This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
HAJIMURON255๐ (Instagram)
๐ฆ๐ถ๐บ๐ ๐๐ฎ ๐๐ก๐๐๐ก๐๐ซ ๐ญ๐๐ฅ๐ข ๐ซ
Moja ya video yake imeonekana kuvuja kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwa na uwezo wa mega pixel 108MP za kamera kwa nyuma.
Vipi unategemea maajabu Gani kutoka kwenye simu hii kwa upande wa Kamera tuachie maoni yako Sasa ?
#SeeBeyond
#ZeroXPro
๐ฆ๐ถ๐บ๐ ๐๐ฎ ๐๐ก๐๐๐ก๐๐ซ ๐ญ๐๐ฅ๐ข ๐ซ
Moja ya video yake imeonekana kuvuja kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwa na uwezo wa mega pixel 108MP za kamera kwa nyuma.
Vipi unategemea maajabu Gani kutoka kwenye simu hii kwa upande wa Kamera tuachie maoni yako Sasa ?
#SeeBeyond
#ZeroXPro
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)
Fahamu kuhusu umuhimu na matumizi ya namba 100 kwenye huduma za Mawasiliano ya simu katika kipindi maalum cha Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) mubashara kupitia chaneli yetu ya YouTube na ukurasa wetu wa Instagram, Alhamisi hii tarehe 16/09/2021 kuanzia saa moja kamili (1:00) Usiku.
Usikose!
Fahamu kuhusu umuhimu na matumizi ya namba 100 kwenye huduma za Mawasiliano ya simu katika kipindi maalum cha Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) mubashara kupitia chaneli yetu ya YouTube na ukurasa wetu wa Instagram, Alhamisi hii tarehe 16/09/2021 kuanzia saa moja kamili (1:00) Usiku.
Usikose!
HAJIMURON255๐ (Instagram)
๐ ๐ฎ๐บ๐ฏ๐ผ ๐๐ฎ๐๐ถ๐๐ผ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฒ๐น๐ถ ๐ธ๐๐ต๐๐๐ ๐ธ๐๐ฐ๐ต๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ถ๐บ๐
Kuna mengi umesikia kuhusu njia salama za kuchaji simu yako. Pia umesikia kuhusu njia Ambazo utakiwi kuzifanya wakati unachaji simu
Je kuna ukweli wowote ?
Ngoja niwape elimu Japo kwa uchache kuhusu kuchaji simu na usalama wa betri lako wakati unachaji simu yako we tafuta mahali upepo tulivu pia usisahau kuagiza soda ya baridi huku ukiendelea kusoma makala hii !!
1๏ธโฃ Kusubiri chaji hiwe chini kabisa au imeisha kabisa ndo uchaji
Hii sio kweli kabisa ni uongo Moja wapo mkubwa Sana ๐ , kwani ukiwa unachaji simu yako mara kwa mara ndiyo hupelekea simu yako kuwa imara katika utunzaji wa chaji. Hapa sizungumzi Kila baada ya dakika 5 ๐ tuelewane jamani ni kuwa usisubiri mpaka simu aina chaji kabisa ndo uchaji.
2๏ธโฃ Kuchaji simu usiku kucha
Moja ya uo...
View original post
๐ ๐ฎ๐บ๐ฏ๐ผ ๐๐ฎ๐๐ถ๐๐ผ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฒ๐น๐ถ ๐ธ๐๐ต๐๐๐ ๐ธ๐๐ฐ๐ต๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ถ๐บ๐
Kuna mengi umesikia kuhusu njia salama za kuchaji simu yako. Pia umesikia kuhusu njia Ambazo utakiwi kuzifanya wakati unachaji simu
Je kuna ukweli wowote ?
Ngoja niwape elimu Japo kwa uchache kuhusu kuchaji simu na usalama wa betri lako wakati unachaji simu yako we tafuta mahali upepo tulivu pia usisahau kuagiza soda ya baridi huku ukiendelea kusoma makala hii !!
1๏ธโฃ Kusubiri chaji hiwe chini kabisa au imeisha kabisa ndo uchaji
Hii sio kweli kabisa ni uongo Moja wapo mkubwa Sana ๐ , kwani ukiwa unachaji simu yako mara kwa mara ndiyo hupelekea simu yako kuwa imara katika utunzaji wa chaji. Hapa sizungumzi Kila baada ya dakika 5 ๐ tuelewane jamani ni kuwa usisubiri mpaka simu aina chaji kabisa ndo uchaji.
2๏ธโฃ Kuchaji simu usiku kucha
Moja ya uo...
View original post