Teknolojia
132 subscribers
3.73K photos
4.39K videos
90 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
︎ Teknolojia

💨 OFFER SAMSUNG A SERIES

▪️A05 (4+64) - 250K
▪️A06 (4+64) - 300K
▪️A06 (4+128) - 330K
▪️A05s (4+128) - 350K
▪️A16 (4+128) -420K
▪️A16 (6+128) - 450K
▪️A16 (8+256) - 580K
▪️A26 5G (6+128) - 680K
▪️A26 5G (8+256) - 780K
▪️A36 5G (6+128) - 900K
▪️A36 5G (8+256) - 1M
▪️A56 5G (8+128) - 1M
▪️A56 5G (8+256) - 1.15M

📍Dar: KKKT Kariakoo
📍Mwanza: Roundabout ya Samaki
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 INFINIX BRAND NEW 💥

▪️Smart 8 (4+64) - 250K
▪️Smart 10 (8+64) - 290K
▪️Smart 10 Pro (8+128) - 330K
▪️Hot 60i (8+128) - 330K
▪️Hot 60 Pro (16+128) - 520K
▪️Hot 60 Pro (16+256) - 650K
▪️Hot 50 Pro+ (16+128) - 520K
▪️Note 50 (16+256) - 650K
▪️Note 50 Pro+ 5G (21+256) - 1.2M
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

💨 Ipi bora kwenye Video?

Xiaomi 14 Pro iPhone 15 Pro Max
💨 Haya PSG wamepata nafasi ya kutoa mpira nje Chelsea hawatoboi.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

Mashine hii haifungui begi, lakini inayaona yote! 👀 Je, unajua inavyofanya kazi?
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

Usijaribu kuchaj simu yako kwneye godoro usiku ukilala ni hatari sana #technology
Anaweza kutumia hotspot yako kufanya mambo haramu – wewe ndio utahusishwa
🕵🏽‍♂️ 2. Mtu anayejua tech anaweza kufanya nini kupitia hotspot yako?

Kuona websites unazotembelea – kupitia sniffing tools kama Wireshark

Kukuchunguza (monitoring) kwa njia ya DNS spoofing
Kukudukua (hacking) kupitia Man-In-The-Middle attack

Kuweka malware kupitia files unazodownload

Kuiba taarifa zako za login kama hujatumia https

Yote haya yanawezekana ikiwa hotspot yako haina encryption nzuri na unamruhusu mtu asiyefahamika.
🧨 Mtu akiingia kwenye dark web, aka-download content haramu, au akatuma vitisho, kupitia hotspot yako –

➡️ Rekodi ya ISP itaonyesha ni wewe uliyetoa internet.
Unaweza kuitwa na polisi bila hata kujua kilichotokea. Kwa sababu: "Data ilipitia kwa laini yako, jina lako, na location yako."
⚠️ Umeona devices zisizo zako kwenye hotspot list yako

Kama unaziona dalili hizi – simama. Kitu si salama.
📉 4. Dalili kuwa kuna kitu kibaya kwenye hotspot yako
⚠️ Intaneti yako inakwisha haraka hata bila matumizi makubwa
⚠️ Simu inapata joto isivyo kawaida ukiwasha hotspot
⚠️ Unapokea SMS za login au OTP bila kuomba
🛡️ 5. Njia za kujilinda
Weka password ndefu na ngumu (epuka ‘12345678’)
Tumia WPA2 au WPA3 encryption – si “open” hotspot
Zima hotspot mara baada ya matumizi
Weka limit ya connections – kwa mfano max 1 device
Usiruhusu mtu asiyeaminika hata kwa dakika 2
Kagua mara kwa mara list ya devices zilizowahi kuunganishwa
Baadhi ya simu mpya kama za Samsung, Xiaomi na Pixel zinakuwezesha kuweka Guest Hotspot:

Ina password tofauti

Ina speed limit

Ina muda maalum wa connection

Hii ni bora sana kuliko kutoa hotspot yako ya kawaida.
︎ Teknolojia

💨 XIAOMI REDMI (Brand new) 💥

▪️Redmi A5 (3+64) - 250K
▪️Redmi A5 (4+128) - 280K
▪️Redmi 14C (4+128) - 300K
▪️Redmi 14C (8+256) - 350K
▪️Note 13 (6+128) - 450K
▪️Note 13 (8+256) - 530K
▪️Note 13 Pro 4G (8+256) - 680K
▪️Note 13 Pro+ 5G (8+256) - Tsh. 880K
▪️Note 13 Pro+ 5G (12+512) - Tsh. 1.05M
▪️Redmi Note 14 (6+128) - 480K
▪️Redmi Note 14 (8+256) - 580K
▪️Redmi Note 14 5G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 4G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 5G (8+256) - 800K
▪️Redmi Note 14 Pro+ 5G (8+256)