〽︎ Teknolojia
𝗝𝗘 𝗠𝗢𝗢𝗗𝗘𝗪𝗝𝗜, 𝗚𝗦𝗠 𝗡𝗔 𝗕𝗔𝗞𝗛𝗥𝗘𝗦𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗔𝗪𝗘𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 𝗦𝗔𝗧𝗘𝗟𝗟𝗜𝗧𝗘 𝗔𝗡𝗚𝗔𝗡𝗜
Je unafikiri kwa matajiri wa Tanzania itawezekana kwani, baada Kampuni ya Amazon imetambulisha satellites zake mpya 27 za kwanza kwa projeti ya kuiper.... 👇🏾👇🏾
𝗝𝗘 𝗠𝗢𝗢𝗗𝗘𝗪𝗝𝗜, 𝗚𝗦𝗠 𝗡𝗔 𝗕𝗔𝗞𝗛𝗥𝗘𝗦𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗔𝗪𝗘𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 𝗦𝗔𝗧𝗘𝗟𝗟𝗜𝗧𝗘 𝗔𝗡𝗚𝗔𝗡𝗜
Je unafikiri kwa matajiri wa Tanzania itawezekana kwani, baada Kampuni ya Amazon imetambulisha satellites zake mpya 27 za kwanza kwa projeti ya kuiper.... 👇🏾👇🏾
〽︎ Teknolojia
Lengo kubwa la Amazon ni kuweza kusambaza intaneti zenye Kasi zaidi kwa bei ndogo ulimwenguni kupitia mfumo wa satellite kupitia Uwekezaji wa zaidi ya Dola bilioni $10.
Lengo kubwa la Amazon ni kuweza kusambaza intaneti zenye Kasi zaidi kwa bei ndogo ulimwenguni kupitia mfumo wa satellite kupitia Uwekezaji wa zaidi ya Dola bilioni $10.
〽︎ Teknolojia
siku ya mei 10 2025,
💡 Chombo hicho kilisafirishwa kwa ajili ya kwenda kwenye Sayari ya Venus mwaka 1972, lakini kilipata changamoto wakati kinarushwa na kupelekea kukwama kwenye mzunguko wa Dunia.
siku ya mei 10 2025,
💡 Chombo hicho kilisafirishwa kwa ajili ya kwenda kwenye Sayari ya Venus mwaka 1972, lakini kilipata changamoto wakati kinarushwa na kupelekea kukwama kwenye mzunguko wa Dunia.
〽︎ Teknolojia
𝗖𝗵𝗼𝗺𝗯𝗼 𝗰𝗵𝗮 𝗔𝗻𝗴𝗮 𝘇𝗮 𝗷𝘂𝘂 𝗦𝗼𝘃𝗶𝗲𝘁 𝗸𝗶𝗹𝗶𝗰𝗵𝗼𝗽𝗼𝘁𝗲𝗮 𝗺𝗶𝗮𝗸𝗮 𝟱𝟯 𝗸𝗶𝗻𝗮𝗮𝗻𝗴𝘂𝗸𝗮 𝗸𝘂𝗿𝘂𝗱𝗶 𝗱𝘂𝗻𝗶𝗮𝗻𝗶
Chombo cha Anga za juu Cha Soviet kilichorushwa zaidi ya miaka 53 iliyopita, kinaitwa Kosmos 482 hatimaye kinatarajia kurudi duniani.
𝗖𝗵𝗼𝗺𝗯𝗼 𝗰𝗵𝗮 𝗔𝗻𝗴𝗮 𝘇𝗮 𝗷𝘂𝘂 𝗦𝗼𝘃𝗶𝗲𝘁 𝗸𝗶𝗹𝗶𝗰𝗵𝗼𝗽𝗼𝘁𝗲𝗮 𝗺𝗶𝗮𝗸𝗮 𝟱𝟯 𝗸𝗶𝗻𝗮𝗮𝗻𝗴𝘂𝗸𝗮 𝗸𝘂𝗿𝘂𝗱𝗶 𝗱𝘂𝗻𝗶𝗮𝗻𝗶
Chombo cha Anga za juu Cha Soviet kilichorushwa zaidi ya miaka 53 iliyopita, kinaitwa Kosmos 482 hatimaye kinatarajia kurudi duniani.
〽︎ Teknolojia
💡 uchunguzi uliofanyika uliweza kubainika kuwa chombo icho kilipasuka na kugawanyika katika vipande vinne vikubwa ambapo viwili Tayari vilianguka Mnamo mwaka 1972.
💡 uchunguzi uliofanyika uliweza kubainika kuwa chombo icho kilipasuka na kugawanyika katika vipande vinne vikubwa ambapo viwili Tayari vilianguka Mnamo mwaka 1972.
〽︎ Teknolojia
mpango wake ni kuweza kushindana na kampuni ya Starlink toka Kwa Elon musk.
Satellite hizo ambazo zitakua zinafanya kazi ya kutoa mawasiliano kwa mifumo ya Ardhini kupitia mfumo wa mzunguko wa chini wa Dunia na Roketi za muungano wa Uzinduzi wa umoja kutoka cape Canaveral.
mpango wake ni kuweza kushindana na kampuni ya Starlink toka Kwa Elon musk.
Satellite hizo ambazo zitakua zinafanya kazi ya kutoa mawasiliano kwa mifumo ya Ardhini kupitia mfumo wa mzunguko wa chini wa Dunia na Roketi za muungano wa Uzinduzi wa umoja kutoka cape Canaveral.
〽︎ Teknolojia
Satellite hizo ambazo zitakua zinafanya kazi ya kutoa mawasiliano kwa mifumo ya Ardhini kupitia mfumo wa mzunguko wa chini wa Dunia na Roketi za muungano wa Uzinduzi wa umoja kutoka cape Canaveral.
Satellite hizo ambazo zitakua zinafanya kazi ya kutoa mawasiliano kwa mifumo ya Ardhini kupitia mfumo wa mzunguko wa chini wa Dunia na Roketi za muungano wa Uzinduzi wa umoja kutoka cape Canaveral.
〽︎ Teknolojia
🚀 Sasa vipande viwili vilivyotharia ni vikubwa ambapo vyenye uzani karibu pauni 1,000 zinaweza kuanguka na kugonga Dunia kama kimondo,
💥 wataalamu wanasema Hatari kwa watu sio kubwa sana Lakini kwa sababu ya ukubwa wake inaweza kuleta madhara kwa namna fulani.
🚀 Sasa vipande viwili vilivyotharia ni vikubwa ambapo vyenye uzani karibu pauni 1,000 zinaweza kuanguka na kugonga Dunia kama kimondo,
💥 wataalamu wanasema Hatari kwa watu sio kubwa sana Lakini kwa sababu ya ukubwa wake inaweza kuleta madhara kwa namna fulani.
@Huduma
Inapanga kupeleka jumla ya satellite 3,000 mpaka kufikia mwaka 2026, ingawa bado iko nyuma sana kwani mtandao mkubwa wa Starlink wameweza kurusha zaidi ya satelaiti 7,200.
Inapanga kupeleka jumla ya satellite 3,000 mpaka kufikia mwaka 2026, ingawa bado iko nyuma sana kwani mtandao mkubwa wa Starlink wameweza kurusha zaidi ya satelaiti 7,200.
@Huduma
Hii ndo nguvu ya Pesa, Maendeleo na Teknolojia kwa ujumla
je unafikiri Kuna matajiri toka nchi Yetu Tanzania Mo dewji, GSM au Bakhresa wataweza kurusha satellite Angani tuachie maoni yako??
Hii ndo nguvu ya Pesa, Maendeleo na Teknolojia kwa ujumla
je unafikiri Kuna matajiri toka nchi Yetu Tanzania Mo dewji, GSM au Bakhresa wataweza kurusha satellite Angani tuachie maoni yako??
〽︎ Teknolojia
💨 PIXEL MPYA 💥
▪️Pixel 9 (12+128) - 1.75M
▪️Pixel 9 (12+256) - 2.15M
▪️Pixel 9 Pro (16+128) - 2.4M
▪️Pixel 9 Pro (16+256) - 2.8M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+128) - 2.5M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+256) - 2.8M
USED DUBAI (Original Display)👇
▪️Pixel 6a (6+128) - 430K
▪️Pixel 7 (8+128) - 650K
▪️Pixel 7a (8+128) - 650K
▪️Pixel 8 (8+128) - 950K
▪️Pixel 8a (8+128) - 950K
▪️Pixel 8 Pro (12+128) - 1.1M
📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
💨 PIXEL MPYA 💥
▪️Pixel 9 (12+128) - 1.75M
▪️Pixel 9 (12+256) - 2.15M
▪️Pixel 9 Pro (16+128) - 2.4M
▪️Pixel 9 Pro (16+256) - 2.8M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+128) - 2.5M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+256) - 2.8M
USED DUBAI (Original Display)👇
▪️Pixel 6a (6+128) - 430K
▪️Pixel 7 (8+128) - 650K
▪️Pixel 7a (8+128) - 650K
▪️Pixel 8 (8+128) - 950K
▪️Pixel 8a (8+128) - 950K
▪️Pixel 8 Pro (12+128) - 1.1M
📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
@Huduma
💨 NOTHING PHONE
▪️Phone 3a (12+256) - 1.25M
▪️Phone 3a Pro (12+256) - 1.45M
📍Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
💨 NOTHING PHONE
▪️Phone 3a (12+256) - 1.25M
▪️Phone 3a Pro (12+256) - 1.45M
📍Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
💨Viberiti na lighter za gas sasa basi😂😂
Hiki ni USB-C Electric Cigarette Lighter 🔥🔥
kifaa kidogo kinachotumia umeme kupitia USB Type-C kwa ajili ya kuwasha sigara.
Yaani unawasha sigara kupitia simu yako😂
💨Viberiti na lighter za gas sasa basi😂😂
Hiki ni USB-C Electric Cigarette Lighter 🔥🔥
kifaa kidogo kinachotumia umeme kupitia USB Type-C kwa ajili ya kuwasha sigara.
Yaani unawasha sigara kupitia simu yako😂