6. Ujumbe Unapotea Baada ya Kutumwa (Sent lakini haionekani kwenye outbox)
Tatizo: Unatuma SMS lakini haikai kwenye Sent/Outbox.
Tatizo: Unatuma SMS lakini haikai kwenye Sent/Outbox.
Suluhisho:
Jaribu ku-restart simu.
Tumia laini nyingine au jaribu kuwasiliana na huduma kwa wateja.
Clear messages zako ikiwa inbox imejaa.
Jaribu ku-restart simu.
Tumia laini nyingine au jaribu kuwasiliana na huduma kwa wateja.
Clear messages zako ikiwa inbox imejaa.
ZINGATIA
Kama tatizo linaendelea licha ya suluhisho zote hizi, ni vizuri kuwasiliana na huduma kwa wateja wa mtandao wako au kujaribu kutumia laini nyingine kwenye simu yako.
Pia, unaweza kutumia apps mbadala kama WhatsApp kwa ujumbe mfupi wa haraka.
Kama tatizo linaendelea licha ya suluhisho zote hizi, ni vizuri kuwasiliana na huduma kwa wateja wa mtandao wako au kujaribu kutumia laini nyingine kwenye simu yako.
Pia, unaweza kutumia apps mbadala kama WhatsApp kwa ujumbe mfupi wa haraka.
@Huduma
💨 NOTHING PHONE SERIES 🥶
▪️CMF Phone1 (8+256) - 850K
▪️Phone2a (8+256) - 1.25m
▪️Phone2a (12+256) - 1.35m
▪️Phone 2 (12+256) - 1.58m
▪️Phone 2 (12+512) - 1.75m
▪️Phone 3a (12+256) - 1.25M
▪️Phone 3a Pro (12+256) - 1.45M
📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
💨 NOTHING PHONE SERIES 🥶
▪️CMF Phone1 (8+256) - 850K
▪️Phone2a (8+256) - 1.25m
▪️Phone2a (12+256) - 1.35m
▪️Phone 2 (12+256) - 1.58m
▪️Phone 2 (12+512) - 1.75m
▪️Phone 3a (12+256) - 1.25M
▪️Phone 3a Pro (12+256) - 1.45M
📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
〽︎ Teknolojia
💨Asante kwa kutuamini🤝
@Njiwa_Store
@NjiwaFLow
Tunakufikia popote kwa uaminifu mkubwa sana✊🏽
💨Asante kwa kutuamini🤝
@Njiwa_Store
@NjiwaFLow
Tunakufikia popote kwa uaminifu mkubwa sana✊🏽
@Huduma
💨 Picha moja imepigwa na Vivo X200 Ultra na nyingine ni DSLR Camera.
Kwa mtu makini anaweza kuona gape kubwa lililopo kati ya Camera ya simu na Camera kama Camera.
💨 Picha moja imepigwa na Vivo X200 Ultra na nyingine ni DSLR Camera.
Kwa mtu makini anaweza kuona gape kubwa lililopo kati ya Camera ya simu na Camera kama Camera.
@Huduma
💨 Wengi wamejichanganya tena hapa 😁
Wamesema Frame 2 ndiyo picha ya Camera sababu nadhani wamezoom wakaangalia hiyo t-shirt ya huyo dada details zinaonekana zaidi kumbe hata frame 1 ukiiedit ukapunguza saturation details pia utaziona.
Ukijaribu kuzoom upande wa brother wa kulia na kichwa cha huyo dada utagundua Frame 1 imejitosheleza zaidi.
Frame 1: Sony A7iv
Frame 2: Vivo X200 Ultra
💨 Wengi wamejichanganya tena hapa 😁
Wamesema Frame 2 ndiyo picha ya Camera sababu nadhani wamezoom wakaangalia hiyo t-shirt ya huyo dada details zinaonekana zaidi kumbe hata frame 1 ukiiedit ukapunguza saturation details pia utaziona.
Ukijaribu kuzoom upande wa brother wa kulia na kichwa cha huyo dada utagundua Frame 1 imejitosheleza zaidi.
Frame 1: Sony A7iv
Frame 2: Vivo X200 Ultra