〽︎ Teknolojia
bongotech2⁵5🎮🛜
💨 Jambo la Tatu: Anza kuokoa majeruhi ili wawahishwe hospitali waliokufa watashughulikiwa baadae.
bongotech2⁵5🎮🛜
💨 Jambo la Tatu: Anza kuokoa majeruhi ili wawahishwe hospitali waliokufa watashughulikiwa baadae.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
. Jinsi ya Kufikia na Kubadilisha Value Katika Array | Hatua kwa Hatua Jifunze C++
Katika video hii, utajifunza jinsi ya kufikia (Accessing) na kubadilisha(Modifying) thamani (Values) zilizomo ndani ya array katika C++. Tutachambua mifano rahisi na kuonyesha hatua kwa hatua jinsi unavyoweza kushughulikia data ndani ya array kwa usahihi. Hii ni dhana muhimu kwa kuandika programu zinazohusisha data nyingi!
⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐
🎥 Karibu sana kwenye Channel ya Mohamed Hafidh! 🎥
Jina langu ni Mohame
. Jinsi ya Kufikia na Kubadilisha Value Katika Array | Hatua kwa Hatua Jifunze C++
Katika video hii, utajifunza jinsi ya kufikia (Accessing) na kubadilisha(Modifying) thamani (Values) zilizomo ndani ya array katika C++. Tutachambua mifano rahisi na kuonyesha hatua kwa hatua jinsi unavyoweza kushughulikia data ndani ya array kwa usahihi. Hii ni dhana muhimu kwa kuandika programu zinazohusisha data nyingi!
⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐
🎥 Karibu sana kwenye Channel ya Mohamed Hafidh! 🎥
Jina langu ni Mohame
Fikiria kama Windows 11 ingekuwa imetoka mwaka 2011... Interface ya mwonekano wa Glass, Start Menu mpya, na bado tukitumia Internet Explorer 9! #RetroTech
Umewahi kujiuliza kwa nini app ya kupima vipimo (Measure app) ni sahihi au sio sahihi? 📏🤔 #Teknolojia #MaswaliYaKawaida
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
. Iterating Through an Array Katika C++ | Hatua kwa Hatua na Mfano Rahisi Jifunze Programming
Katika videoii, utajifunza jinsi ya kurudia (iterate) kupitia array katika C++ kwa kutumia for loop. Tutaeleza kwaatua na kuonyesha mfano wa kuchapisha element kutoka kwenye array. Ni somo muhimu kwa mtu yeyote anayetaka kuelewa jinsi ya kufanya kazi na data nyingi kwenye programu zao!
⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐
🎥 Karibu sana kwenye Channel ya Mohamed Hafidh! 🎥
Jina langu ni Mohamed Hafidh, naapa utajifunza
. Iterating Through an Array Katika C++ | Hatua kwa Hatua na Mfano Rahisi Jifunze Programming
Katika videoii, utajifunza jinsi ya kurudia (iterate) kupitia array katika C++ kwa kutumia for loop. Tutaeleza kwaatua na kuonyesha mfano wa kuchapisha element kutoka kwenye array. Ni somo muhimu kwa mtu yeyote anayetaka kuelewa jinsi ya kufanya kazi na data nyingi kwenye programu zao!
⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐
🎥 Karibu sana kwenye Channel ya Mohamed Hafidh! 🎥
Jina langu ni Mohamed Hafidh, naapa utajifunza
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
EXPENSIVE SUPERCAR FAILS CAUGHT ON CAMERA
For copyright matters please contact us at: copymanager.mn@gmail.com
EXPENSIVE SUPERCAR FAILS CAUGHT ON CAMERA
For copyright matters please contact us at: copymanager.mn@gmail.com
〽︎ Teknolojia
bongotech2⁵5🎮🛜
Kwenye page ya @picabuzz , katika siku chache zilizopita walifanikiwa kunasa picha nzuri yenye kupendeza wakati wa usiku baada ya kuona sayari zote ziliweza kuonekana kwa macho mida ya usiku.
bongotech2⁵5🎮🛜
Kwenye page ya @picabuzz , katika siku chache zilizopita walifanikiwa kunasa picha nzuri yenye kupendeza wakati wa usiku baada ya kuona sayari zote ziliweza kuonekana kwa macho mida ya usiku.
〽︎ Teknolojia
bongotech2⁵5🎮🛜
Kuanzia januari 25 utaweza kuziona sayari zaidi ya sita zikijipanga mstari mmoja mnyoofu kikamilifu mida ya usiku. Ikiwa unahitaji kushaanga jambo hili basi leo usiku ukifanikiwa kuangalia Angani utaweza kuziona sayari.
bongotech2⁵5🎮🛜
Kuanzia januari 25 utaweza kuziona sayari zaidi ya sita zikijipanga mstari mmoja mnyoofu kikamilifu mida ya usiku. Ikiwa unahitaji kushaanga jambo hili basi leo usiku ukifanikiwa kuangalia Angani utaweza kuziona sayari.
〽︎ Teknolojia
bongotech2⁵5🎮🛜
𝗦𝗮𝘆𝗮𝗿𝗶 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 𝘆𝗮 𝟲 𝗸𝘂𝗼𝗻𝗲𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗹𝗲𝗼 𝘂𝘀𝗶𝗸𝘂
Leo utaweza kuona kitu ambacho Ukuwahi kukiona kwenye maisha yako kwa mara ya kwanza unakiona Live
Unajua leo utaweza kuziona Sayari Sita live kupitia macho yako 👋
bongotech2⁵5🎮🛜
𝗦𝗮𝘆𝗮𝗿𝗶 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 𝘆𝗮 𝟲 𝗸𝘂𝗼𝗻𝗲𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗹𝗲𝗼 𝘂𝘀𝗶𝗸𝘂
Leo utaweza kuona kitu ambacho Ukuwahi kukiona kwenye maisha yako kwa mara ya kwanza unakiona Live
Unajua leo utaweza kuziona Sayari Sita live kupitia macho yako 👋
〽︎ Teknolojia
bongotech2⁵5🎮🛜
Unaweza tumia kamera📸 ya simu yako kuona kwa ukaribu zaidi hapa utakua umetisha itaweza kujitokeza kuanzia tarehe 25 Januari hii mpaka kufikia kati kati ya mwezi Februari mwaka huu 2025.
bongotech2⁵5🎮🛜
Unaweza tumia kamera📸 ya simu yako kuona kwa ukaribu zaidi hapa utakua umetisha itaweza kujitokeza kuanzia tarehe 25 Januari hii mpaka kufikia kati kati ya mwezi Februari mwaka huu 2025.
〽︎ Teknolojia
bongotech2⁵5🎮🛜
Najua kuna sayari unatamani kuiona live kupitia macho yako mida usiku angani? Kwangu mimi huwa nafurahi sana kuiona sayari ya Saturn 🪐 ikiwa na pete yake aisee sijui wewe unapenda ipi tuachie maoni yako ?
@Bongotech255
Credit to @NASA
bongotech2⁵5🎮🛜
Najua kuna sayari unatamani kuiona live kupitia macho yako mida usiku angani? Kwangu mimi huwa nafurahi sana kuiona sayari ya Saturn 🪐 ikiwa na pete yake aisee sijui wewe unapenda ipi tuachie maoni yako ?
@Bongotech255
Credit to @NASA
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
LIFE HACKS FOR DRIVERS THAT YOU SHOULD KNOW
For copyright matters please contact us at: copymanager.mn@gmail.com
LIFE HACKS FOR DRIVERS THAT YOU SHOULD KNOW
For copyright matters please contact us at: copymanager.mn@gmail.com
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
"groupby" in Python is Awesome
In today's video we're going to be learning how to use "groupby", which is a very powerful function provided by the itertools module.
▶ Become job-ready with Python:
https://www.indently.io
▶ Follow me on Instagram:
https://www.instagram.com/indentlyreels
"groupby" in Python is Awesome
In today's video we're going to be learning how to use "groupby", which is a very powerful function provided by the itertools module.
▶ Become job-ready with Python:
https://www.indently.io
▶ Follow me on Instagram:
https://www.instagram.com/indentlyreels
〽︎ Teknolojia
bongotech2⁵5🎮🛜
RT @HabariTech: ⚡Tunapenda sana kutumia mitandao ya kijamii. Ni kitu ambacho tangu kuanzishwa kwake jamii imekuwa ikihoji sana, juu ya namna wanatumia data zetu. Tumehoji wanazikusanya vipi na kuzitumia vipi.
Ajabu ni kwamba, bado hatusiti hata kidogo kutumia hii mitandao ya kijamii.
bongotech2⁵5🎮🛜
RT @HabariTech: ⚡Tunapenda sana kutumia mitandao ya kijamii. Ni kitu ambacho tangu kuanzishwa kwake jamii imekuwa ikihoji sana, juu ya namna wanatumia data zetu. Tumehoji wanazikusanya vipi na kuzitumia vipi.
Ajabu ni kwamba, bado hatusiti hata kidogo kutumia hii mitandao ya kijamii.