💡 Leo nakuletea prompt nzuri ukijaribu kuandika hivi basi picha yako itatokea kama hizo unazozitazama kwenye slide sogeza kuangalia Tafadhari.
〽︎ Teknolojia
Lakini ngoja kwanza hivi unajua maana ya prompt ?? 🙄
Okay kwa ufupi tu ni ujumbe ambao unauandika kutoa maelekezo ya kitu gani unahitaji kufanyiwa inawezekana kwenye Picha, video, au ujumbe wowote ila unachokiandika ndipo kinachokupa matokeo yake.
Lakini ngoja kwanza hivi unajua maana ya prompt ?? 🙄
Okay kwa ufupi tu ni ujumbe ambao unauandika kutoa maelekezo ya kitu gani unahitaji kufanyiwa inawezekana kwenye Picha, video, au ujumbe wowote ila unachokiandika ndipo kinachokupa matokeo yake.
〽︎ Teknolojia
Fanya hivi fungua ChatGpt kisha andika hivi mfano change into cyberpunk style utaona matokeo yake hakikisha una upload picha yako
Usisahau kutu follow @Bongotech255 kwa maujanja zaidi 💡
Fanya hivi fungua ChatGpt kisha andika hivi mfano change into cyberpunk style utaona matokeo yake hakikisha una upload picha yako
Usisahau kutu follow @Bongotech255 kwa maujanja zaidi 💡
〽︎ Teknolojia
💨Xiaomi Redmi 14C (Official✅)
▪️(4GB RAM, 128GB ROM) - 300,000
▪️(8GB RAM, 256GB ROM) - 350,000
📍Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo Floor ya 1 utaingia ndani duka limeandikwa Njiwa
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
💨Xiaomi Redmi 14C (Official✅)
▪️(4GB RAM, 128GB ROM) - 300,000
▪️(8GB RAM, 256GB ROM) - 350,000
📍Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo Floor ya 1 utaingia ndani duka limeandikwa Njiwa
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
〽︎ Teknolojia
💨 Hivi inakuwaje hii namba ambayo sio yangu inakuwa inafanya majaribio ya kureset PIN za Mpesa alafu natumiwa text kwenye line yangu niidhinishe.
💨 Hivi inakuwaje hii namba ambayo sio yangu inakuwa inafanya majaribio ya kureset PIN za Mpesa alafu natumiwa text kwenye line yangu niidhinishe.
Remote Lock ni feature inayoruhusu simu kufungwa kwa mbali, bila ya mtu kuwa nayo mkononi.
Inatumiwa sana pale simu inapopotea au kuibiwa, lakini pia inaweza kutumiwa vibaya!
Inatumiwa sana pale simu inapopotea au kuibiwa, lakini pia inaweza kutumiwa vibaya!
Dalili Simu Yako Iko Hatarini:
Ulishawahi ku-log in kwa akaunti ya mtu
Unatumia password zilezile sehemu tofauti
Haujaset 2FA (Two Factor Authentication)
Mtu ana access ya barua pepe zako
Ulishawahi ku-log in kwa akaunti ya mtu
Unatumia password zilezile sehemu tofauti
Haujaset 2FA (Two Factor Authentication)
Mtu ana access ya barua pepe zako
Je, hii ni halali?
Ndiyo — kisheria hii ni feature halali ya ulinzi.
Lakini: Ikitumiwa vibaya na mtu wa karibu au ex wako, inaweza kuwa kosa la jinai — hasa kama aliipata bila idhini.
Ndiyo — kisheria hii ni feature halali ya ulinzi.
Lakini: Ikitumiwa vibaya na mtu wa karibu au ex wako, inaweza kuwa kosa la jinai — hasa kama aliipata bila idhini.
〽︎ Teknolojia
💨JE UNAJUA SIMU YAKO INAWEZA PIGWA REMOTE LOCK IKIWA MBALI NA MTU MWINGINE?
Unajua Simu Yako Inaweza Kupigwa Remote Lock Bila Wewe Kujua?
→ Yaani mtu anaweza kufunga simu yako remotely hata kama hakuiba?
Shuka🧵👇
Kindly 🔄 ufike mbali
💨JE UNAJUA SIMU YAKO INAWEZA PIGWA REMOTE LOCK IKIWA MBALI NA MTU MWINGINE?
Unajua Simu Yako Inaweza Kupigwa Remote Lock Bila Wewe Kujua?
→ Yaani mtu anaweza kufunga simu yako remotely hata kama hakuiba?
Shuka🧵👇
Kindly 🔄 ufike mbali