Teknolojia
132 subscribers
3.82K photos
4.58K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐ŸŽง๐Ÿ›œ

๐—จ๐—ป๐—ฎ๐—ต๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ธ๐—ถ ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ฎ๐—ต๐—ฎ

Najua watu wengi wanatamani kuweza kumiliki silaha yani mtu awe nayo kama msaada kwenye kujilinda na masuala mbalimbali lakini je unaweza kumiliki silaha?

Thread ni Yako ๐Ÿ’ก
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐ŸŽง๐Ÿ›œ

Kwanza kumbuka maelezo ninayokupa ni kukupatia Elimu kuhusu masuala ya kumiliki silaha kihalali. Jambo muhimu zaidi kwenye sheria ya umilikaji wa silaha inaweza kubadilika hivyo ni muhimu kutembelea mamlaka husika kupata taarifa zaidi.
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐ŸŽง๐Ÿ›œ

Wengi wanatamani kumiliki silaha lakini Kuna taratibu zake za kufuata ili uweze kuwa mtu mmoja wapo mwenye Uwezo wa kumiliki silaha. Kupitia kifungu namba 11 cha sheria za umiliki na usimamizi wa silaha ya mwaka 2015 imetaja sifa za mtu atayeweza kumiliki silaha nchini Tanzania;
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐ŸŽง๐Ÿ›œ

โšกlazima uwe umetimiza miaka 25 hii ni kuamini kuwa mtu anayemiliki silaha ni mtu mzima pia ana Uwezo wa kufanya maamuzi ya busara.

โšกlazima uwe na Ujuzi wa kutumia silaha ni kama mtihani lazima ujue jinsi ya kutumia kwa usalama na nia njema.
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐ŸŽง๐Ÿ›œ

โšกlazima uwe raia mtanzania au uwe na kibali cha ukaazi wa kudumu
โšกlazima uwe na akili timamu pia mtu ambaye sie mgomvi.
โšกusiwe mtumiaji wa dawa za kulevya
โšกusiwe na rekodi ya mtu aliyefanya uhalifu
โšกusiwe na ulemavu wa akili au uzembe
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป @Huduma

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐ŸŽง๐Ÿ›œ

Pia sheria imezungumzia watu wengine wenye Uwezo wa kumiliki silaha ni wanaowalinda viongozi,watalii wa uwindaji,maafisa wanaosindikiza wafungwa.

Sogeza picha kuangalia zaidi ๐Ÿ’ก
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐ŸŽง๐Ÿ›œ

RT @TOTTechs: Moja ya series bora sana kutoka Samsung, miaka 6 iliyopita.

Galaxy S10+
Galaxy Note 10+
๐Ÿ‘1
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐ŸŽง๐Ÿ›œ

10
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป @Huduma

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐ŸŽง๐Ÿ›œ

8
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป @Huduma

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐ŸŽง๐Ÿ›œ

6
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป @Huduma

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐ŸŽง๐Ÿ›œ

9
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐ŸŽง๐Ÿ›œ

Jitahidi umiliki passport ya Kitanzania ili Uweze kusafiri kwenye nchi zaidi ya 47 ambazo ukifanikiwa kwenda basi utaweza kwenda Bila Visa Free ๐Ÿ˜‰.
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป @Huduma

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐ŸŽง๐Ÿ›œ

3
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป @Huduma

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐ŸŽง๐Ÿ›œ

5