WhatsApp Channels sasa zinaweza kuwa na admin wengi.
Wamiliki wa WhatsApp Channels wanaweza kuwaalika watu wengine kusimamia. Kipengele hiki kinawapa admins wapya uwezo wa kutuma masasisho na kutazama maelezo ya mmiliki/muanzilishi wa WhatsApp Channel.
#WhatsApp #WhatsAppChannels
Wamiliki wa WhatsApp Channels wanaweza kuwaalika watu wengine kusimamia. Kipengele hiki kinawapa admins wapya uwezo wa kutuma masasisho na kutazama maelezo ya mmiliki/muanzilishi wa WhatsApp Channel.
#WhatsApp #WhatsAppChannels
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
Hizi Hapa "DETAILS" Zilizofichwa /GTA VI Trailer Review
#snashtz #games #gta6
Hizi Hapa "DETAILS" Zilizofichwa /GTA VI Trailer Review
Hizi Hapa "DETAILS" Zilizofichwa /GTA VI Trailer Review
#snashtz #games #gta6
Hizi Hapa "DETAILS" Zilizofichwa /GTA VI Trailer Review
GEMINI: Akili Bandia Kutoka Google, Pengne Mshindani Mkubwa Wa ChatGPT!
https://teknolojia.co.tz/gemini-akili-bandia-kutoka-google-pengne-mshindani-mkubwa-wa-chatgpt/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=gemini-akili-bandia-kutoka-google-pengne-mshindani-mkubwa-wa-chatgpt
https://teknolojia.co.tz/gemini-akili-bandia-kutoka-google-pengne-mshindani-mkubwa-wa-chatgpt/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=gemini-akili-bandia-kutoka-google-pengne-mshindani-mkubwa-wa-chatgpt
TeknoKona Teknolojia Tanzania
GEMINI: Akili Bandia Kutoka Google, Pengne Mshindani Mkubwa Wa ChatGPT!
Unakumbuka kuna muda google walikuja na akili bandia inayoitwa Bard? Kwa sasa wamekuja na akili bandia ambayo ni kubwa kuliko ya mwanzo ambayo inakwenda kwa jin
🆕 MacDonald imesema 2024 itaanza kutumia Akili Bandia ya Google ili kutambua kama chips zimeiva vizuri na kusimamia shughuli za maandalizi ya vyakula na usimamizi wa baadhi ya shughuli.
corporate.mcdonalds.com/corp…
corporate.mcdonalds.com/corp…
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
Fahamu haya MAPEMAA kabla hujachukua MKOPO online kwa simu!
Katika video hii utajifunza Mambo ya kuyafahamu kabla hujapata mkopo online.
kumekuwa kuna video nyingi sana zikikueleza jinsi ya kupata mkopo online kwa simu yako.
pia huwa tunakutana na matangazo mengi ya mkopo yakieleza yanatoa mikopo kwa riba nafuu bila dhamana, lakini zipo siri nyingi zilizo fichika chini yake.
zipo katika kila kampuni za mikopo kama Branch, pesax, mkopowako, mshikofasta,
Ni katika mfululizo wa visldeo za kupata mikopo rahisi kupitia simu yako kirahisi, video ilio pita nilizungumzia app 10 bora za mikopo waweza tazama,
app hozo ni kama, premier cash, cashx app, tala Tanzania, Brach, onepesa, pesax, umoja loan
#mkopo
#maujanja
#loan
#finace
Fahamu haya MAPEMAA kabla hujachukua MKOPO online kwa simu!
Katika video hii utajifunza Mambo ya kuyafahamu kabla hujapata mkopo online.
kumekuwa kuna video nyingi sana zikikueleza jinsi ya kupata mkopo online kwa simu yako.
pia huwa tunakutana na matangazo mengi ya mkopo yakieleza yanatoa mikopo kwa riba nafuu bila dhamana, lakini zipo siri nyingi zilizo fichika chini yake.
zipo katika kila kampuni za mikopo kama Branch, pesax, mkopowako, mshikofasta,
Ni katika mfululizo wa visldeo za kupata mikopo rahisi kupitia simu yako kirahisi, video ilio pita nilizungumzia app 10 bora za mikopo waweza tazama,
app hozo ni kama, premier cash, cashx app, tala Tanzania, Brach, onepesa, pesax, umoja loan
#mkopo
#maujanja
#loan
#finace
WhatsApp imeweka uwezo wa kutuma Voice Message ambayo itakuwa inapotea baada ya kusikilizwa. Ukituma Voice Message kwa mtu, itakuwa inapotea baada ya huyo mtu kuisikiliza.
Uwezo huu mpya utasaidia kwa wale ambao hawapendi sauti zao zibaki katika chats au wale ambao wanatuma ujumbe wa sauti ambao hawapendi mtu atume kwa watu wengine au kurekodi.
Kwa watumiaji wa Android wanatakiwa kuwa makini kwa sababu mtu anaweza kurekodi screen na kuipata hiyo Audio; kwa watumiaji wa iPhone hawawezi kurekodi au kupiga screenshot.
Uwezo huu mpya utasaidia kwa wale ambao hawapendi sauti zao zibaki katika chats au wale ambao wanatuma ujumbe wa sauti ambao hawapendi mtu atume kwa watu wengine au kurekodi.
Kwa watumiaji wa Android wanatakiwa kuwa makini kwa sababu mtu anaweza kurekodi screen na kuipata hiyo Audio; kwa watumiaji wa iPhone hawawezi kurekodi au kupiga screenshot.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
BLADE Announcement Trailer / Movie itakuaje ?
#blade #marvel #snashtz
BLADE Announcement Trailer / Movie itakuaje ?
BLADE Announcement Trailer / Movie itakuaje ?
#blade #marvel #snashtz
BLADE Announcement Trailer / Movie itakuaje ?