Teknolojia
132 subscribers
3.78K photos
4.45K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
Mwisho: Check Resolution Kabla ya Kununua Simu!
Usiridhike tu na “inapendeza”. Nenda Settings > Display > Resolution ujue unatumia nini.

Ukiwa mfuatiliaji wa tech, hii ni knowledge muhimu unapaswa kuwa nayo.
Refresh Rate ≠ Resolution

Watu huchanganya haya mawili.

Resolution: Sharpness ya picha

Refresh rate: Smoothness ya harakati (e.g. 60Hz, 90Hz, 120Hz)
Je, macho yako yanaweza kuona tofauti?
Ndiyo — lakini inategemea size ya screen.

Kwenye 6.7" QHD phone, utaona tofauti ya sharpness vs FHD.

Lakini kwa 5.5", tofauti ni ndogo sana.

➡️ Pointi ni: usilipe zaidi kwa kitu usichohitaji.
Bajeti ndogo au screen ndogo (inches ≤ 6.0) → HD bado inatosha.
Ni ipi inakufaa?

Kama unatumia simu kwa:

Social Media, WhatsApp, browsing → FHD inakutosha kabisa.
︎ Teknolojia

💨 USED DUBAI (Original Display)👇

▪️Pixel 6 (8+128) - 450K
▪️Pixel 7 (8+128) - 630K
▪️Pixel 7a (8+128) - 630K
▪️Pixel 7 Pro (12+128) - 850K
▪️Pixel 7 Pro (12+256) - 950K CPO
▪️Pixel 8 Pro (12+128) - 1.15M

PIXEL MPYA (Non Active)💥
▪️Pixel 9a (8+128) - 1.45M
▪️Pixel 9a (8+256) - 1.7M
▪️Pixel 9 (12+128) - 1.75M
▪️Pixel 9 (12+256) - 2.15M
▪️Pixel 9 Pro (16+128) - 2.4M
▪️Pixel 9 Pro (16+256) - 2.8M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+128) - 2.5M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+256) - 2.8M

📍Opposite na KKKT Kariakoo | Deliv
Video editing, gaming, viewing content kwa macho makali → QHD itakuvutia.
︎ Teknolojia

💨Jamaa kapost picha ya mama ake wakiwa dinner
Shida sio dinner ni hilo tambo Vivo X200 Ultra🔥🔥.
@Huduma

💨 XIAOMI REDMI (Brand new) 💥

▪️Redmi A5 (3+64) - 250K
▪️Redmi A5 (4+128) - 280K
▪️Redmi 14C (4+128) - 300K
▪️Redmi 14C (8+256) - 350K
▪️Note 13 (6+128) - 450K
▪️Note 13 (8+256) - 530K
▪️Note 13 Pro 4G (8+256) - 680K
▪️Note 13 Pro+ 5G (8+256) - Tsh. 880K
▪️Note 13 Pro+ 5G (12+512) - Tsh. 1.05M
▪️Redmi Note 14 (6+128) - 480K
▪️Redmi Note 14 (8+256) - 580K
▪️Redmi Note 14 5G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 4G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 5G (8+256) - 800K
▪️Redmi Note 14 Pro+ 5G (8+256)
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Tuwe na utaratibu wa kuuliza jamani 😂😂🙌🙌
︎ Teknolojia

💨 TECNO CAMON 40 Series

▪️Camon 40 (16+256) - 650K
▪️Camon 40 Pro (16+256) - 750K
▪️Camon 40 Premier (21+512) - 1.15M

📍Geti la KKKT Kariakoo
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 Tunakufikia popote ulipo ndani ya Tanzania kwa uaminifu na usalama mkubwa mno.

📍Dar: KKKT Kariakoo
📍Mwanza: Roundabout ya Samaki
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
6️⃣ Inaweza kuwa mlango wa huduma za kifedha
Kupitia STK, unaweza:

Kulipa bili

Kutuma pesa

Kununua vifurushi

Kufuatilia matumizi yako
... bila kuhitaji app ya mitandao kama M-Pesa app.

👇
4️⃣ Inafanya kazi hata bila internet
STK inategemea USSD (Unstructured Supplementary Service Data)

Mfano: Ukienda kwenye STK > Nunua bando > inachakata USSD code (kama 14901#)

👇
8️⃣ Kwenye baadhi ya simu, STK inaweza kuwa na jina tofauti
Inaweza kuitwa:

SIM Services

STK

App ya jina la mtandao (kama “Vodacom App”)
Lakini zote hutekeleza kazi ile ile.

👇
Suluhisho:
Tumia line kutoka kwa mitandao rasmi.
Usipokee SIM isiyo ya kwako au iliyofunguliwa mitaani.

👇
🔟 Kwa nini ni muhimu kuifahamu?

Inaongeza speed ya kutumia huduma

Huhitaji app nyingi

Huokoa data

Huduma zake zinafanya kazi hata ukiwa kwenye simu ya tochi
3️⃣ App hii haijifanyi yenyewe popote – bali inafanya kazi kwa amri zako
Usihofu:

Haisomi messages zako

Haiwezi kuchukua picha

Haina uwezo wa kuchungulia apps zako zingine
Lakini inaweza kutumia USSD codes kwa niaba yako.

👇