Teknolojia
132 subscribers
3.83K photos
4.59K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐Ÿ›œ

Nchi za Afrika Ni Mwanaanga mmoja tu Mwanamke aliyeweza kuingia kwenye safari za kuingia Angani anaitwa Sada Sabry mwenye umri wa miaka 30 kutoka Egypt (Misri).
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐Ÿ›œ

Kuna mtoto mmoja toka Tanzania ambaye Yuko Nasa anajifunza masuala ya Anga anaitwa Gideon Gidori anatamani kuwa Mwanaanga siku moja na kutaka kupanga safari za kwenda kwenye Sayari zingine.
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐Ÿ›œ

Tanzania hatuna mwanaanga hata mmoja ambao wanajihusisha na safari za kwenye Sayari na wanaotambuliwa na Shirika la Anga la Kimataifa ya masuala ya Anga (NASA).
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐Ÿ›œ

๐—๐—ฒ ๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ ?

Umeshawahi kujiuliza Tanzania tuna Wanaanga wowote waliowahi kufika Mwezini au safari yoyote ya Anga ?

Leo nitakujuza!!!
Threads ni yako
Repost
Like
Follow ๐Ÿš€
๐Ÿ†• Google Messages itakuwa na mabadiliko kidogo katika sehemu ya kuandika Meseji/SMS, na itakuwa na muundo mpya wa Material 3.

Sehemu ya kuandika meseji itakuwa na ukubwa kidogo. Pia, kitufe cha kurekodi sauti kitakuwa kikubwa na cha mviringo zaidi.
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐Ÿ›œ

Kwenye video moja iliyopostiwa mtandaoni sio ya kutengenezwa ni uhalisia ikionyesha Roboti akiwa na uwezo wa kupiga mapigo ya Kung Fu bila kusahau uwezo wa kuruka mateke ya kuzunguka nk.
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐Ÿ›œ

Roboti huyo anauzwa kwa Dola $16,000 ikiwa na injini 23 mpaka 43 zinazomuwezesha kutembea, kukimbia, kurukaruka,

kupiga ngumi na hata kucheza.

Roboti awa tofauti na wale wa Magharibi kama vile Tesla na optimus Yenyewe G1 Ina uwezo wa kujilinda inapoona hatari mbele yake.
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐Ÿ›œ

๐—–๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ฎ ๐˜‡๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐—ฟ๐—ผ๐—ฏ๐—ผ๐˜๐—ถ ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜‡๐—ผ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐—ด๐—ฎ๐—ป๐—ฎ

China sasa inazidi kuwa tishio ulimwenguni dhidi ya Teknolojia maana sio kwa kutuletea Roboti ๐Ÿ˜๐Ÿ˜ anagonga ngumi kama Mohammed Ally โœ…
threads Iko chini
Repost
Like &
follow
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐Ÿ›œ

Kampuni ya Unitree ya kuunda Roboti aina mbalimbali imeonyesha Roboti mpya aina ya G1 Humanoid yenye uwezo wa kupigana kwa kufundishwa ndani ya dakika 3 na kuweza kufanya Kila kitu kwa usahihi.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐Ÿ›œ

Angalia video yake โœ๏ธ.....!!!!!
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐Ÿ›œ

Kwenye Events ya MWC wa mwaka 2025, wachina bhana waliweza kuonyesha simu yao mpya aina ya Xiaomi 15 Ultra ikiwa na muonekano wa kipekee na wa kuvutia kwa mwaka 2025.

Inaitwa Xiaomi 15 Ultra ni flagship ambayo imeachiwa 27 Februari 2025 ikiwa feature mbalimbali ndani yake;
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐Ÿ›œ

๐Ÿค Ina Ram ya 16GB na internal storage ya 512GB inayokufanya Hutumie simu bila kuwaza kama itajaa kwa muda mrefu bila kuganda Ganda kutokana na uwezo mkubwa wa Ram iliyopo ndani.

Wifi yake ni kinanda kwani version ya wifi 7 yani wewe suala la intaneti kusumbua utasahau kabisa.
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐Ÿ›œ

๐Ÿ”‹ Betri lake 5410Mah + 90W fast charging + 80W ya wireless charging

๐Ÿ“ธ Kamera yake ya Nyuma 200mp + 50mp + 50mp yenye kutoa picha Kali balaa.

๐Ÿ“ท Kamera ya mbele ni 50mp

๐Ÿ—ฃ๏ธ IP rating 68
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐Ÿ›œ

๐—ซ๐—ถ๐—ฎ๐—ผ๐—บ๐—ถ ๐—ฏ๐—ถ๐—ป๐—ด๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ž๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐—ฟ๐—ฎ ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿฑ

Wachina mwaka 2025 wameamua kufanya kweli kwenye Mapinduzi ya simu ๐Ÿ˜

Yani Samsung na Apple watulie kwanza wazee ๐Ÿ—ฃ๏ธ

Threads ni Yenu ๐Ÿ‘‡
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐Ÿ›œ

๐Ÿค– Xiaomi 15 Ultra specs:
๐Ÿš€ processor yake ni Snapdragon 8 Elite processor 4.32 .Mhz octacore.

๐Ÿ”† Android version 15 + HyperOs 2.0

๐Ÿ’ก Display yake Ina 120Hz ikiwa na inchi 6.73 resolution ya 3200 ร— 1440pixels.
๐Ÿง‘โ€๐Ÿ’ป ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐Ÿ›œ

Itaanza kusambazwa ulimwenguni kote kuanzia Machi 11 ambapo gharama yake inaanzia TzSh 2.6 milioni/= mpaka TzSh 2.8milioni /=

@Xiaomi
@Bongotech255
@XiaomiUSA