bongotech255 - Tatizo la blue screen of death kwenye...
bongotech255 - Home | Facebook
Tatizo la blue screen of death kwenye kompyuta
Ni tatizo linatokea kwenye kompyuta nyingi haswa watumiaji wa window 10 Utakutana na tatizo la Blue screen of death (bsod). Inaitwa Blue screen of death (bsod) kwa jina jingine ni stop message au stop Error. ni warning message inatokea kwenye kompyuta yako baada kutokea tatizo wakati unatumia. Kwenye window 11 mara nyingi inatokea black screen ikiwa na Qr code ila tatizo huwa ndo lile lile kama window 10. Je usababisha na tatizo gani kwenye kompyuta yako 1️⃣ Driver unajua computer driver ni file ambazo zimetengenezwa hardware manufacturer ambayo usaidia hardware na operating system kufanya...
View original post
bongotech255 - Home | Facebook
Tatizo la blue screen of death kwenye kompyuta
Ni tatizo linatokea kwenye kompyuta nyingi haswa watumiaji wa window 10 Utakutana na tatizo la Blue screen of death (bsod). Inaitwa Blue screen of death (bsod) kwa jina jingine ni stop message au stop Error. ni warning message inatokea kwenye kompyuta yako baada kutokea tatizo wakati unatumia. Kwenye window 11 mara nyingi inatokea black screen ikiwa na Qr code ila tatizo huwa ndo lile lile kama window 10. Je usababisha na tatizo gani kwenye kompyuta yako 1️⃣ Driver unajua computer driver ni file ambazo zimetengenezwa hardware manufacturer ambayo usaidia hardware na operating system kufanya...
View original post
bongotech255 - Fahamu baadhi ya mambo ukifanya kwenye...
bongotech255 - Home | Facebook
Fahamu baadhi ya mambo ukifanya kwenye Whatsapp utafungiwa akaunti yako siku yoyote jihadhari ??
1️⃣ kutumia WhatsApp mods Mtu yeyote anayetumia WhatsApp mods jihadhari kama vile Whatsapp gb,fm nk unaweza kufungiwa na kufutiwa akaunti yako muda wowote. Ukitumia Whatsapp gb , utakua na uwezo wa kupost status mpaka ya dakika 5, kutuma files kubwa kubwa ,kuchukua status za wenzako na nk lakini Whatsapp watakufungia muda wowote. Kwa kuwa program nyingi za Whatsapp mods usalama wake ni mdogo ni rahisi mtu kudukuliwa kupitia link anazotumiwa pia matangazo mengi ivyo simu yako ni Rahisi kuingiliwa na virus au malware. 2️⃣ kutuma maudhui ya...
View original post
bongotech255 - Home | Facebook
Fahamu baadhi ya mambo ukifanya kwenye Whatsapp utafungiwa akaunti yako siku yoyote jihadhari ??
1️⃣ kutumia WhatsApp mods Mtu yeyote anayetumia WhatsApp mods jihadhari kama vile Whatsapp gb,fm nk unaweza kufungiwa na kufutiwa akaunti yako muda wowote. Ukitumia Whatsapp gb , utakua na uwezo wa kupost status mpaka ya dakika 5, kutuma files kubwa kubwa ,kuchukua status za wenzako na nk lakini Whatsapp watakufungia muda wowote. Kwa kuwa program nyingi za Whatsapp mods usalama wake ni mdogo ni rahisi mtu kudukuliwa kupitia link anazotumiwa pia matangazo mengi ivyo simu yako ni Rahisi kuingiliwa na virus au malware. 2️⃣ kutuma maudhui ya...
View original post