambayo huwasha kiotomatiki ukiwasha:
3. Kwa Android: Namna ya kuwezesha FRP
FRP huja active moja kwa moja pindi unapoweka:

โœ… Screen Lock (PIN/Pattern/Password)
โœ… Google Account (Settings โ†’ Accounts โ†’ Google)
7. Ushauri wa kitaalamu:
โœ”๏ธ FRP ni silaha ya msingi โ€“ washa sasa hivi.
โœ”๏ธ Ikiwa unauza simu yako, toa Google/Apple ID kwanza manually.
โœ”๏ธ Ukiwa muuzaji wa simu, zingatia FRP clean phones tu.
Bila hizo credentials โ€” simu inakuwa unusable (bricked).
5. Usikose haya mambo 3 muhimu:
๐Ÿ”’ Weka lock screen yenye password
๐Ÿ”’ Usitoe account ya Google/iCloud
๐Ÿ”’ Weka Find My Device/iPhone ON
8. Bonus Tip:
Tumia apps za Anti-Theft kama:
๐Ÿ“ฒ Cerberus
๐Ÿ“ฒ Prey Anti-Theft
๐Ÿ“ฒ Google's Find My Device
Zinaongeza protection ya ziada hata kama mtu atajaribu kufanya reset.
โœ… Find My iPhone
(Settings โ†’ Your Name โ†’ Find My โ†’ Find My iPhone โ†’ ON)

๐Ÿ“Œ Hii inazuia mtu kutumia simu hata aki-reset.
๐Ÿ“Œ Hakikisha huondoi account yako ya Google bila sababu.
Bila hivyo โ€“ mtu anaweza kui-reset na kutumia bila restriction yoyote!