Teknolojia
133 subscribers
3.82K photos
4.56K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
︎ Teknolojia

💨 JBL SPEAKER (Original💯)

▪️JBL Go 3 - 145K
▪️JBL Go 4 - 190K
▪️JBL Flip6 - 300K
▪️JBL Flip7 - 420K
▪️JBL Charger5 - 450K
▪️JBL Charger6 - 550K
▪️JBL XTRME3 - 700K
▪️JBL XTRME4 - 840K

📍Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo Floor ya 1 utaingia ndani duka limeandikwa Njiwa
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨Samsung S25 Ultra

▪️200MP Camera
▪️Snapdragon 8 Elite
▪️Android 15 | OneUI 7
▪️12GB RAM & 256GB UP TO 1TB
▪️5000mAh | 45W | UFS 4.0
🔹Price 2.85M
1
︎ Teknolojia

💨Simu ya VIVO X200Ultra iko mbioni kuzinduliwa huko China 21/April.

Specification zake:
▪️Camera: 200mp
▪️ Storage: 256GB, 512GB &1TB
▪️RAM: 12GB/16GB
▪️ Battery capacity: 6000 mAh
︎ Teknolojia

💨 Ila Kariakoo

Hii frame wewe na wateja mnakaa nje 😂😂
︎ Teknolojia

💨Simu zitakazopokea one UI 7
︎ Teknolojia

💨Oppo Find X8 kuzinduliwa 10/April
Huko China

Specification zake:
▪️Camera: 50mp
▪️ Storage: 256GB, 512GB &1TB
▪️RAM: 12GB/16GB
▪️ Battery capacity: 6100 mAh
▪️Snapdragon 8 Elite
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

💨Huwenda hili likawa miongoni mwa Ad za simu kwa sasa🔥🔥
︎ Teknolojia

. Biometric Locks – Ufunguo ni Uso Wako
Badala ya funguo za kawaida, milango itafunguka kwa kutumia uso wako, sauti au alama ya kidole. Teknolojia hii itaimarisha usalama na kuondoa usumbufu wa kufungua mlango kwa funguo.
︎ Teknolojia

Nyumba nyingi zitakuwa na solar panel zenye smart meters, ambazo zitajua lini kutumia umeme wa jua, lini kuhifadhi, na lini kuuza kwa gridi ya taifa.
︎ Teknolojia

. Virtual Reality Rooms – Burudani Ndani ya Nyumba
Chumba kimoja au sehemu ya sebule kitawekwa teknolojia ya Virtual Reality (VR) kwa ajili ya kuburudika, kusafiri kidijitali, kufanya mazoezi au hata kuhudhuria mikutano ya kazini ukiwa nyumbani.
︎ Teknolojia

Hawa si roboti wa sinema – ni AI-powered assistants wenye uwezo wa kufanya kazi ndogo ndogo za nyumbani bila kusumbua.
︎ Teknolojia

. Teknolojia za Usalama (Surveillance & Drones)
Kila nyumba itakuwa na mfumo wa usalama wa kisasa – kamera zenye AI, drone ndogo za kutambua wageni, na vifaa vya sensor za mlango na dirisha.
︎ Teknolojia

. Fridges zenye AI – Zinazoagiza chakula chenyewe
Friji litajua unapomaliza maziwa au mayai, na litaweza kuagiza moja kwa moja kutoka kwenye soko la karibu au supermarket. Pia litakushauri nini upike kulingana na kilichopo ndani.
︎ Teknolojia

. Smart Toilets – Vyoo vinavyojua afya yako
Ndiyo, hata vyoo vitakuwa na akili. Smart toilets zitakuwa na sensor za kuchambua mkojo na kinyesi, kukupa taarifa mapema kuhusu matatizo ya kiafya kama kisukari, maambukizi au upungufu wa virutubisho.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

💨Watu wamekuwa wakihoji utofauti kati ya Samsung s24 Ultra vs s25ulta

Nimekuekea video chini 👇
︎ Teknolojia

💨Humu ndani pixel amekimbiza hatari🔥
︎ Teknolojia

💨 Mzee mzima @ze_mandevu ndani ya NJIWA STORE

Mimi with ndevu za kipilipili tumekaa kushoto 😂😂
︎ Teknolojia

💨 Design gani ya kamera utaruka nayo👇
︎ Teknolojia

💨 PIXEL MPYA 💥

▪️Pixel 9 (12+128) - 1.75M
▪️Pixel 9 (12+256) - 2.15M
▪️Pixel 9 Pro (16+128) - 2.4M
▪️Pixel 9 Pro (16+256) - 2.8M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+128) - 2.5M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+256) - 2.8M

📍Geti la KKKT Kariakoo
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757