bongotech255 - Simu nyingi zimekua zikitumika sanaa saa...
bongotech255 - Home | Facebook
Simu nyingi zimekua zikitumika sanaa saa 24 Kwa siku, wiki , mpaka mwezi. Hii kitu sio nzuri kabisa, sio kwako tu kuanzia mazingira mpaka simu yenyewe.
Bado unajiuliza kuna Umuhimu wa kuzima simu Kwa siku , wiki au mwezi ? Ndiyo ni muhimu angalau mara moja moja nyakati za usiku unajua kwanini ? 1️⃣ Ni salama zaidi kwako Tunatumia program mbalimbali Kila mara kwenye simu , baadhi zinatumia nafasi kubwa wakati unazitumia Kuna temporary data ujihifadhi kwenye simu yako kutokana na wewe kutumia app fulani labda insta, Fb nk. Kupitia kuzima simu yako upelekea kuondoa zile temporary data na kufanya simu kuwa na kasi. 2️⃣ Inapunguza mionzi...
View original post
bongotech255 - Home | Facebook
Simu nyingi zimekua zikitumika sanaa saa 24 Kwa siku, wiki , mpaka mwezi. Hii kitu sio nzuri kabisa, sio kwako tu kuanzia mazingira mpaka simu yenyewe.
Bado unajiuliza kuna Umuhimu wa kuzima simu Kwa siku , wiki au mwezi ? Ndiyo ni muhimu angalau mara moja moja nyakati za usiku unajua kwanini ? 1️⃣ Ni salama zaidi kwako Tunatumia program mbalimbali Kila mara kwenye simu , baadhi zinatumia nafasi kubwa wakati unazitumia Kuna temporary data ujihifadhi kwenye simu yako kutokana na wewe kutumia app fulani labda insta, Fb nk. Kupitia kuzima simu yako upelekea kuondoa zile temporary data na kufanya simu kuwa na kasi. 2️⃣ Inapunguza mionzi...
View original post
bongotech255 - Simu nyingi zimekua zikitumika sanaa saa...
bongotech255 - Home | Facebook
Simu nyingi zimekua zikitumika sanaa saa 24 Kwa siku, wiki , mpaka mwezi. Hii kitu sio nzuri kabisa, sio kwako tu kuanzia mazingira mpaka simu yenyewe.
Bado unajiuliza kuna Umuhimu wa kuzima simu Kwa siku , wiki au mwezi ? Ndiyo ni muhimu angalau mara moja moja nyakati za usiku unajua kwanini ? 1️⃣ Ni salama zaidi kwako Tunatumia program mbalimbali Kila mara kwenye simu , baadhi zinatumia nafasi kubwa wakati unazitumia Kuna temporary data ujihifadhi kwenye simu yako kutokana na wewe kutumia app fulani labda insta, Fb nk. Kupitia kuzima simu yako upelekea kuondoa zile temporary data na kufanya simu kuwa na kasi. 2️⃣ Inapunguza mion...
View original post
bongotech255 - Home | Facebook
Simu nyingi zimekua zikitumika sanaa saa 24 Kwa siku, wiki , mpaka mwezi. Hii kitu sio nzuri kabisa, sio kwako tu kuanzia mazingira mpaka simu yenyewe.
Bado unajiuliza kuna Umuhimu wa kuzima simu Kwa siku , wiki au mwezi ? Ndiyo ni muhimu angalau mara moja moja nyakati za usiku unajua kwanini ? 1️⃣ Ni salama zaidi kwako Tunatumia program mbalimbali Kila mara kwenye simu , baadhi zinatumia nafasi kubwa wakati unazitumia Kuna temporary data ujihifadhi kwenye simu yako kutokana na wewe kutumia app fulani labda insta, Fb nk. Kupitia kuzima simu yako upelekea kuondoa zile temporary data na kufanya simu kuwa na kasi. 2️⃣ Inapunguza mion...
View original post
bongotech255 - Natumai mwaka 2022 umejifunza mengi kuhusu...
bongotech255 - Home | Facebook
Natumai mwaka 2022 umejifunza mengi kuhusu teknolojia kwenye page Yetu 😌 Tulipokosea mtusamehe
Unalipi la kusema kuhusu page Yetu kwa mwaka 2023 mdau wetu toa maoni yako , ushauri na kitu chochote kipi cha kuongeza au kupunguza !! Vitu ambavyo umeridhika au bado ujaridhika kuhusu ubora wetu wa sauti, picha , Maelezo nk tuambie tujue 👇 Maana teknolojia ni Yetu sote
bongotech255 - Home | Facebook
Natumai mwaka 2022 umejifunza mengi kuhusu teknolojia kwenye page Yetu 😌 Tulipokosea mtusamehe
Unalipi la kusema kuhusu page Yetu kwa mwaka 2023 mdau wetu toa maoni yako , ushauri na kitu chochote kipi cha kuongeza au kupunguza !! Vitu ambavyo umeridhika au bado ujaridhika kuhusu ubora wetu wa sauti, picha , Maelezo nk tuambie tujue 👇 Maana teknolojia ni Yetu sote
bongotech255 - 𝗚𝗼𝗼𝗴𝗹𝗲 wameleta feature mpya inaitwa clear...
bongotech255 - Home | Facebook
𝗚𝗼𝗼𝗴𝗹𝗲 wameleta feature mpya inaitwa clear calling ambayo inaondoa kelele kwenye simu yako wakati unapiga simu.
Kuna nyakati unajikuta unampigia mtu simu akipokea unakuta Kuna kelele za pembeni zinajitokeza na kusababisha kutosikika vizuri kupitia simu na kushindwa kuelewa. Inawezekana Uko kwenye bajaji , pikipiki au kwenye mkusanyiko wa watu hali hii inakera Sana ya kupokea simu na kusikia sauti za watu sasa google wakaamua kuletea feature mpya inaitwa Clear calling Mtumiaji atakua na uwezo wa kuzuia kelele ambazo zinasababisha mtu asiweze kusikia vizuri pia anapoongea kwenye simu. Mwanzoni hii feature ilikua inatumika...
View original post
bongotech255 - Home | Facebook
𝗚𝗼𝗼𝗴𝗹𝗲 wameleta feature mpya inaitwa clear calling ambayo inaondoa kelele kwenye simu yako wakati unapiga simu.
Kuna nyakati unajikuta unampigia mtu simu akipokea unakuta Kuna kelele za pembeni zinajitokeza na kusababisha kutosikika vizuri kupitia simu na kushindwa kuelewa. Inawezekana Uko kwenye bajaji , pikipiki au kwenye mkusanyiko wa watu hali hii inakera Sana ya kupokea simu na kusikia sauti za watu sasa google wakaamua kuletea feature mpya inaitwa Clear calling Mtumiaji atakua na uwezo wa kuzuia kelele ambazo zinasababisha mtu asiweze kusikia vizuri pia anapoongea kwenye simu. Mwanzoni hii feature ilikua inatumika...
View original post