Apple Yatengeneza Pesa Nyingi Kupitia Magemu Kuliko Microsoft Na Nintendo!
Unaweza ukawa unajiuliza sana nap engine hata usiihusishe sana kampuni ya Apple na magemu (games) lakini ndio hvyo inategeneza hela nyingi tuu. Katika Ripoti ambayo imetoka ya mwaka 2021 inaonyesha Apple ikipata mauzo ya juu kabisa ukilingnaisha na makampuni kama vile Microsoft, Activision na Nintendo. Katika kipindi cha mwaka 2021 pekee kampuni ya Apple imeweza...
The post Apple Yatengeneza Pesa Nyingi Kupitia Magemu Kuliko Microsoft Na Nintendo! appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
https://teknolojia.co.tz/apple-yatengeneza-pesa-nyingi-kupitia-magemu-kuliko-microsoft-na-nintendo/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=apple-yatengeneza-pesa-nyingi-kupitia-magemu-kuliko-microsoft-na-nintendo
Unaweza ukawa unajiuliza sana nap engine hata usiihusishe sana kampuni ya Apple na magemu (games) lakini ndio hvyo inategeneza hela nyingi tuu. Katika Ripoti ambayo imetoka ya mwaka 2021 inaonyesha Apple ikipata mauzo ya juu kabisa ukilingnaisha na makampuni kama vile Microsoft, Activision na Nintendo. Katika kipindi cha mwaka 2021 pekee kampuni ya Apple imeweza...
The post Apple Yatengeneza Pesa Nyingi Kupitia Magemu Kuliko Microsoft Na Nintendo! appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
https://teknolojia.co.tz/apple-yatengeneza-pesa-nyingi-kupitia-magemu-kuliko-microsoft-na-nintendo/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=apple-yatengeneza-pesa-nyingi-kupitia-magemu-kuliko-microsoft-na-nintendo
TeknoKona Teknolojia Tanzania
Apple Yatengeneza Pesa Nyingi Kupitia Magemu Kuliko Microsoft Na Nintendo!
Unaweza ukawa unajiuliza sana nap engine hata usiihusishe sana kampuni ya Apple na magemu (games) lakini ndio hvyo inategeneza hela nyingi tuu. Katika Ripoti
Kivinjari Cha Safari Kutoka Apple Na Watumiaji Zaidi Ya Bilioni Moja!
Kivinjari cha Safari ni maarufu sana katika vifaa kutoka Apple, kwa sasa kina watumiaji zaidi ya bilioni moja duniani kote. Wengine wanasema kuwa namba hiyo ya idadi mbona ilifikiwa mapema tuu lakini ni kwamba kampuni haikutaka kuliweka hilo wazi. Kingine ambacho kimefanya namba hiyo kuongezeka sana ni kwamba kivinjari hicho ndio kivinjari mama– chaguo-kuu/chaguo-msingi (default...
The post Kivinjari Cha Safari Kutoka Apple Na Watumiaji Zaidi Ya Bilioni Moja! appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
https://teknolojia.co.tz/kivinjari-cha-safari-kutoka-apple-na-watumiaji-zaidi-ya-bilioni-moja/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=kivinjari-cha-safari-kutoka-apple-na-watumiaji-zaidi-ya-bilioni-moja
Kivinjari cha Safari ni maarufu sana katika vifaa kutoka Apple, kwa sasa kina watumiaji zaidi ya bilioni moja duniani kote. Wengine wanasema kuwa namba hiyo ya idadi mbona ilifikiwa mapema tuu lakini ni kwamba kampuni haikutaka kuliweka hilo wazi. Kingine ambacho kimefanya namba hiyo kuongezeka sana ni kwamba kivinjari hicho ndio kivinjari mama– chaguo-kuu/chaguo-msingi (default...
The post Kivinjari Cha Safari Kutoka Apple Na Watumiaji Zaidi Ya Bilioni Moja! appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
https://teknolojia.co.tz/kivinjari-cha-safari-kutoka-apple-na-watumiaji-zaidi-ya-bilioni-moja/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=kivinjari-cha-safari-kutoka-apple-na-watumiaji-zaidi-ya-bilioni-moja
TeknoKona Teknolojia Tanzania
Kivinjari Cha Safari Kutoka Apple Na Watumiaji Zaidi Ya Bilioni Moja!
Kivinjari cha Safari ni maarufu sana katika vifaa kutoka Apple, kwa sasa kina watumiaji zaidi ya bilioni moja duniani kote. Wengine wanasema kuwa namba hiyo
FAHAMU KUHUSU KAMPUNI YA AMAZON NA HUDUMA ZAKE — TeknoKona Tanzania
https://youtu.be/Y8l3is7kRkY 2:44
https://youtu.be/Y8l3is7kRkY 2:44
YouTube
FAHAMU KUHUSU KAMPUNI YA AMAZON NA HUDUMA ZAKE
Video hii inakuelezea mengi kuhusu kampuni ya Amazon na huduma zake mbalimbali.
Kujifunza mambo mbali yahusuyo teknolojia na habari za mambo mapya, tembelea www.teknolojia.co.tz
Kujifunza mambo mbali yahusuyo teknolojia na habari za mambo mapya, tembelea www.teknolojia.co.tz
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
FAHAMU KUHUSU KAMPUNI YA AMAZON NA HUDUMA ZAKE
Video hii inakuelezea mengi kuhusu kampuni ya Amazon na huduma zake mbalimbali.
Kujifunza mambo mbali yahusuyo teknolojia na habari za mambo mapya, tembelea www.teknolojia.co.tz
FAHAMU KUHUSU KAMPUNI YA AMAZON NA HUDUMA ZAKE
Video hii inakuelezea mengi kuhusu kampuni ya Amazon na huduma zake mbalimbali.
Kujifunza mambo mbali yahusuyo teknolojia na habari za mambo mapya, tembelea www.teknolojia.co.tz
BLOODHOUND - GARI LENYE REKODI YA KASI KUBWA ZAIDI DUNIANI — TeknoKona Tanzania
https://youtu.be/5cicH5nL3jI 2:19
https://youtu.be/5cicH5nL3jI 2:19
YouTube
BLOODHOUND - GARI LENYE REKODI YA KASI KUBWA ZAIDI DUNIANI
Bloodhound ni gari lilitengenezwa spesheli kwa ajili ya kuvunja rekodi ya dunia kwa kuwa gari lenye kasi kubwa zaidi.
Si gari unaloweza kuendesha kwenda nalo kitaa 😂...
Fahamu mengi kuhusu teknolojia za magari kwa kutembelea blog yetu - https://teknolo…
Si gari unaloweza kuendesha kwenda nalo kitaa 😂...
Fahamu mengi kuhusu teknolojia za magari kwa kutembelea blog yetu - https://teknolo…
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
BLOODHOUND - GARI LENYE REKODI YA KASI KUBWA ZAIDI DUNIANI
Bloodhound ni gari lilitengenezwa spesheli kwa ajili ya kuvunja rekodi ya dunia kwa kuwa gari lenye kasi kubwa zaidi.
Si gari unaloweza kuendesha kwenda nalo kitaa 😂...
Fahamu mengi kuhusu teknolojia za magari kwa kutembelea blog yetu - https://teknolojia.co.tz/teknolojia/magari/
Na kwa habari zingine za teknolojia tembelea https://teknolojia.co.tz
BLOODHOUND - GARI LENYE REKODI YA KASI KUBWA ZAIDI DUNIANI
Bloodhound ni gari lilitengenezwa spesheli kwa ajili ya kuvunja rekodi ya dunia kwa kuwa gari lenye kasi kubwa zaidi.
Si gari unaloweza kuendesha kwenda nalo kitaa 😂...
Fahamu mengi kuhusu teknolojia za magari kwa kutembelea blog yetu - https://teknolojia.co.tz/teknolojia/magari/
Na kwa habari zingine za teknolojia tembelea https://teknolojia.co.tz
Google Meet Na Google Duo Kuunganishwa Kuwa Kitu Kimoja!
Google ina huduma nyingi sana, huduma za Duo na Meet ni huduma nzuri kutoka kwao za kuhakikisha kuwa watumiaji wanawasiliana kwa kupitia njia ya video. Inamaana kwa sasa hudumahii itakua katika mfumo wa mmoj atuu, kitakauchofanyika ni kwamba mgumo wote wa Google Duo utaenda katika Google Meet. Ndio! Kama ukitaka huduma ya Duo utaipata katika...
The post Google Meet Na Google Duo Kuunganishwa Kuwa Kitu Kimoja! appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
https://teknolojia.co.tz/google-meet-na-google-duo-kuwa-kitu-kimoja/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=google-meet-na-google-duo-kuwa-kitu-kimoja
Google ina huduma nyingi sana, huduma za Duo na Meet ni huduma nzuri kutoka kwao za kuhakikisha kuwa watumiaji wanawasiliana kwa kupitia njia ya video. Inamaana kwa sasa hudumahii itakua katika mfumo wa mmoj atuu, kitakauchofanyika ni kwamba mgumo wote wa Google Duo utaenda katika Google Meet. Ndio! Kama ukitaka huduma ya Duo utaipata katika...
The post Google Meet Na Google Duo Kuunganishwa Kuwa Kitu Kimoja! appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
https://teknolojia.co.tz/google-meet-na-google-duo-kuwa-kitu-kimoja/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=google-meet-na-google-duo-kuwa-kitu-kimoja
TeknoKona Teknolojia Tanzania
Google Meet Na Google Duo Kuunganishwa Kuwa Kitu Kimoja!
Google ina huduma nyingi sana, huduma za Duo na Meet ni huduma nzuri kutoka kwao za kuhakikisha kuwa watumiaji wanawasiliana kwa kupitia njia ya video. Inama
MBINU 10 ZA KUKUONDOLEA AIBU — Newzfid
https://youtu.be/4vBhSVcajlM 8:43
https://youtu.be/4vBhSVcajlM 8:43
YouTube
MBINU 10 ZA KUKUONDOLEA AIBU
Aibu si kitu unachoweza kukiacha kirahisi.Hata hivyo inakupasa ufahamu,Kuwa na aibu si tatizo..Ndio..kwa taarifa yako, baadhi ya watu maarufu unaowafahamu wana AIBU: ukianza na Zendaya, Ed sheeran,Justin bieber. ..ndiyo najua Ni vigumu kumfikiria Justin Bieber…
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
MBINU 10 ZA KUKUONDOLEA AIBU
Aibu si kitu unachoweza kukiacha kirahisi.Hata hivyo inakupasa ufahamu,Kuwa na aibu si tatizo..Ndio..kwa taarifa yako, baadhi ya watu maarufu unaowafahamu wana AIBU: ukianza na Zendaya, Ed sheeran,Justin bieber. ..ndiyo najua Ni vigumu kumfikiria Justin Bieber kama mtu mwenye aibu Lakini kwa mujibu wake mwenyewe miaka kadhaa nyuma katika mahojiano na jarida la M alisema ana aibu sana hasa akiwa na wasichana
Episode za Newzfid,
Script, narration and editing by Jimmy James
MBINU 10 ZA KUKUONDOLEA AIBU
Aibu si kitu unachoweza kukiacha kirahisi.Hata hivyo inakupasa ufahamu,Kuwa na aibu si tatizo..Ndio..kwa taarifa yako, baadhi ya watu maarufu unaowafahamu wana AIBU: ukianza na Zendaya, Ed sheeran,Justin bieber. ..ndiyo najua Ni vigumu kumfikiria Justin Bieber kama mtu mwenye aibu Lakini kwa mujibu wake mwenyewe miaka kadhaa nyuma katika mahojiano na jarida la M alisema ana aibu sana hasa akiwa na wasichana
Episode za Newzfid,
Script, narration and editing by Jimmy James
Apple Ilizuia Miamala Ya Dola Bilioni 1.5 Iliyotokana Na Ulaghai AppStore! #2021
Apple inaheshimika sana na sera yake ya ulinzi na usalama hasa katika vifaa na huduma zake. Hii imeifanya kampuni kijichukulia sifa nyingi ukiachana na kuaminika. Kampuni imeweka hili wazi kwa kutoa taarifa hiyo, Kwa haraka haraka kampuni inasema imefanikiwa kuzuia zaidi ya dola bilioni tano kuibwa katika soko lake maarufu la App sababu zikiwa ni...
The post Apple Ilizuia Miamala Ya Dola Bilioni 1.5 Iliyotokana Na Ulaghai AppStore! #2021 appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
https://teknolojia.co.tz/apple-ilizuia-miamala-ya-dola-bilioni-1-5-iliyotokana-na-ulaghai-appstore-2021/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=apple-ilizuia-miamala-ya-dola-bilioni-1-5-iliyotokana-na-ulaghai-appstore-2021
Apple inaheshimika sana na sera yake ya ulinzi na usalama hasa katika vifaa na huduma zake. Hii imeifanya kampuni kijichukulia sifa nyingi ukiachana na kuaminika. Kampuni imeweka hili wazi kwa kutoa taarifa hiyo, Kwa haraka haraka kampuni inasema imefanikiwa kuzuia zaidi ya dola bilioni tano kuibwa katika soko lake maarufu la App sababu zikiwa ni...
The post Apple Ilizuia Miamala Ya Dola Bilioni 1.5 Iliyotokana Na Ulaghai AppStore! #2021 appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
https://teknolojia.co.tz/apple-ilizuia-miamala-ya-dola-bilioni-1-5-iliyotokana-na-ulaghai-appstore-2021/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=apple-ilizuia-miamala-ya-dola-bilioni-1-5-iliyotokana-na-ulaghai-appstore-2021
TeknoKona Teknolojia Tanzania
Apple Ilizuia Miamala Ya Dola Bilioni 1.5 Iliyotokana Na Ulaghai AppStore! #2021
Apple inaheshimika sana na sera yake ya ulinzi na usalama hasa katika vifaa na huduma zake. Hii imeifanya kampuni kijichukulia sifa nyingi ukiachana na kuaminik
KWANINI INAANZA 'LOCAL DISK C' NA SIO A? — Newzfid
https://youtu.be/-au3qB5OS_4 3:49
https://youtu.be/-au3qB5OS_4 3:49
YouTube
KWANINI INAANZA 'LOCAL DISK C' NA SIO A?
Nadhani leo tuko na swali ambalo sembuse asilimia 90 ya tunaotazama episode hii hatujui jibu lake right? KWANINI WINDOWS INAANZA NA LOCAL DISK C: NA SIO Herufi A au herufi B?
Episode za Newzfid,
Script, narration and editing by Jimmy James
Episode za Newzfid,
Script, narration and editing by Jimmy James
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
KWANINI INAANZA 'LOCAL DISK C' NA SIO A?
Nadhani leo tuko na swali ambalo sembuse asilimia 90 ya tunaotazama episode hii hatujui jibu lake right? KWANINI WINDOWS INAANZA NA LOCAL DISK C: NA SIO Herufi A au herufi B?
Episode za Newzfid,
Script, narration and editing by Jimmy James
KWANINI INAANZA 'LOCAL DISK C' NA SIO A?
Nadhani leo tuko na swali ambalo sembuse asilimia 90 ya tunaotazama episode hii hatujui jibu lake right? KWANINI WINDOWS INAANZA NA LOCAL DISK C: NA SIO Herufi A au herufi B?
Episode za Newzfid,
Script, narration and editing by Jimmy James
Twitter yatozwa faini ya $150m (bilioni 349 Tsh) kwa kuuza data ya watumiaji
Twitter yatozwa faini ya $150m nchini Marekani baada ya maafisa wa kutekeleza sheria kuishutumu kwa kutumia kinyume cha sheria data za watumiaji kusaidia kuuza matangazo yaliyowalenga. Tume ya Biashara ya Shirikisho (FTC) na Idara ya Haki wanasema Twitter ilikiuka makubaliano iliyokuwa nayo na wadhibiti, hati za korti zilionyesha.Twitter iliapa kutotoa taarifa za kibinafsi kama vile...
The post Twitter yatozwa faini ya $150m (bilioni 349 Tsh) kwa kuuza data ya watumiaji appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
https://teknolojia.co.tz/twitter-yatozwa-faini-ya-150m-bilioni-349-tsh-kwa-kuuza-data-ya-watumiaji/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=twitter-yatozwa-faini-ya-150m-bilioni-349-tsh-kwa-kuuza-data-ya-watumiaji
Twitter yatozwa faini ya $150m nchini Marekani baada ya maafisa wa kutekeleza sheria kuishutumu kwa kutumia kinyume cha sheria data za watumiaji kusaidia kuuza matangazo yaliyowalenga. Tume ya Biashara ya Shirikisho (FTC) na Idara ya Haki wanasema Twitter ilikiuka makubaliano iliyokuwa nayo na wadhibiti, hati za korti zilionyesha.Twitter iliapa kutotoa taarifa za kibinafsi kama vile...
The post Twitter yatozwa faini ya $150m (bilioni 349 Tsh) kwa kuuza data ya watumiaji appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
https://teknolojia.co.tz/twitter-yatozwa-faini-ya-150m-bilioni-349-tsh-kwa-kuuza-data-ya-watumiaji/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=twitter-yatozwa-faini-ya-150m-bilioni-349-tsh-kwa-kuuza-data-ya-watumiaji
TeknoKona Teknolojia Tanzania
Twitter yatozwa faini ya $150m (bilioni 349 Tsh) kwa kuuza data ya watumiaji
Twitter yatozwa faini ya $150m nchini Marekani baada ya maafisa wa kutekeleza sheria kuishutumu kwa kutumia kinyume cha sheria data za watumiaji kusaidia kuuza
Ni Rahisi Sana App Za Magemu Kupata Nafasi Za Juu Kuliko App Zingine Huko App Store! #2022
Kulingana na taarifa ambazo zimetoka kwa watafiti na wachanganuzi kutoka katika kampuni ijulikanayo kama Sensor Tower, ni kwamba kuna ugumu katika App za kawaida kupata nafasi za juu ukilinganisha na App za magemu katika soko la App Store. Mpaka App yoyote ishike nafasi za juu kama vile katika kumi bora kuna mambo mengi ambayo yanazingatiwa...
The post Ni Rahisi Sana App Za Magemu Kupata Nafasi Za Juu Kuliko App Zingine Huko App Store! #2022 appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
https://teknolojia.co.tz/ni-rahisi-sana-app-za-magemu-kupata-nafasi-za-juu-kuliko-app-zingine-huko-app-store-2022/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=ni-rahisi-sana-app-za-magemu-kupata-nafasi-za-juu-kuliko-app-zingine-huko-app-store-2022
Kulingana na taarifa ambazo zimetoka kwa watafiti na wachanganuzi kutoka katika kampuni ijulikanayo kama Sensor Tower, ni kwamba kuna ugumu katika App za kawaida kupata nafasi za juu ukilinganisha na App za magemu katika soko la App Store. Mpaka App yoyote ishike nafasi za juu kama vile katika kumi bora kuna mambo mengi ambayo yanazingatiwa...
The post Ni Rahisi Sana App Za Magemu Kupata Nafasi Za Juu Kuliko App Zingine Huko App Store! #2022 appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
https://teknolojia.co.tz/ni-rahisi-sana-app-za-magemu-kupata-nafasi-za-juu-kuliko-app-zingine-huko-app-store-2022/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=ni-rahisi-sana-app-za-magemu-kupata-nafasi-za-juu-kuliko-app-zingine-huko-app-store-2022
TeknoKona Teknolojia Tanzania
Ni Rahisi Sana App Za Magemu Kupata Nafasi Za Juu Kuliko App Zingine Huko App Store! #2022
Kulingana na taarifa ambazo zimetoka kwa watafiti na wachanganuzi kutoka katika kampuni ijulikanayo kama Sensor Tower, ni kwamba kuna ugumu katika App za kawaid
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Simukitaa (TikTok)
Namna ambayo simu yako itatuma Mesage Automatic kwa Mpenzi wako au Rafiki Bila kushika simu #simukitaa
Namna ambayo simu yako itatuma Mesage Automatic kwa Mpenzi wako au Rafiki Bila kushika simu #simukitaa