Teknolojia
132 subscribers
3.76K photos
4.44K videos
93 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
πŸ›‘οΈ 7. Jinsi ya Kujilinda:
– Usikubali kusaidiwa kuweka settings na mtu usiyemwamini
– Hakikisha una PIN kwenye line yako (PUK PIN)
– Usitumie public Wi-Fi bila VPN
– Usifungue link kutoka kwa namba usiyojua
– Angalia call/SMS forwarding mara kwa mara: dial *#
πŸ” 9. BONUS: Weka usalama zaidi kwa kutumia:
βœ… SIM PIN (Settings > Security > SIM Card Lock)
βœ… App Lock kwa apps nyeti (bank, WhatsApp, gallery)
βœ… 2FA (Two Factor Authentication) kwenye kila account
βœ… Usimpe mtu simu yako aishike bila sababu
🏦 8. Kwa nini hili ni la hatari sana?
– Anaweza kupata OTP za bank, social media, M-Pesa
– Anaweza kufungua account mpya kwa jina lako
– Anaweza kukuharibia jina mitandaoni au kuiba mali zako
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ OFFER SAMSUNG A SERIES

β–ͺ️A05 (4+64) - 250K
β–ͺ️A06 (4+64) - 300K
β–ͺ️A06 (4+128) - 330K
β–ͺ️A05s (4+128) - 350K
β–ͺ️A16 (4+128) -420K
β–ͺ️A16 (6+128) - 450K
β–ͺ️A16 (8+256) - 580K
β–ͺ️A26 5G (6+128) - 680K
β–ͺ️A26 5G (8+256) - 780K
β–ͺ️A36 5G (6+128) - 900K
β–ͺ️A36 5G (8+256) - 1M
β–ͺ️A56 5G (8+128) - 1M
β–ͺ️A56 5G (8+256) - 1.15M

πŸ“Dar: KKKT Kariakoo
πŸ“Mwanza: Roundabout ya Samaki
@Njiwa_Store
πŸ“ž 0745100757
wa.me/+255745100757
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ INFINIX BRAND NEW πŸ’₯

β–ͺ️Smart 8 (4+64) - 250K
β–ͺ️Smart 10 (8+64) - 290K
β–ͺ️Smart 10 Pro (8+128) - 330K
β–ͺ️Hot 60i (8+128) - 330K
β–ͺ️Hot 60 Pro (16+128) - 520K
β–ͺ️Hot 60 Pro (16+256) - 650K
β–ͺ️Hot 50 Pro+ (16+128) - 520K
β–ͺ️Note 50 (16+256) - 650K
β–ͺ️Note 50 Pro+ 5G (21+256) - 1.2M
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ Ipi bora kwenye Video?

Xiaomi 14 Pro iPhone 15 Pro Max
πŸ’¨ Haya PSG wamepata nafasi ya kutoa mpira nje Chelsea hawatoboi.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
γ€½οΈŽ Teknolojia

Mashine hii haifungui begi, lakini inayaona yote! πŸ‘€ Je, unajua inavyofanya kazi?
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
γ€½οΈŽ Teknolojia

Usijaribu kuchaj simu yako kwneye godoro usiku ukilala ni hatari sana #technology
Anaweza kutumia hotspot yako kufanya mambo haramu – wewe ndio utahusishwa
πŸ•΅πŸ½β€β™‚οΈ 2. Mtu anayejua tech anaweza kufanya nini kupitia hotspot yako?

βœ… Kuona websites unazotembelea – kupitia sniffing tools kama Wireshark

βœ… Kukuchunguza (monitoring) kwa njia ya DNS spoofing
βœ… Kukudukua (hacking) kupitia Man-In-The-Middle attack

βœ… Kuweka malware kupitia files unazodownload

βœ… Kuiba taarifa zako za login kama hujatumia https

Yote haya yanawezekana ikiwa hotspot yako haina encryption nzuri na unamruhusu mtu asiyefahamika.
🧨 Mtu akiingia kwenye dark web, aka-download content haramu, au akatuma vitisho, kupitia hotspot yako –

➑️ Rekodi ya ISP itaonyesha ni wewe uliyetoa internet.
Unaweza kuitwa na polisi bila hata kujua kilichotokea. Kwa sababu: "Data ilipitia kwa laini yako, jina lako, na location yako."
⚠️ Umeona devices zisizo zako kwenye hotspot list yako

Kama unaziona dalili hizi – simama. Kitu si salama.
πŸ“‰ 4. Dalili kuwa kuna kitu kibaya kwenye hotspot yako
⚠️ Intaneti yako inakwisha haraka hata bila matumizi makubwa
⚠️ Simu inapata joto isivyo kawaida ukiwasha hotspot
⚠️ Unapokea SMS za login au OTP bila kuomba
πŸ›‘οΈ 5. Njia za kujilinda
βœ… Weka password ndefu na ngumu (epuka β€˜12345678’)
βœ… Tumia WPA2 au WPA3 encryption – si β€œopen” hotspot
βœ… Zima hotspot mara baada ya matumizi