5️⃣ Vidokezo vya kinga kabla haijakutokea
🔹 Hakikisha Find My iPhone imewashwa kila mara.
🔹 Weka strong passcode (siyo 1234 au tarehe ya kuzaliwa).
🔹 Washa Two-Factor Authentication (2FA) kwenye Apple ID yako.
🔹 Hakikisha Find My iPhone imewashwa kila mara.
🔹 Weka strong passcode (siyo 1234 au tarehe ya kuzaliwa).
🔹 Washa Two-Factor Authentication (2FA) kwenye Apple ID yako.
🔹 Usihifadhi passwords kwenye Notes bila encryption.
🔹 Jifunze kutofautisha SMS za kweli kutoka Apple na phishing.
🔹 Jifunze kutofautisha SMS za kweli kutoka Apple na phishing.
〽︎ Teknolojia
💨 Redmi 15C kuanzia kesho tutakuwa nazo
Soma specifications zake alafu kwenye bei sasa.
Hizi Redmi C series ndio simu zenye bei ndogo zaidi sokoni kushinda Tecno, Infinix na Samsung zenye uwezo unaokaribiana.
💨 Redmi 15C kuanzia kesho tutakuwa nazo
Soma specifications zake alafu kwenye bei sasa.
Hizi Redmi C series ndio simu zenye bei ndogo zaidi sokoni kushinda Tecno, Infinix na Samsung zenye uwezo unaokaribiana.