Teknolojia
132 subscribers
3.83K photos
4.59K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
iPhone nayo ina [Find My iPhone] kupitia iCloud:
→ Ingia kwa Apple ID
→ Chagua kifaa
→ Bofya Lost Mode
→ Simu yako itafungwa remotely hata bila kuunganishwa na mtandao papo hapo.
Kumbuka:
Simu si tu kifaa — ni sehemu ya maisha yetu.
Mtu akidhibiti simu yako remotely, anaweza:

Kuiba data zako

Kufunga biashara yako

Kukusababishia stress kubwa
Unajilindaje?

Badilisha password zako mara kwa mara

Tumia 2FA kwenye Google/Apple ID

Ondoa vifaa visivyofahamika kwenye account yako

Usilogin kwenye simu au kompyuta ya mtu mwingine
Vipi mtu anaweza kufanya hivi?

Kama aliwahi kupata access ya Google/iCloud yako

Kama ulilogin kwenye kifaa chake

Kama ulishare credentials zako bila kujua

Kama ulidanganywa na link ya phishing
︎ Teknolojia

💨Mfano hawa wote wakawekeza kutengeneza simu moja... camera 🥶📸
︎ Teknolojia

💨Kampuni ya Amazon kwa sasa wanamekuja na njia ya kutumia drones kufanya delivery kwa wateja wa iphone na Galaxy.

Hii gharama yake ni $4.99

Hii ni kwa taifa la Marekani pekee.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

💨 Chopa! hizi hesabu zinavyopigwa hapa na namna hawa jamaa wanavyoweza kucheza na muda kwenye kupangilia matukio yao ni akili kubwa inatumika hapa.

Binafsi bado naamini CDM itabaki kuwa ni imani.
︎ Teknolojia

💨 XIAOMI REDMI (Brand new) 💥

▪️Redmi A5 (3+64) - 250K
▪️Redmi A5 (4+128) - 280K
▪️Redmi 14C (4+128) - 300K
▪️Redmi 14C (8+256) - 350K
▪️Note 13 (6+128) - 450K
▪️Note 13 (8+256) - 530K
▪️Note 13 Pro 4G (8+256) - 650K
▪️Note 13 Pro 5G (8+256) - 780K
▪️Note 13 Pro+ 5G (8+256) - Tsh. 880K
▪️Note 13 Pro+ 5G (12+512) - Tsh. 1.05M
▪️Redmi Note 14 (6+128) - 480K
▪️Redmi Note 14 (8+256) - 580K
▪️Redmi Note 14 5G (8+256) - 750K
▪️Redmi Note 14 Pro 4G (8+256) - 800K
▪️Redmi Note 14 Pro 5G (8+256) - 900K
5. Weka Email Backup Salama na Secure Password
→ Watu wengi hupoteza account kwa sababu email yao ndiyo imehackiwa.
→ Hakikisha email yako nayo ina 2FA.
10. Update App Mara kwa Mara
→ Updates huleta patches dhidi ya security bugs.
→ Epuka kutumia X kwa browser isiyojulikana au app ya kutiliwa shaka.
3. Usihifadhi Password Browser Bila Ku-encrypt
→ Password zako zikiwa saved kwa browser bila protection, zipo hatarini.
→ Tumia password manager salama kama Bitwarden au 1Password.
8. Usitoe Number au Code Yoyote Unayotumiwa kwa DM
→ Social engineering ni njia rahisi ya hackers kupata access kupitia wewe mwenyewe.
→ No one from X will DM you asking for codes.
1. Tumia Strong Password isiyodhaniwa Kirahisi
→ Acha kutumia majina, tarehe ya kuzaliwa au namba zako.
→ Tumia mix ya herufi kubwa, ndogo, namba na symbols.
Mfano mzuri: Z!mA@2024Tw#
6. Ondoa Access za App Zisizojulikana
→ Settings > Security > Apps and sessions
→ Ondoa access za apps hujazisajili au unazotumia tena.
Zingine hutumiwa kuiba token zako kwa siri.
2. Weka 2FA (Two-Factor Authentication)
→ Ingia Settings > Security > Two-Factor Authentication
→ Chagua “Authentication App” kama Google Authenticator au Authy.
Usitumie SMS 2FA pekee – inaweza kuwa spoofed au intercepted.
7. Epuka kutumia Public Wi-Fi bila VPN
→ Public Wi-Fi inaweza kuwa “trap” ya hackers kusniff credentials zako.
→ Tumia VPN kama ProtonVPN, NordVPN nk.
9. Angalia Devices Zilizopo Logged In
→ Settings > Account > Sessions
→ Toa any unrecognized device.
→ Kumbuka: unaweza pia kulog out zote instantly.


4. Usibonye Link za Ajabu Ajabu (Phishing)
→ Links kama twltter-login.help au support-x.profiles ni mtego!
→ Wanaiba login info zako kwa ujanja – ignore au report.
💭 Umewaza nini kuhusu mtu kuwa na uwezo wa Kubadilisha Taka za plastiki kuwa Matofali (bricks) 🧱

Vipi hii Teknolojia ikija nchini Tanzania?? 🇹🇿🇹🇿

Usisahau kutu follow @Bongotech255 kwa Maujanja zaidi 💡
💭 Hii sio tu inasaidia kupunguza uchafuzi wa plastiki lakini pia hutoa suluhisho endelevu na la bei nafuu kwa ujenzi.