Teknolojia
132 subscribers
3.74K photos
4.39K videos
90 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
︎ Teknolojia

💨 XIAOMI REDMI (Brand new) 💥

▪️Redmi A5 (3+64) - 250K
▪️Redmi A5 (4+128) - 280K
▪️Redmi 14C (4+128) - 300K
▪️Redmi 14C (8+256) - 350K
▪️Note 13 (6+128) - 450K
▪️Note 13 (8+256) - 530K
▪️Note 13 Pro 4G (8+256) - 680K
▪️Note 13 Pro+ 5G (8+256) - Tsh. 880K
▪️Note 13 Pro+ 5G (12+512) - Tsh. 1.05M
▪️Redmi Note 14 (6+128) - 480K
▪️Redmi Note 14 (8+256) - 580K
▪️Redmi Note 14 5G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 4G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 5G (8+256) - 800K
▪️Redmi Note 14 Pro+ 5G (8+256)
@Huduma

💨Baada ya Samsung kuzindua Samsung z fold 7 na tukisubiri toleo la Google pixel 10 pro fold.
Vivo nao hawapo mbali, Vivo wapo mbioni kuzindua Vivo x Fold5. Hii ni baada ya mafanikio ya vivo x Fold 3 series.
@Huduma

💨Kushoto Vivo X200FE kulia vivo x Fold5
Zote zimezinduliwa rasmi leo huko India
Unawapa ngapi kampuni ya vivo
/10
🔥🔥
Njia za Kinga Mbele:

Usitumie apps nje ya Play Store

Backup kabla ya system update

Usizime simu wakati ina-update

Usi-root kama huelewi unachofanya

Hakikisha simu ina space ya kutosha kabla ya OTA update
5. Hatari ya Kuendelea Kulazimisha Boot:

Inaweza kuharibu eMMC/eUFS storage
Inaongeza joto – husababisha battery swelling
Inapunguza lifespan ya simu yako
Ku-root simu vibaya

Kuweka custom ROM bila kufuata taratibu

Power off wakati inafanya update
7. Kama Hataki Kufunguka Kabisa:

Hii ni ngumu kidogo:

Unahitaji flashing tool (kama SP Flash Tool au Mi Flash)

Lazima uwe na firmware sahihi ya simu yako

Hii inafanywa kwenye PC – au peleka kwa fundi mzoefu wa software
3. Nini Husababisha OS Corruption?

📍 Hizi ndizo sababu kuu:

Kuweka apps za ajabu kutoka nje ya Play Store (APK zenye malware)

Kupakua system update isiyo rasmi
4. Njia za Haraka za Kutatua:

Step 1: Safe Mode Boot

Inazuia third-party apps ku-load

Hold power button > Hold "Power Off" > Chagua “Safe Mode”

Kama simu inafunguka salama, tatizo ni apps tu
Step 2: Clear Cache Partition

Boot kwenye recovery mode:

(Volume Up + Power kwa muda)

Chagua: Wipe Cache Partition

Haim-delete data zako
📌 Bootloop na OS corruption si mwisho wa simu yako – lakini ni warning ya kwamba kuna kitu kibaya kilitokea kwenye mfumo.

Jitahidi kujifunza kufunga updates rasmi, usibadili system files bila sababu, na backup data zako mara kwa mara.
Step 3: Factory Reset (Mwisho Kabisa)

Recovery Mode > Wipe data/factory reset

Inafuta kila kitu – tumia kama suluhisho la mwisho
. Dalili Kuu za OS Corruption:

Simu kuwaka na kuzima bila sababu

Kushindwa kufungua apps

Inabaki kwenye logo (boot logo) tu

Inasema “Android is starting...” lakini haimalizi

Screen ya black/white tu bila progress
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

💨Huko njee makampuni ya simu yanakosoana wazi wazi kwenye Ads zao
Hapa Honor Magic V5 akimtambia SAM.
😂
︎ Teknolojia

💨 INFINIX BRAND NEW

▪️Infinix Smart 8 (4+64) - 230K
▪️Infinix Smart 9 (6+64) - 250K
▪️Infinix Hot 50i (8+128) - 310K
▪️Infinix Hot 50 Pro+ (16+128) - 520K
▪️Infinix Note 50 (16+256) - 650K
▪️Infinix Note 50 Pro+ (12+512) - 1.2M

📍Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo Floor ya 1 utaingia ndani duka limeandikwa Njiwa
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 USED DUBAI (Original Display)👇

▪️Pixel 7 (8+128) - 550K
▪️Pixel 7a (8+128) - 550K
▪️Pixel 8 (8+128) - 850K
▪️Pixel 8 Pro (12+128) - 1.15M

PIXEL MPYA (Non Active)💥
▪️Pixel 9a (8+128) - 1.45M
▪️Pixel 9a (8+256) - 1.7M
▪️Pixel 9 (12+128) - 1.75M
▪️Pixel 9 (12+256) - 2.1M
▪️Pixel 9 Pro (16+128) - 2.35M
▪️Pixel 9 Pro (16+256) - 2.65M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+128) - 2.4M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+256) - 2.65M

📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 JBL SPEAKER (Original💯)

▪️JBL Go 3 - 145K
▪️JBL Go 4 - 190K
▪️JBL Flip6 - 300K
▪️JBL Flip7 - 380K
▪️JBL Charger5 - 450K
▪️JBL Charger6 - 550K
▪️JBL XTRME3 - 700K
▪️JBL XTRME4 - 840K
▪️JBL Boombox X3 Wi-Fi - 1.3M

📍Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo Floor ya 1 utaingia ndani duka limeandikwa Njiwa
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757