Teknolojia
133 subscribers
3.82K photos
4.53K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
︎ Teknolojia

💨 OFFER SAMSUNG A SERIES

▪️A05 (4+64) - 250K
▪️A06 (4+64) - 300K
▪️A06 (4+128) - 330K
▪️A05s (4+128) - 350K
▪️A16 (4+128) -450K
▪️A16 (8+256) - 580K
▪️A26 5G (6+128) - 680K
▪️A26 5G (8+256) - 780K
▪️A36 5G (6+128) - 900K
▪️A36 5G (8+256) - 1M
▪️A56 5G (8+128) - 1M

📍Dar: KKKT Kariakoo
📍Mwanza: Roundabout ya Samaki
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨Simu ni nyingi sana mjini

🔥Yuva star 2🔥
︎ Teknolojia

💥REDMI 5A 💥

Redmi A5 Specifications
▪️ Camera: 32MP
▪️ Storage: 128GB, 64GB
▪️ RAM: 4GB
▪️ Battery Capacity: 5200mAh 👇

💥Budget: 250,000/ 280,000

📍 Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo
📍 Roundabout ya Samaki Mwanza
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 PIXEL MPYA 💥

▪️Pixel 9 (12+128) - 1.75M
▪️Pixel 9 (12+256) - 2.15M
▪️Pixel 9 Pro (16+128) - 2.4M
▪️Pixel 9 Pro (16+256) - 2.8M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+128) - 2.5M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+256) - 2.8M

USED DUBAI (Original Display)👇
▪️Pixel 6a (6+128) - 430K
▪️Pixel 7 (8+128) - 650K
▪️Pixel 7a (8+128) - 650K
▪️Pixel 8 (8+128) - 950K
▪️Pixel 8a (8+128) - 950K
▪️Pixel 8 Pro (12+128) - 1.1M

📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

⚠️ Kwa Tanzania sasa Watu wengi wakitumia vibaya kwa kuweza kuchukua picha za watu na kuweza kuzifanya watakavyo,

💡 asilimia kubwa ya watumiaji wa mtandao wa X wanachukua picha za watu mara wazivue nguo au kufanya wafanyavyo.
︎ Teknolojia

𝗛𝗮𝘁𝗮𝗿𝗶 𝘆𝗮 𝗔𝗸𝗶𝗹𝗶 𝗯𝗮𝗻𝗱𝗶𝗮 𝘆𝗮 𝗚𝗿𝗼𝗸 𝗻𝗰𝗵𝗶𝗻𝗶 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 𝘀𝗶𝗼 𝗽𝗼𝗮

AISEEE hii Grok inazidi kuleta Hatari kwa watumiaji wa Mtandao wa X sio poa 😌

Watanzania Tujihadhari sana

Threads ni Yako
︎ Teknolojia

🚀 Lakini Teknolojia hiyo ambayo inasaidia watu kufanya shughuli mbalimbali kwa kupitia chati boti ambayo unaweza kuitumia ndani ya we browser au kupitia app ya X ya Tajiri Elon musk.
︎ Teknolojia

💡 Hakika Maendeleo ya Teknolojia yanazidi kwenda Kasi lakini kuendelea kwasi kumepelekea watu kujisahau sana na kupelekea maadili kushuka.

💡 Mtandao wa X ambao Zamani ulikua unaitwa Twitter uliweza kutambulisha akili bandia aina ya Grok.
@Huduma

Hali hii inapelekea kuvunja maadili kupitia Mitandao ya kijamii, hivyo ndugu, jamaa na marafiki kuwa makini na picha unazotuma Mitandao unaweza jikuta umevalishwa sekti, chupi , boxer au kukaa uchi 😌.
@Huduma

Tutumie Mitandao kwa manufaa sogeza picha kuona sample za picha watu wengi wamezifanya hovyo kabisa Tujihadhari 😌.

⚠️ Picha zitakazo onekana sio nzuri.
Usisahau kutu follow @Bongotech255 kwa maujanja zaidi
︎ Teknolojia

🚀 Mtandao huu unaongoza Kwa kujibu maswali mbalimbali mtu anayomuuliza hata kama ni Hatari kiasi gani inaweza kukusaidia kukupatia majibu ambapo kikawaida Mitandao mingine inakataa kukupa majibu.
︎ Teknolojia

💨Asante kwa kutuamini

Tunakufikia popote kwa uaminifu mkubwa sana.
@Huduma

🔭 Inaweza 𝗸𝘂𝘇𝗼𝗼𝗺 𝗺𝗽𝗮𝗸𝗮 𝗠𝗼𝘆𝗼 𝘄𝗮𝗸𝗼😉, ila kubwa zaidi ni kuhusu Kamera zake inatoa picha kali kwa upande wa picha za kawaida na video haswa zile za Outdoor ikiwa na mwangaza Bora kabisa.
@Huduma

💡 Kampuni ya Tecno katika toleo la simu Bora kwa mwaka 2025 basi hii ni 𝗧𝗲𝗰𝗻𝗼 𝗖𝗮𝗺𝗼𝗻 𝟰𝟬 𝗦𝗲𝗿𝗶𝗲𝘀 wametisha sana humu ndani kwa feature zake za kibabe sana.
@Huduma

📸 Achana na Yote Leo nakuambia kuhusu Teknolojia hii ya 𝐏𝐞𝐫𝐢𝐬𝐜𝐨𝐩𝐞 𝐓𝐞𝐥𝐞𝐩𝐡𝐨𝐧𝐞 𝐂𝐚𝐦𝐞𝐫𝐚 iliyopo kwenye Tecno ni babu kubwa mnoo.

💡 Inakupa uwezo wa kuvuta kitu kilicho mbali kuwa karibu kwa ubora wa hali ya juu.