Teknolojia
139 subscribers
3.87K photos
5.6K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli ๐Ÿ‘‹
Download Telegram
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

๐—ก๐—ท๐—ถ๐—ฎ ๐—•๐—ผ๐—ฟ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฑ๐—ต๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐˜๐—ถ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜€๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐˜๐—ฝ๐—ต๐—ผ๐—ป๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐˜๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚

Kama ulikua na changamoto juu ya mwanao , rafiki , ndugu , mpenzi wako dhidi matumizi ya simu yake yanakupa wasiwasi ๐Ÿ˜„ basi Leo karibu nikujuze njia Bora muhimu Sana ambayo wala hutajutia kabisa.

Hii naitoa kwa ajili ya elimu tu wala sio mambo mengine hivyo kufuatilia taarifa za mtu bila ridhaa yake sio vizuri ni kosa kisheria hivyo natoa angalizo

Unajua watu wengi wanawanunulia watoto, wapenzi au ndugu zao simu lakini kuna wakati wanatumia vibaya kupitiliza jambo linalopelekea mtu aliyempa simu kuwa na wasiwasi na Tabia yake.

Njia huu utaweza kujua vitu vingi anavyofanya huyo mtu kupitia simu yako mambo mengi tu , njia hii inafanya kazi kwa simu zote za android & iphone hivyo usijali kabisa.

Hii app himewekwa kwa ajili ya watoto kufuatilia Tabia yake Sasa ukiamua kumfuatilia mpenzi wako unalako jambo ๐Ÿคญ.

Hakikisha simu yako Ina uwezo wa android version kuanzia tano ndo huu mfumo unafanya kazi ๐Ÿ™ƒ, pia kwa watumiaji wa iphone ni versions ya 13 na kuendelea hakikisha unaijua email ya muhusika wako.

Kama wewe ndo mzazi ingia play store au app store pakua app inayoitwa
๐Ÿ‘‰ google family link Kisha ifungue alafu fuata hatua zote watakazo kuambia ufanye

hakikisha email ya mwanao | mtu wako unayo pia kama huyo mtu wako ana akaunti unaweza kutengeneza pia humo ndani ya hiyo app bila shida yoyote.

Ukimaliza ku set kwenye simu yako chukua simu ya mwanao Kisha paku hiyo app family link child & teen kwenye simu yake Kisha weka code Ambazo umepewa kutoka kwenye simu yako.

Baada ya kufanya hivyo utaletewa sehemu Mbalimbali za kuseti hii app utaweza kuseti mpaka muhusika kushindwa kuiondoa kwenye simu yake.

Utaweza kujua ๐Ÿ‘‡
Eneo alilopo wakati huo , muda anaotumia kwenye app , pia utakua na uwezo wa kumzuia kutumia baadh ya app , utaweza kuona data zake za Whatsapp , utaweza kuzuia baadhi ya video kuziona kwenye YouTube au mitandao ya kijamii na mambo mengine mengi tu.

Vipi utaanza kumfuatilia mtoto wako ๐Ÿ˜ baada ya kumpa simu kwa kuweka hii app kwenye simu yake au lah tuachie maoni yako ?