Teknolojia
132 subscribers
3.83K photos
4.59K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
Feki mara nyingi box linakosea fonts, picha au linaloonekana ‘cheap’.
︎ Teknolojia

💨NJIA SABA (7) ZA KUTAMBUA AIRPODS ORIGINAL NA FAKE.

Shuka🧵🧵👇

Usisahau repost 🔄

1. 📦 Kifurushi (Packaging)

AirPods original huja na box lenye maandishi yaliyopangwa kwa usahihi, laini ya sealing haijafunguliwa.
4. 🎧 Build Quality

Original: plastiki ni laini, joints hazionekani, hakuna kelele ukiitikisa.

Feki mara nyingi zina plastiki nyepesi, gaps, na huweza kutoa sauti ukiitikisa.
6. 📶 Bluetooth Behavior

Original zina fast pairing na zinatumia Apple’s H1 chip (kwa baadhi ya toleo).

Feki huchukua muda, mara nyingine hujionyesha kama “TWS_...” badala ya AirPods [your name].
AirPods Pro original zina mesh (kitundu kidogo cha mic juu), lakini feki mara nyingi haina au si sahihi.
7. ⚙️ Find My App & Settings

AirPods original huonekana kwenye app ya Find My (ikiwa imeunganishwa).

Pia unaweza kuzikontrol kwenye Bluetooth settings – mfano rename, ANC, mic control.

Feki hazina hizi options.
Kumbuka: Soko lina feki zenye uwezo wa kuigiza kila kitu – lakini Apple’s serial number check na build quality ni silaha kuu zako.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

Kama unajua hii ni simu gani tuambie kwenye comments mwanakitaa...
︎ Teknolojia

💨iPhone wametoa list ya rangi za iPhone 17 series.
Kwa wale wanaotaka kujua hizi simu zinafananaje kwa muonekano
Kwa iphone 17 plain kaangalieni tecno pop 10
17 air mkaangalie tecno spark slim ( wametofautiana kidogo sana)
Na iPhone 17pro mkaangalie tecno spark 40.
︎ Teknolojia

💨Hata mimi nimeshtuka kumbe ni cover za nothing phone 3
︎ Teknolojia

💨 Kwa Tanzania hazipandishi hata Oppo/Oneplus zilikuwa hivyo ila wao kwasababu wana service center zao hapa TZ watu walikuwa wanazipeleka simu zao pale kuna file zinaongezewa na kupanda 5G.
︎ Teknolojia

💨 Redmi 14C 💥

Redmi 14C Specifications
▪️ Camera: 50MP
▪️ Storage: 128GB/256GB
▪️ RAM: 4GB
▪️ Battery Capacity: 5000mAh 👇

💥 Price: (4GB + 128GB) 300,000
(8GB + 256GB) 350,000

📍 Likoma, Opposite KKKT Kariakoo
📍 Roundabout ya samaki, Mwanza
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
🔋 Na Case yenyewe pia inakula chaji – hata ikiwa haina AirPods ndani

Chip ya kudetect kufungua/kufunga inakula nguvu.
💥 Sababu zingine zinazochangia:

Dirty connectors: AirPods hazi-recharge vizuri ndani ya case.

Firmware bugs: Watu wengi waliripoti hili baada ya iOS/macOS updates.
Hakikisha unatumia original firmware & case halisi.

Recharge mara kwa mara hata kama huzitumii – usiziache hadi zife kabisa.
Hili tatizo linaitwa passive battery drain — ambapo betri inaisha polepole hata bila kutumia kifaa.