@Huduma
💨 Apple wamewaiga wachina namna wanavyovujisha simu zao mpya ambazo hazijatoka.
Wanaiingiza mtaani makusudi kwa kuifanyia majaribio na kuificha ficha kimkakati.
💨 Apple wamewaiga wachina namna wanavyovujisha simu zao mpya ambazo hazijatoka.
Wanaiingiza mtaani makusudi kwa kuifanyia majaribio na kuificha ficha kimkakati.
16. 🔐 WhatsApp yako hai-display jina la mtumaji kwenye notification?
✔ Nenda WhatsApp Settings > Notifications
✔ Hakikisha Show Preview imewashwa
✔ Pia settings za simu (notification settings) ziwe sawa
✔ Nenda WhatsApp Settings > Notifications
✔ Hakikisha Show Preview imewashwa
✔ Pia settings za simu (notification settings) ziwe sawa
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma
Unadhani mistari myeupe nyuma ya ndege ni mafuta au kemikali? ✈️😨 Ukweli wake ni rahisi kuliko unavyofikiri — ni kama pumzi yako kwenye baridi kali!❄️ Hebu tuchambue kinachoendelea angani... "
Unadhani mistari myeupe nyuma ya ndege ni mafuta au kemikali? ✈️😨 Ukweli wake ni rahisi kuliko unavyofikiri — ni kama pumzi yako kwenye baridi kali!❄️ Hebu tuchambue kinachoendelea angani... "
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma
Hii ndiyo mbinu mpya inayotumiwa na matapeli 🙌🙌 Inahitaji umakini mkubwa sana kwenye hili kama wewe ni mfanya biashara kwani inaweza ikakukuta siku moja.. Angalia video hii mpaka mwisho mwanakitaa utakuja kunishukuru baadaye.. Bado tunaendelea kuwakumbusha kwamba hapa ndiyo chimbo pekee la kujipatia simu genuine kwa bei nafuu kabisa... Unasubiri nini mwanakitaa?!!! Call/Whatsapp 0712858344 Tunapatikana Sinza Mori
Hii ndiyo mbinu mpya inayotumiwa na matapeli 🙌🙌 Inahitaji umakini mkubwa sana kwenye hili kama wewe ni mfanya biashara kwani inaweza ikakukuta siku moja.. Angalia video hii mpaka mwisho mwanakitaa utakuja kunishukuru baadaye.. Bado tunaendelea kuwakumbusha kwamba hapa ndiyo chimbo pekee la kujipatia simu genuine kwa bei nafuu kabisa... Unasubiri nini mwanakitaa?!!! Call/Whatsapp 0712858344 Tunapatikana Sinza Mori