〽︎ Teknolojia
💥REDMI 5A 💥
Redmi A5 Specifications
▪️ Camera: 32MP
▪️ Storage: 128GB, 64GB
▪️ RAM: 4GB
▪️ Battery Capacity: 5200mAh 👇
💥Budget: 250,000/ 280,000
📍 Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo
📍 Roundabout ya Samaki Mwanza
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
💥REDMI 5A 💥
Redmi A5 Specifications
▪️ Camera: 32MP
▪️ Storage: 128GB, 64GB
▪️ RAM: 4GB
▪️ Battery Capacity: 5200mAh 👇
💥Budget: 250,000/ 280,000
📍 Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo
📍 Roundabout ya Samaki Mwanza
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
〽︎ Teknolojia
💨 PIXEL MPYA 💥
▪️Pixel 9 (12+128) - 1.75M
▪️Pixel 9 (12+256) - 2.15M
▪️Pixel 9 Pro (16+128) - 2.4M
▪️Pixel 9 Pro (16+256) - 2.8M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+128) - 2.5M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+256) - 2.8M
USED DUBAI (Original Display)👇
▪️Pixel 6a (6+128) - 430K
▪️Pixel 7 (8+128) - 650K
▪️Pixel 7a (8+128) - 650K
▪️Pixel 8 (8+128) - 950K
▪️Pixel 8a (8+128) - 950K
▪️Pixel 8 Pro (12+128) - 1.1M
📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
💨 PIXEL MPYA 💥
▪️Pixel 9 (12+128) - 1.75M
▪️Pixel 9 (12+256) - 2.15M
▪️Pixel 9 Pro (16+128) - 2.4M
▪️Pixel 9 Pro (16+256) - 2.8M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+128) - 2.5M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+256) - 2.8M
USED DUBAI (Original Display)👇
▪️Pixel 6a (6+128) - 430K
▪️Pixel 7 (8+128) - 650K
▪️Pixel 7a (8+128) - 650K
▪️Pixel 8 (8+128) - 950K
▪️Pixel 8a (8+128) - 950K
▪️Pixel 8 Pro (12+128) - 1.1M
📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
〽︎ Teknolojia
⚠️ Kwa Tanzania sasa Watu wengi wakitumia vibaya kwa kuweza kuchukua picha za watu na kuweza kuzifanya watakavyo,
💡 asilimia kubwa ya watumiaji wa mtandao wa X wanachukua picha za watu mara wazivue nguo au kufanya wafanyavyo.
⚠️ Kwa Tanzania sasa Watu wengi wakitumia vibaya kwa kuweza kuchukua picha za watu na kuweza kuzifanya watakavyo,
💡 asilimia kubwa ya watumiaji wa mtandao wa X wanachukua picha za watu mara wazivue nguo au kufanya wafanyavyo.
〽︎ Teknolojia
𝗛𝗮𝘁𝗮𝗿𝗶 𝘆𝗮 𝗔𝗸𝗶𝗹𝗶 𝗯𝗮𝗻𝗱𝗶𝗮 𝘆𝗮 𝗚𝗿𝗼𝗸 𝗻𝗰𝗵𝗶𝗻𝗶 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 𝘀𝗶𝗼 𝗽𝗼𝗮
AISEEE hii Grok inazidi kuleta Hatari kwa watumiaji wa Mtandao wa X sio poa 😌
Watanzania Tujihadhari sana
Threads ni Yako
𝗛𝗮𝘁𝗮𝗿𝗶 𝘆𝗮 𝗔𝗸𝗶𝗹𝗶 𝗯𝗮𝗻𝗱𝗶𝗮 𝘆𝗮 𝗚𝗿𝗼𝗸 𝗻𝗰𝗵𝗶𝗻𝗶 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 𝘀𝗶𝗼 𝗽𝗼𝗮
AISEEE hii Grok inazidi kuleta Hatari kwa watumiaji wa Mtandao wa X sio poa 😌
Watanzania Tujihadhari sana
Threads ni Yako
〽︎ Teknolojia
🚀 Lakini Teknolojia hiyo ambayo inasaidia watu kufanya shughuli mbalimbali kwa kupitia chati boti ambayo unaweza kuitumia ndani ya we browser au kupitia app ya X ya Tajiri Elon musk.
🚀 Lakini Teknolojia hiyo ambayo inasaidia watu kufanya shughuli mbalimbali kwa kupitia chati boti ambayo unaweza kuitumia ndani ya we browser au kupitia app ya X ya Tajiri Elon musk.
〽︎ Teknolojia
💡 Hakika Maendeleo ya Teknolojia yanazidi kwenda Kasi lakini kuendelea kwasi kumepelekea watu kujisahau sana na kupelekea maadili kushuka.
💡 Mtandao wa X ambao Zamani ulikua unaitwa Twitter uliweza kutambulisha akili bandia aina ya Grok.
💡 Hakika Maendeleo ya Teknolojia yanazidi kwenda Kasi lakini kuendelea kwasi kumepelekea watu kujisahau sana na kupelekea maadili kushuka.
💡 Mtandao wa X ambao Zamani ulikua unaitwa Twitter uliweza kutambulisha akili bandia aina ya Grok.
@Huduma
⚡ Hali hii inapelekea kuvunja maadili kupitia Mitandao ya kijamii, hivyo ndugu, jamaa na marafiki kuwa makini na picha unazotuma Mitandao unaweza jikuta umevalishwa sekti, chupi , boxer au kukaa uchi 😌.
⚡ Hali hii inapelekea kuvunja maadili kupitia Mitandao ya kijamii, hivyo ndugu, jamaa na marafiki kuwa makini na picha unazotuma Mitandao unaweza jikuta umevalishwa sekti, chupi , boxer au kukaa uchi 😌.
@Huduma
Tutumie Mitandao kwa manufaa sogeza picha kuona sample za picha watu wengi wamezifanya hovyo kabisa Tujihadhari 😌.
⚠️ Picha zitakazo onekana sio nzuri.
Usisahau kutu follow @Bongotech255 kwa maujanja zaidi
Tutumie Mitandao kwa manufaa sogeza picha kuona sample za picha watu wengi wamezifanya hovyo kabisa Tujihadhari 😌.
⚠️ Picha zitakazo onekana sio nzuri.
Usisahau kutu follow @Bongotech255 kwa maujanja zaidi
〽︎ Teknolojia
🚀 Mtandao huu unaongoza Kwa kujibu maswali mbalimbali mtu anayomuuliza hata kama ni Hatari kiasi gani inaweza kukusaidia kukupatia majibu ambapo kikawaida Mitandao mingine inakataa kukupa majibu.
🚀 Mtandao huu unaongoza Kwa kujibu maswali mbalimbali mtu anayomuuliza hata kama ni Hatari kiasi gani inaweza kukusaidia kukupatia majibu ambapo kikawaida Mitandao mingine inakataa kukupa majibu.
@Huduma
🔭 Inaweza 𝗸𝘂𝘇𝗼𝗼𝗺 𝗺𝗽𝗮𝗸𝗮 𝗠𝗼𝘆𝗼 𝘄𝗮𝗸𝗼😉, ila kubwa zaidi ni kuhusu Kamera zake inatoa picha kali kwa upande wa picha za kawaida na video haswa zile za Outdoor ikiwa na mwangaza Bora kabisa.
🔭 Inaweza 𝗸𝘂𝘇𝗼𝗼𝗺 𝗺𝗽𝗮𝗸𝗮 𝗠𝗼𝘆𝗼 𝘄𝗮𝗸𝗼😉, ila kubwa zaidi ni kuhusu Kamera zake inatoa picha kali kwa upande wa picha za kawaida na video haswa zile za Outdoor ikiwa na mwangaza Bora kabisa.
@Huduma
💡 Kampuni ya Tecno katika toleo la simu Bora kwa mwaka 2025 basi hii ni 𝗧𝗲𝗰𝗻𝗼 𝗖𝗮𝗺𝗼𝗻 𝟰𝟬 𝗦𝗲𝗿𝗶𝗲𝘀 wametisha sana humu ndani kwa feature zake za kibabe sana.
💡 Kampuni ya Tecno katika toleo la simu Bora kwa mwaka 2025 basi hii ni 𝗧𝗲𝗰𝗻𝗼 𝗖𝗮𝗺𝗼𝗻 𝟰𝟬 𝗦𝗲𝗿𝗶𝗲𝘀 wametisha sana humu ndani kwa feature zake za kibabe sana.
@Huduma
📸 Achana na Yote Leo nakuambia kuhusu Teknolojia hii ya 𝐏𝐞𝐫𝐢𝐬𝐜𝐨𝐩𝐞 𝐓𝐞𝐥𝐞𝐩𝐡𝐨𝐧𝐞 𝐂𝐚𝐦𝐞𝐫𝐚 iliyopo kwenye Tecno ni babu kubwa mnoo.
💡 Inakupa uwezo wa kuvuta kitu kilicho mbali kuwa karibu kwa ubora wa hali ya juu.
📸 Achana na Yote Leo nakuambia kuhusu Teknolojia hii ya 𝐏𝐞𝐫𝐢𝐬𝐜𝐨𝐩𝐞 𝐓𝐞𝐥𝐞𝐩𝐡𝐨𝐧𝐞 𝐂𝐚𝐦𝐞𝐫𝐚 iliyopo kwenye Tecno ni babu kubwa mnoo.
💡 Inakupa uwezo wa kuvuta kitu kilicho mbali kuwa karibu kwa ubora wa hali ya juu.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
📸 Sina shaka kabisa upande wa picha, video na zoom super 1000x Quality so fantastic 🔥🔥, ni rafiki kwa kila mtu yani ukitumia utaweza ku enjoy sana.
Kwa taarifa zaidi Tembelea @TecnomobileTZ
@Bongotech255
Usisahau kutu follow 🔥🔥
📸 Sina shaka kabisa upande wa picha, video na zoom super 1000x Quality so fantastic 🔥🔥, ni rafiki kwa kila mtu yani ukitumia utaweza ku enjoy sana.
Kwa taarifa zaidi Tembelea @TecnomobileTZ
@Bongotech255
Usisahau kutu follow 🔥🔥
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
𝗧𝗲𝗰𝗻𝗼 𝗺𝗯𝗮𝗯𝗲 𝘄𝗮 𝗞𝗮𝗺𝗲𝗿𝗮 𝟮𝟬𝟮𝟱
Hakika Tecno wametisha sana kwa mwaka 2025 huyu ndo mbabe wa Kamera kwa mwaka 2025 🔥🔥
Threads ni Yako 🚀
𝗧𝗲𝗰𝗻𝗼 𝗺𝗯𝗮𝗯𝗲 𝘄𝗮 𝗞𝗮𝗺𝗲𝗿𝗮 𝟮𝟬𝟮𝟱
Hakika Tecno wametisha sana kwa mwaka 2025 huyu ndo mbabe wa Kamera kwa mwaka 2025 🔥🔥
Threads ni Yako 🚀