@Huduma
💭Najua wengi wanasema wanatumia sijui adobe Photoshop, cartoon maker, adobe Xd kubadilisha Picha zako kuwa Katuni
Hapana 👎🏾, ebu angalia picha kama hii.... Unahitaji kubadilisha kuwa Katuni sio 😊
💭Najua wengi wanasema wanatumia sijui adobe Photoshop, cartoon maker, adobe Xd kubadilisha Picha zako kuwa Katuni
Hapana 👎🏾, ebu angalia picha kama hii.... Unahitaji kubadilisha kuwa Katuni sio 😊
@Huduma
📡 Unafanyaje kubadilisha sasa;
Fungua chatGpt >> tafuta image unayotaka kisha andila prompt unayopenda picha yako iweje.
Tumejaribu kuzifuatilia hizi teknolojia za AI lakini kiuwalisia zinaelekea kuwa Tishio kubwa sana Ulimwenguni kama tusipokuwa makini ?
📡 Unafanyaje kubadilisha sasa;
Fungua chatGpt >> tafuta image unayotaka kisha andila prompt unayopenda picha yako iweje.
Tumejaribu kuzifuatilia hizi teknolojia za AI lakini kiuwalisia zinaelekea kuwa Tishio kubwa sana Ulimwenguni kama tusipokuwa makini ?
〽︎ Teknolojia
unaweza kubadilisha Picha yako yoyote kuwa Katuni unayoipenda kupitia Akili bandia ya chati boti ya ChatGpt imekupa uwezo wa kubadilisha Picha au video kuwa Katuni.
Utaweza kubadilisha kwenye mfumo wa aina mbalimbali kama vile;
unaweza kubadilisha Picha yako yoyote kuwa Katuni unayoipenda kupitia Akili bandia ya chati boti ya ChatGpt imekupa uwezo wa kubadilisha Picha au video kuwa Katuni.
Utaweza kubadilisha kwenye mfumo wa aina mbalimbali kama vile;
❤1
〽︎ Teknolojia
💨UMESIKIA YA INFINIX?
Kampuni ya Infinix wanampango wa kuja na simu mpya infinix note 50s 5G+.
Simu inakuja na uwezo wa kutoa harufu (smelling) ya manukato.
Simu hii itakuwa na teknolojia ya harufu iitwayo "scent-tech".
Inatarajiwa kuzinduliwa nchini India tarehe 18 Aprili.
💨UMESIKIA YA INFINIX?
Kampuni ya Infinix wanampango wa kuja na simu mpya infinix note 50s 5G+.
Simu inakuja na uwezo wa kutoa harufu (smelling) ya manukato.
Simu hii itakuwa na teknolojia ya harufu iitwayo "scent-tech".
Inatarajiwa kuzinduliwa nchini India tarehe 18 Aprili.
👍1
〽︎ Teknolojia
Step 04: Gusa sehemu ya kusearch picha kama nlivyokuonyesha hapa chini👇
Itakupeleka moja kwa moja kwenye picha tafuta picha unayotaka then select itakurudisha moja kwa moja kwenye grok
Step 04: Gusa sehemu ya kusearch picha kama nlivyokuonyesha hapa chini👇
Itakupeleka moja kwa moja kwenye picha tafuta picha unayotaka then select itakurudisha moja kwa moja kwenye grok
〽︎ Teknolojia
Step 08: Hapa kudownload picha inasumbua sana cha kufanya screenshot picha unayoitaka itakuwa tiari kwenye simu yako.
Step 08: Hapa kudownload picha inasumbua sana cha kufanya screenshot picha unayoitaka itakuwa tiari kwenye simu yako.
〽︎ Teknolojia
Step 01: Fungua mtandao wako wa X na wengine tiari wamepata app ya Grok automatically kupitia play store
Step 01: Fungua mtandao wako wa X na wengine tiari wamepata app ya Grok automatically kupitia play store
@Huduma
💨TUMIA GROK KUTENGENEZA PICHA ZA GHIBLI STYLE BURE KUPITIA SIMU YAKO.
Kwenye uzi wa jana tuliona namna ya kutengenezea picha za ghibli style kupitia ChatGPT bure.
Leo tuangazie hatua kwa hatua kupitia Grok.
Shuka🧵👇
💨TUMIA GROK KUTENGENEZA PICHA ZA GHIBLI STYLE BURE KUPITIA SIMU YAKO.
Kwenye uzi wa jana tuliona namna ya kutengenezea picha za ghibli style kupitia ChatGPT bure.
Leo tuangazie hatua kwa hatua kupitia Grok.
Shuka🧵👇
〽︎ Teknolojia
Tukio ilo linaweza kutokea Tarehe 19 April ambapo Dunia itaweza kupungua uzito na kupelekea watu kuelea Angani ndani ya muda wa dakika 5.
Ambapo mvutano utaweza kupokea Kwa dakika 5 na vitu kuanza kuelea Angani Kwa muda huo.
Tukio ilo linaweza kutokea Tarehe 19 April ambapo Dunia itaweza kupungua uzito na kupelekea watu kuelea Angani ndani ya muda wa dakika 5.
Ambapo mvutano utaweza kupokea Kwa dakika 5 na vitu kuanza kuelea Angani Kwa muda huo.
〽︎ Teknolojia
Ili kuwa salama unapaswa ushikirie kitu kizito au kujifunga mahali ambapo ikitokea umepaa unaweza pata madhara utaporudi chini.
Je ungependa kushuhudia Tukio ili kwa wewe kuelea Angani au lah tuachie maoni yako?
Source:
Usisahau kutu follow @Bongotech255
Ili kuwa salama unapaswa ushikirie kitu kizito au kujifunga mahali ambapo ikitokea umepaa unaweza pata madhara utaporudi chini.
Je ungependa kushuhudia Tukio ili kwa wewe kuelea Angani au lah tuachie maoni yako?
Source:
Usisahau kutu follow @Bongotech255