This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma
Je! Ulikua unaijua mbinu hii mpya ya mataperi Mwanakitaa? Najua ulikua ufahamu mengi kuhusu hili swala ila Tafadhali angalia video Hii Mpaka Mwisho Then Thank Me Later.. Nawakumbusha tu hapa ndo mahali pekee ambapo utajipatia simu original kabisa tena kwa bei nafuu.. Call/Whatsapp 0712858344 Tunapatikana Sinza Mori
Je! Ulikua unaijua mbinu hii mpya ya mataperi Mwanakitaa? Najua ulikua ufahamu mengi kuhusu hili swala ila Tafadhali angalia video Hii Mpaka Mwisho Then Thank Me Later.. Nawakumbusha tu hapa ndo mahali pekee ambapo utajipatia simu original kabisa tena kwa bei nafuu.. Call/Whatsapp 0712858344 Tunapatikana Sinza Mori
✔️ Ukiwa lazima utumie public computer → weka “Charge only” mode.
✔️ Kwenye Android: Nenda Developer Options > Default USB Configuration > Charging Only.
✔️ Kwenye Android: Nenda Developer Options > Default USB Configuration > Charging Only.
〽︎ Teknolojia
💨KUWA MAKINI 🚨: UKICHOMEKA SIMU KWENYE COMPUTER YA PUBLIC DATA ZAKO ZINAWEZA KUNYONYWA KIMYA KIMYA 📱💻
Unajua ukiweka simu yako kwenye computer ya library/cyber ili kuchaji au kuhamisha faili... kuna uwezekano mkubwa data zako zinakopiwa bila wewe kujua?
Thread 🧵👇
💨KUWA MAKINI 🚨: UKICHOMEKA SIMU KWENYE COMPUTER YA PUBLIC DATA ZAKO ZINAWEZA KUNYONYWA KIMYA KIMYA 📱💻
Unajua ukiweka simu yako kwenye computer ya library/cyber ili kuchaji au kuhamisha faili... kuna uwezekano mkubwa data zako zinakopiwa bila wewe kujua?
Thread 🧵👇
4️⃣ Jinsi ya Kujilinda 🛡️
✔️ Tumia USB data blocker (kifaa kidogo kinachozuia data channel, kinaacha power pekee).
✔️ Chomeka simu yako kwa adapter kwenye socket – sio PC ya mtu mwingine.
✔️ Tumia USB data blocker (kifaa kidogo kinachozuia data channel, kinaacha power pekee).
✔️ Chomeka simu yako kwa adapter kwenye socket – sio PC ya mtu mwingine.
3️⃣ Dalili za Hatari ⚠️
Simu yako inakuuliza “Allow access to data?” kila mara.
Kuna icon ya “File transfer” bila wewe kuweka.
Battery inacharge unusually haraka/kwa shida.
Simu yako inakuuliza “Allow access to data?” kila mara.
Kuna icon ya “File transfer” bila wewe kuweka.
Battery inacharge unusually haraka/kwa shida.
2️⃣ USB Sniffing ni nini?
Ni mbinu inayotumika ku-spy data zako kupitia USB.
Cyber café au public PC inaweza kuwa na software ambazo:
Ni mbinu inayotumika ku-spy data zako kupitia USB.
Cyber café au public PC inaweza kuwa na software ambazo:
1️⃣ USB Sio Charger Pekee
Kila mara unapochomeka simu yako kwa USB:
Kuna “data channel” na “power channel.”
Computer inaweza kufikia simu yako kupitia data channel.
Hii inamaanisha faili, contacts, SMS, hata picha zako → ziko wazi.
Kila mara unapochomeka simu yako kwa USB:
Kuna “data channel” na “power channel.”
Computer inaweza kufikia simu yako kupitia data channel.
Hii inamaanisha faili, contacts, SMS, hata picha zako → ziko wazi.
5️⃣ Lesson Kuu
Usiichomeke ovyo kwenye computer ya public.
Kuchaji kwa socket ni salama zaidi kuliko kwa PC ya mtu mwingine. 🔒
Usiichomeke ovyo kwenye computer ya public.
Kuchaji kwa socket ni salama zaidi kuliko kwa PC ya mtu mwingine. 🔒
Zina-scan simu yako mara tu unapoichomeka.
Zinakopi messages, call logs, WhatsApp data, n.k.
Yote yanafanyika kimya kimya bila alert yoyote.
Zinakopi messages, call logs, WhatsApp data, n.k.
Yote yanafanyika kimya kimya bila alert yoyote.