Teknolojia
133 subscribers
3.79K photos
4.46K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
πŸ“‰ 4. Dalili kuwa kuna kitu kibaya kwenye hotspot yako
⚠️ Intaneti yako inakwisha haraka hata bila matumizi makubwa
⚠️ Simu inapata joto isivyo kawaida ukiwasha hotspot
⚠️ Unapokea SMS za login au OTP bila kuomba
πŸ›‘οΈ 5. Njia za kujilinda
βœ… Weka password ndefu na ngumu (epuka β€˜12345678’)
βœ… Tumia WPA2 au WPA3 encryption – si β€œopen” hotspot
βœ… Zima hotspot mara baada ya matumizi
βœ… Weka limit ya connections – kwa mfano max 1 device
βœ… Usiruhusu mtu asiyeaminika hata kwa dakika 2
βœ… Kagua mara kwa mara list ya devices zilizowahi kuunganishwa
Baadhi ya simu mpya kama za Samsung, Xiaomi na Pixel zinakuwezesha kuweka Guest Hotspot:

Ina password tofauti

Ina speed limit

Ina muda maalum wa connection

Hii ni bora sana kuliko kutoa hotspot yako ya kawaida.
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ XIAOMI REDMI (Brand new) πŸ’₯

β–ͺ️Redmi A5 (3+64) - 250K
β–ͺ️Redmi A5 (4+128) - 280K
β–ͺ️Redmi 14C (4+128) - 300K
β–ͺ️Redmi 14C (8+256) - 350K
β–ͺ️Note 13 (6+128) - 450K
β–ͺ️Note 13 (8+256) - 530K
β–ͺ️Note 13 Pro 4G (8+256) - 680K
β–ͺ️Note 13 Pro+ 5G (8+256) - Tsh. 880K
β–ͺ️Note 13 Pro+ 5G (12+512) - Tsh. 1.05M
β–ͺ️Redmi Note 14 (6+128) - 480K
β–ͺ️Redmi Note 14 (8+256) - 580K
β–ͺ️Redmi Note 14 5G (8+256) - 700K
β–ͺ️Redmi Note 14 Pro 4G (8+256) - 700K
β–ͺ️Redmi Note 14 Pro 5G (8+256) - 800K
β–ͺ️Redmi Note 14 Pro+ 5G (8+256)
@Huduma

πŸ’¨Baada ya Samsung kuzindua Samsung z fold 7 na tukisubiri toleo la Google pixel 10 pro fold.
Vivo nao hawapo mbali, Vivo wapo mbioni kuzindua Vivo x Fold5. Hii ni baada ya mafanikio ya vivo x Fold 3 series.
@Huduma

πŸ’¨Kushoto Vivo X200FE kulia vivo x Fold5
Zote zimezinduliwa rasmi leo huko India
Unawapa ngapi kampuni ya vivo
/10
πŸ”₯πŸ”₯
Njia za Kinga Mbele:

Usitumie apps nje ya Play Store

Backup kabla ya system update

Usizime simu wakati ina-update

Usi-root kama huelewi unachofanya

Hakikisha simu ina space ya kutosha kabla ya OTA update
5. Hatari ya Kuendelea Kulazimisha Boot:

β›” Inaweza kuharibu eMMC/eUFS storage
β›” Inaongeza joto – husababisha battery swelling
β›” Inapunguza lifespan ya simu yako
Ku-root simu vibaya

Kuweka custom ROM bila kufuata taratibu

Power off wakati inafanya update
7. Kama Hataki Kufunguka Kabisa:

Hii ni ngumu kidogo:

Unahitaji flashing tool (kama SP Flash Tool au Mi Flash)

Lazima uwe na firmware sahihi ya simu yako

Hii inafanywa kwenye PC – au peleka kwa fundi mzoefu wa software
3. Nini Husababisha OS Corruption?

πŸ“ Hizi ndizo sababu kuu:

Kuweka apps za ajabu kutoka nje ya Play Store (APK zenye malware)

Kupakua system update isiyo rasmi
4. Njia za Haraka za Kutatua:

βœ… Step 1: Safe Mode Boot

Inazuia third-party apps ku-load

Hold power button > Hold "Power Off" > Chagua β€œSafe Mode”

Kama simu inafunguka salama, tatizo ni apps tu
βœ… Step 2: Clear Cache Partition

Boot kwenye recovery mode:

(Volume Up + Power kwa muda)

Chagua: Wipe Cache Partition

Haim-delete data zako
πŸ“Œ Bootloop na OS corruption si mwisho wa simu yako – lakini ni warning ya kwamba kuna kitu kibaya kilitokea kwenye mfumo.

Jitahidi kujifunza kufunga updates rasmi, usibadili system files bila sababu, na backup data zako mara kwa mara.
βœ… Step 3: Factory Reset (Mwisho Kabisa)

Recovery Mode > Wipe data/factory reset

Inafuta kila kitu – tumia kama suluhisho la mwisho