Teknolojia
132 subscribers
3.76K photos
4.44K videos
93 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Hook: JIUNGE NA MAFUNZO YA AI β€œAI FOR EVERYONE MASTERCLASS” Jifunze kutumia AI kwa njia rahisi na yenye matokeo
AI sio ya kesho β€” ni ya sasa. Na tayari inabadilisha jinsi tunavyofanya kazi, tunavyounda, tunavyojifunza na tunavyopata kipato. 🌟 Mafunzo ya Masterclass hii ni ya ana kwa ana na yameandaliwa kukupa maarifa na ujuzi wa kutumia nguvu ya AI β€” bila kujali wewe ni nani au unafanya nini. πŸ‘” Wataalamu / Professionals – Ongeza ufanisi wa kazi, punguza muda wa kazi na uwe mbele ya wenzako kwenye sekta yako.
🎨 Wabunifu / Creatives – Geuza AI iwe mshirika wako wa ubunifu kwa michoro, muziki, content na zaidi.
πŸ’Ό Vijana & Wajasiriamali – Jifunze njia halisi za kutumia AI kuanzisha miradi ya pembeni, kufanya freelancing haraka na kupata kipato.
πŸ“š Wanafunzi & Walimu – Tumia AI kwa utafiti, kuandika, kutengeneza mawazo mapya na kufanikisha masomo yako. Utakachojifunza: βœ… AI ni nini hasa (na sio nini)
βœ… Jinsi ya kuandika prompt bora ili kupata matokeo ya kweli
βœ… Sehemu AI inavyotumika kwenye biashar
πŸ’¨ Wakenya kumbe wanaangaliaga kwa huruma hivi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ Google Pixel 10 nani atakuwa mtanzania wa kwanza kutumia? 😁
πŸ’¨ Mzize tunataka abebe ballon d'or ila anatuangusha sana.
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

After Update -iPhone 16 Pro Max vs iPhone 14 Pro Max Speed Test -
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Rimoti ya TV yako kwenye simu yako. @Stick - Remote Control For TV
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Namna ambavyo Matapeli wanatumia njia ya β€œSteganography” kuhack taarifa za mtu zilizopo kwenye simu yake na namna ya kuzuia hayo πŸ‡°πŸ‡ͺ